wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Mkuu tanga kilikuaje sijakionaWatoto wanaendekeza mapenzi siku hizi ukiangalia Kisa cha Tanga na hiki cha Mbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tanga kilikuaje sijakionaWatoto wanaendekeza mapenzi siku hizi ukiangalia Kisa cha Tanga na hiki cha Mbeya
Ataenda kukojozwa huko gerezan SasaHuenda jamaa alikuwa anakakojoza kisawa sawaaaa... na hivi bado hakaja komaa... na miki miki kakaona kakiachwa nani atakakojoza tena.. lakini nyuma yake kuna mystery
Ulipata daraja gani form six mheshimiwa?
Kwani unajuaje ugomvi ulianzaje, ulikuwaje?Mademu wanaopenda kiasi hicho kumbe bado wapo........ Hawa ndio mademu, demu anaye hakikisha ni hadi kifo kiwatenganishe....
Amen.[emoji1787]Sina neno zaidi ya kumtakia mrembo kifungo chema chenye baraka tele...na jamaa alale salama mahali pema peponi maana mzigo wa dhambi umebakia kwa demu.
Tatizo braza Yale mapenzi ya kuanzia sekondari huwa hayatoboagi chuoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Autakuwa tena binaadam una weza kwenda kuzaliwa ngombe uka chinjwa ukaliwa nyama!Tangu nijue mtu ukifa unazaliwa tena sehemu nyingine nimekuwa siogop wala sishtuki nikisikia mtu kafa
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Aisee ilitakiwa akaonyeshe aliyempa hao ndio wana waharibu watoto!Yaani.... halafu anatumia dawa za mvuto. Najiuliza alijifunza kwa wanaume gani hayo mambo? Inafikirisha😎😎
Haiwezekani. Angekuwa mwanaume ndie mkorofi basi mwanamke angechomwa na magunia mawili ya mkaa.Kwani unajuaje ugomvi ulianzaje, ulikuwaje?
Je, kama mwanaume ndiyo alikuwa na wivu akamshambulia mwanamke nae katika kujilinda akatumia kitu chenye ncha kali?
NB: Sijui ugomvi ulikuwaje.
Yani Joyce kiria apa ana sema Mtu amemuwa MmasaiAngefanya mwanaume humu kungelipuka
Ova
Aisee nime viangalia hivyo vitoto nika waza mbali Sana me nikiwa na umri wao bado sija juwa kuhusu haya mambo!Dunia inaenda kasi sana fundi25 Yaani siku hizi wanaume wanatafuta dawa za mvuto kunasa wanawake. Inatisha sana hii
Mungu awanusuru watoto wetu