Pre GE2025 Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 

Attachments

  • 2576007-d05126d2cf760a954dec3168c92d63a7.mp4
    8 MB
Kongole kwake....

Ukiwachekea nyani utavuna mabua.....

#Nchi Kwanza
 
Huku ni kujidanganya.

Population ya Tanzania ni kubwa kuliko ya Kenya, na vijana wa hii nchi ni wengi zaidi ya wale wa Kenya, hivyo wakati ukifika, Polisi hawataweza kudhibiti hilo vuguvugu.
Huo wakati hautofika...

Haukufika huko Mbeya....hautafika
 
[emoji7][emoji7]
 
Huku ni kujidanganya.

Population ya Tanzania ni kubwa kuliko ya Kenya, na vijana wa hii nchi ni wengi zaidi ya wale wa Kenya, hivyo wakati ukifika, Polisi hawataweza kudhibiti hilo vuguvugu.

Wasisahau kikokotoo cha CCM kinawasubiri wakistaafu.
Vijana wa Tanzania,ni Vijana wa Hovyoo,Walio chagua kuwa Machawa. Kama katiba inaruhusu,niende popote,Awadhi ni Nani aliye juu ya KATIBA?
 
Upumbavu tu sasa Magufuri yuko wapi???Na Samiah saa yake inawadia maana amezidisha upumbavu kuliko hata Mtangulizi wake.
Utoto huo....

Kazi ya Rais Samia ni kuendeleza amani na utulivu wa taifa hili....


Ni kwa njia hizohizo za kulilinda taifa basi marais 1000 wanaokuja WATAZITUMIA....

#Nchi Kwanza
 
Vijana wa Tanzania,ni Vijana wa Hovyoo,Walio chagua kuwa Machawa. Kama katiba inaruhusu,niende popote,Awadhi ni Nani aliye juu ya KATIBA?
Awadhi analinda madhara ya wewe kwenda popote na huku popote ukafanya LOLOTE.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…