Pre GE2025 Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama

Pre GE2025 Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hao maafande wanabahati kuwa watanzania ni waoga.Siku uoga ukiisha hakuna Cha ulinzi mkali Wala Nini.
Huu wimbo wa kusema Watanzania waoga sijui nani kautunga? Ni vigezo gani alitumia hadi akahitimisha kuwa tatizo la watanzania ni uoga?

Ni lini watanzania walidhamilia kufanya jambo lao kiukweli ila wakashindwa kwa kuogopa?
 
Huu wimbo wa kusema Watanzania waoga sijui nani kautunga? Ni vigezo gani alitumia hadi akahitimisha kuwa tatizo la watanzania ni uoga?

Ni lini watanzania walidhamilia kufanya jambo lao kiukweli ila wakashindwa kwa kuogopa?
Wameshindwa tena mara nyingi kizazi cha Nyerere kimeshajifia kimebaki kizazi cha Magufuri na Samiah ambacho kinaamini kuwa maisha bila Rais hakuna maisha.
 
Mkuu wa Operesheni afande Awadh amesema Viongozi wakuu wa Chadema wamerudishwa makwao especially DSM under escort ya Polisi

Awadh amesema kamwe hawatakubali yaliyotokea Kenya yatokee Tanzania hivyo Ulinzi mkali umeimarishwa Mikoa yote Ili kudhibiti Nia ovu ya Chadema

Source: Mwanahalisi Digital
Anajuanya kesha haya kuanzishwa na wanasiasa, na wala hayana siasa?
 
Huku ni kujidanganya.

Population ya Tanzania ni kubwa kuliko ya Kenya, na vijana wa hii nchi ni wengi zaidi ya wale wa Kenya, hivyo wakati ukifika, Polisi hawataweza kudhibiti hilo vuguvugu.

Wasisahau kikokotoo cha CCM kinawasubiri wakistaafu.
Huku ni kujidanganya.

Population ya Tanzania ni kubwa kuliko ya Kenya, na vijana wa hii nchi ni wengi zaidi ya wale wa Kenya, hivyo wakati ukifika, Polisi hawataweza kudhibiti hilo vuguvugu.

Wasisahau kikokotoo cha CCM kinawasubiri wakistaafu.
Issue syo population mjomba uelewa waiyo maandamano lakn chama pnzani wajue ss Watanzania atuitaji kukwamishana kweny shughuli zetu syo nfunge ofc yang kwa sababu kuna kuchomeana na kuibiana syo fair chadema wafanye siasa bora sera bora kwa kuwakombowa watanzania lakn hyo la Gen Z kama ya kenya no polis tuwachie kaz ss atutaki kupoteza uchumi wetu kwa vzaz zetu na tunaomba vyombo usika ipambane l love ❤️ chadema lakn syo kwa ili utaifa kwanza
 
Huu wimbo wa kusema Watanzania waoga sijui nani kautunga? Ni vigezo gani alitumia hadi akahitimisha kuwa tatizo la watanzania ni uoga?

Ni lini watanzania walidhamilia kufanya jambo lao kiukweli ila wakashindwa kwa kuogopa?
[emoji2956]
 
Wameshindwa tena mara nyingi kizazi cha Nyerere kimeshajifia kimebaki kizazi cha Magufuri na Samiah ambacho kinaamini kuwa maisha bila Rais hakuna maisha.
Nikumbushe mambo machache ambayo watanzania tulidhamilia kufanya kiuhakika ila tukaogopa?
 
Mkuu wa Operesheni afande Awadh amesema Viongozi wakuu wa Chadema wamerudishwa makwao especially DSM under escort ya Polisi

Awadh amesema kamwe hawatakubali yaliyotokea Kenya yatokee Tanzania hivyo Ulinzi mkali umeimarishwa Mikoa yote Ili kudhibiti Nia ovu ya Chadema

Source: Mwanahalisi Digital
Huyo mla rushwa za daladala anaitumia Chadema ili kupata u IGP. Nani alimuambia watu walikuja Mbeya kuandamana? uongo na uzushi wake utakuja kumtokea puani.
 
Wameshindwa tena mara nyingi kizazi cha Nyerere kimeshajifia kimebaki kizazi cha Magufuri na Samiah ambacho kinaamini kuwa maisha bila Rais hakuna maisha.
Ni kweli maisha bila Rais hayako Tanzania.....

Rais ndio ngao yetu....

Kuulinda uongozi wake ni kuulinda udongo wa Tanzania USINASIJIKE.....

#Taifa kwanza
 
Issue syo population mjomba uelewa waiyo maandamano lakn chama pnzani wajue ss Watanzania atuitaji kukwamishana kweny shughuli zetu syo nfunge ofc yang kwa sababu kuna kuchomeana na kuibiana syo fair chadema wafanye siasa bora sera bora kwa kuwakombowa watanzania lakn hyo la Gen Z kama ya kenya no polis tuwachie kaz ss atutaki kupoteza uchumi wetu kwa vzaz zetu na tunaomba vyombo usika ipambane l love ❤️ chadema lakn syo kwa ili utaifa kwanza
Je walipoenda Mbeya kabla ya kukamatwa kuna Siasa yoyote mbaya walifanya kule Mbeya mpaka ikafikia kuwekwa ndani kwa hisia za Kizanzibar na Kiccm?
 
Huwa unaisha, case study ni bangladesh, na ukiisha hakuna kiongoz atasalia maana by then raia wanakuwa hawana cha kupoteza
Huko yamewezekana kwa kuwa historia yao inatambaa kihivyo....

Mizimu ya udongo uliochanganywa 1964 hairuhusu ya Afrika Magharibi ,Kenya wala Bangladesh.....

Mwenyezi Mungu amrehemu MAO TSE TUNG ,aaamen[emoji7]
 
Back
Top Bottom