Huu wimbo wa kusema Watanzania waoga sijui nani kautunga? Ni vigezo gani alitumia hadi akahitimisha kuwa tatizo la watanzania ni uoga?Hao maafande wanabahati kuwa watanzania ni waoga.Siku uoga ukiisha hakuna Cha ulinzi mkali Wala Nini.
Wameshindwa tena mara nyingi kizazi cha Nyerere kimeshajifia kimebaki kizazi cha Magufuri na Samiah ambacho kinaamini kuwa maisha bila Rais hakuna maisha.Huu wimbo wa kusema Watanzania waoga sijui nani kautunga? Ni vigezo gani alitumia hadi akahitimisha kuwa tatizo la watanzania ni uoga?
Ni lini watanzania walidhamilia kufanya jambo lao kiukweli ila wakashindwa kwa kuogopa?
Anajuanya kesha haya kuanzishwa na wanasiasa, na wala hayana siasa?Mkuu wa Operesheni afande Awadh amesema Viongozi wakuu wa Chadema wamerudishwa makwao especially DSM under escort ya Polisi
Awadh amesema kamwe hawatakubali yaliyotokea Kenya yatokee Tanzania hivyo Ulinzi mkali umeimarishwa Mikoa yote Ili kudhibiti Nia ovu ya Chadema
Source: Mwanahalisi Digital
Huwa unaisha, case study ni bangladesh, na ukiisha hakuna kiongoz atasalia maana by then raia wanakuwa hawana cha kupotezaDuniani uoga hauishagi 🐼
Huku ni kujidanganya.
Population ya Tanzania ni kubwa kuliko ya Kenya, na vijana wa hii nchi ni wengi zaidi ya wale wa Kenya, hivyo wakati ukifika, Polisi hawataweza kudhibiti hilo vuguvugu.
Wasisahau kikokotoo cha CCM kinawasubiri wakistaafu.
Issue syo population mjomba uelewa waiyo maandamano lakn chama pnzani wajue ss Watanzania atuitaji kukwamishana kweny shughuli zetu syo nfunge ofc yang kwa sababu kuna kuchomeana na kuibiana syo fair chadema wafanye siasa bora sera bora kwa kuwakombowa watanzania lakn hyo la Gen Z kama ya kenya no polis tuwachie kaz ss atutaki kupoteza uchumi wetu kwa vzaz zetu na tunaomba vyombo usika ipambane l love ❤️ chadema lakn syo kwa ili utaifa kwanzaHuku ni kujidanganya.
Population ya Tanzania ni kubwa kuliko ya Kenya, na vijana wa hii nchi ni wengi zaidi ya wale wa Kenya, hivyo wakati ukifika, Polisi hawataweza kudhibiti hilo vuguvugu.
Wasisahau kikokotoo cha CCM kinawasubiri wakistaafu.
Afande Awadh wewe ndiye unataka Vijana walete vurugu na zikitokea huwezi kuzizuia.Awadh amesema kamwe hawatakubali yaliyotokea Kenya yatokee Tanzania hivyo Ulinzi mkali umeimarishwa Mikoa yote Ili kudhibiti Nia ovu ya Chadema
Wewe ukiwa mjinga utaujua werevu wa mwerevu?!!Analinda ujinga wake ili aendelee kutekeleza ujinga wake.
[emoji2956]Huu wimbo wa kusema Watanzania waoga sijui nani kautunga? Ni vigezo gani alitumia hadi akahitimisha kuwa tatizo la watanzania ni uoga?
Ni lini watanzania walidhamilia kufanya jambo lao kiukweli ila wakashindwa kwa kuogopa?
Nikumbushe mambo machache ambayo watanzania tulidhamilia kufanya kiuhakika ila tukaogopa?Wameshindwa tena mara nyingi kizazi cha Nyerere kimeshajifia kimebaki kizazi cha Magufuri na Samiah ambacho kinaamini kuwa maisha bila Rais hakuna maisha.
Huyo mla rushwa za daladala anaitumia Chadema ili kupata u IGP. Nani alimuambia watu walikuja Mbeya kuandamana? uongo na uzushi wake utakuja kumtokea puani.Mkuu wa Operesheni afande Awadh amesema Viongozi wakuu wa Chadema wamerudishwa makwao especially DSM under escort ya Polisi
Awadh amesema kamwe hawatakubali yaliyotokea Kenya yatokee Tanzania hivyo Ulinzi mkali umeimarishwa Mikoa yote Ili kudhibiti Nia ovu ya Chadema
Source: Mwanahalisi Digital
Tanzania ni bora kuliko Kenya...kalaghabaho....Sasa yeye anadhani watu wakichoka wataweza kuwazuia? Ni kuzuia mafuriko kwa mikono. Wasijione wao ni jeshi Bora kuliko Kenya
Endeleeni kujidanganya it's matter of time!Tanzania ni bora kuliko Kenya...kalaghabaho....
Ni kweli maisha bila Rais hayako Tanzania.....Wameshindwa tena mara nyingi kizazi cha Nyerere kimeshajifia kimebaki kizazi cha Magufuri na Samiah ambacho kinaamini kuwa maisha bila Rais hakuna maisha.
Ndio maana ana behave hivi?IGP ajaye
Je walipoenda Mbeya kabla ya kukamatwa kuna Siasa yoyote mbaya walifanya kule Mbeya mpaka ikafikia kuwekwa ndani kwa hisia za Kizanzibar na Kiccm?Issue syo population mjomba uelewa waiyo maandamano lakn chama pnzani wajue ss Watanzania atuitaji kukwamishana kweny shughuli zetu syo nfunge ofc yang kwa sababu kuna kuchomeana na kuibiana syo fair chadema wafanye siasa bora sera bora kwa kuwakombowa watanzania lakn hyo la Gen Z kama ya kenya no polis tuwachie kaz ss atutaki kupoteza uchumi wetu kwa vzaz zetu na tunaomba vyombo usika ipambane l love ❤️ chadema lakn syo kwa ili utaifa kwanza
Huko yamewezekana kwa kuwa historia yao inatambaa kihivyo....Huwa unaisha, case study ni bangladesh, na ukiisha hakuna kiongoz atasalia maana by then raia wanakuwa hawana cha kupoteza
Na upumbavu unaanzia hapo.Ni kweli maisha bila Rais hayako Tanzania.....
Rais ndio ngao yetu....
Kuulinda uongozi wake ni kuulinda udongo wa Tanzania USINASIJIKE.....
#Taifa kwanza
Nikumbushe mambo machache ambayo watanzania tulidhamilia kufanya kiuhakika ila tukaogopa?