Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Vijana hatutaki vurugu zitokee....ndio kwanza vitoto vyetu hata balehe bado....Afande Awadh wewe ndiye unataka Vijana walete vurugu na zikitokea huwezi kuzizuia.
Akina nani ?!!!Endeleeni kujidanganya it's matter of time!
Kwa hiyo wewe umeamini uongo wa polisi? Chadema walikuwa wakutane Mbeya kufanya kongamano la kuadhimisha siku ya vijana duniani. Unafikiri watu wanapanga mipango mikubwa kama hiyo hadharani namna hiyo?Issue syo population mjomba uelewa waiyo maandamano lakn chama pnzani wajue ss Watanzania atuitaji kukwamishana kweny shughuli zetu syo nfunge ofc yang kwa sababu kuna kuchomeana na kuibiana syo fair chadema wafanye siasa bora sera bora kwa kuwakombowa watanzania lakn hyo la Gen Z kama ya kenya no polis tuwachie kaz ss atutaki kupoteza uchumi wetu kwa vzaz zetu na tunaomba vyombo usika ipambane l love ❤️ chadema lakn syo kwa ili utaifa kwanza
"NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE ITS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE".Na upumbavu unaanzia hapo.
Hamtaruhusu serikali ikosolewe kama Kenya.Mkuu wa Operesheni afande Awadh amesema Viongozi wakuu wa Chadema wamerudishwa makwao especially DSM under escort ya Polisi
Awadh amesema kamwe hawatakubali yaliyotokea Kenya yatokee Tanzania hivyo Ulinzi mkali umeimarishwa Mikoa yote Ili kudhibiti Nia ovu ya Chadema
Source: Mwanahalisi Digital
Kukosoa si kupanga NIA OVU ambayo madhara yake yatamfika hata na asiyelengwa katika huo ukosoaji.....Hamtaruhusu serikali ikosolewe kama Kenya.
Yanaaezekana kokote, it whats happen when wananchi wanapokuwa oppressed to the maximum, not even police will stay on their waysHuko yamewezekana kwa kuwa historia yao inatambaa kihivyo....
Mizimu ya udongo uliochanganywa 1964 hairuhusu ya Afrika Magharibi ,Kenya wala Bangladesh.....
Mwenyezi Mungu amrehemu MAO TSE TUNG ,aaamen[emoji7]
Je walipoenda Mbeya kabla ya kukamatwa kuna Siasa yoyote mbaya walifanya kule Mbeya mpaka ikafikia kuwekwa ndani kwa hisia za Kizanzibar na Kiccm?
Muda ukifika ! Kifo utuchukuwa ata kama tupo kwenye the Best Hospital😭 Atuombi yatokee ila siku yake ikifika akuna atakaeweza yazuiya. Kenya , Bangladesh na ata kule Tunisia yalikuja bila hodi. Kikubwa Serikali iwajali wale inaowatawala! Bullets will not solve anything under the sun. Kote yalipotokea ,Yametoke baada ya Watawala kutowajali walipa Kodi waoMkuu wa Operesheni afande Awadh amesema Viongozi wakuu wa Chadema wamerudishwa makwao especially DSM under escort ya Polisi
Awadh amesema kamwe hawatakubali yaliyotokea Kenya yatokee Tanzania hivyo Ulinzi mkali umeimarishwa Mikoa yote Ili kudhibiti Nia ovu ya Chadema
Source: Mwanahalisi Digital
Unavunja sheria za nchi kwa kuogopa mambo ya Kenya....Juzi juzi Samia naye aligusia mambo ya Kenya. Kwa wanaofikiri mama anahujumiwa wanakosea sana. Hii kamata kamata ni maelekezo yake.Mkuu wa Operesheni afande Awadh amesema Viongozi wakuu wa Chadema wamerudishwa makwao especially DSM under escort ya Polisi
Awadh amesema kamwe hawatakubali yaliyotokea Kenya yatokee Tanzania hivyo Ulinzi mkali umeimarishwa Mikoa yote Ili kudhibiti Nia ovu ya Chadema
Source: Mwanahalisi Digital
Vyombo vya ulinz labda uwaulize maana atujui kwann imekuwa ivo uwenda kuna namna wameliona wao kwa usalama na angalizo au taadhar kwa kuzbt yasje tokea kama ya kenyaJe walipoenda Mbeya kabla ya kukamatwa kuna Siasa yoyote mbaya walifanya kule Mbeya mpaka ikafikia kuwekwa ndani kwa hisia za Kizanzibar na Kiccm?
Polis wao wana ofu yasje tokea kama nch jiranKwa hiyo wewe umeamini uongo wa polisi? Chadema walikuwa wakutane Mbeya kufanya kongamano la kuadhimisha siku ya vijana duniani. Unafikiri watu wanapanga mipango mikubwa kama hiyo hadharani namna hiyo?
Inanikumbusha traffic mmoja tokea Oyster Bay aliyekuwa anatega mingo karibu na American Chips alinitoa 85000 sababu Coster yangu ilikuwa na side mirrors zenye nyufa miaka kadhaa iliyopitaIGP ajaye
😂😂😂😂 Alitisha sanaInanikumbusha traffic mmoja tokea Oyster Bay aliyekuwa anatega mingo karibu na American Chips alinitoa 85000 sababu Coster yangu ilikuwa na side mirrors zenye nyufa miaka kadhaa iliyopita