Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waganga toka tudai uhuru wetu kutoka kwa mkoloni Mzanzibari, ni aibu kutawaliwa na kisiwa cha watu mdebwedo..halafu huyo Polisi ni mtu wa Zanzibar lakini anatupangia Watanganyika mahali pa kwenda. Na huko kwao Zanzibar hawataki tukanyage.
Ila katika sakata hili mbogamboga ni kama wamejitia dole halafu wananusa na kuanza kupiga chafya, eti KM wao anawaambia hao majambazi wanaovaa uniform wawaachie makamanda baada ya kuona kuwa kitendo hichi kimechafua chama na serikali yao kimataifa.Maswala ya siasa nilisha achana nayo maana mm na hasira sana.Kuna vitu vinatia hasira sana ccm wamefanya kongamano na act ila chadema wao ni hapana sometime ccm muone aibu na kuna siku kwa huu ujinga patafuka moshi watu wamechoka msitafute sababu za kuamsha hasira zao. Nyinyi mijutano yenu mnafanya tu na kuna kauli si nzuri viongozi wenu wanazitoa lakin husikii polis wanakemea ama nec.Ndio maana sitaki hata kupiga kula kwa upuuzi huu.
Aibu Sana Kwa TaifaPoliccm wanazingua sana.
Misuse of resources.
Wamezingua sana.Mm nimeachana na siasa kwa sababu hizi hizi maana niliona naweza ondoka na koromeo la mtu uonevu uonevu tu ingekua poa sana wakawaacha wapunguze hasira zao kwenye mkutano wao.Ila katika sakata hili mbogamboga ni kama wamejitia dole halafu wananusa na kuanza kupiga chafya, eti KM wao anawaambia hao majambazi wanaovaa uniform wawaachie makamanda baada ya kuona kuwa kitendo hichi kimechafua chama na serikali yao kimataifa.
Unafiki mtupu wa huyu Mama.Zile RRRR kwishiney.
Watanganyika sisi wengi wetu ni wajinga,tunaburuzwa na WA Zanzibar million 2,this is shameful..halafu huyo Polisi ni mtu wa Zanzibar lakini anatupangia Watanganyika mahali pa kwenda. Na huko kwao Zanzibar hawataki tukanyage.
KILA MTU NI MGONJWA NA MAREHEMU MTARAJIWA. TUSIMWA DRESS MTU KWA STYLE HIYO "NI MGONJWA YULE" ALISHAWAHI FARIKI MZIMA AKABAKI ALIYEKUWA HAWEZI PIGA PUSH UPS.Kama iliwahi kutokea baada ya 1961 naomba kuelimishwa
Yaani kwa sasa Chadema haina Viongozi Wakuu ofisini dah
Mungu wa mbinguni amfanyie Wepesi Tundu Lisu ni mgonjwa yule 🐼
Hili nalo mkalitazame Watanganyika.Mkuu wa Operesheni afande Awadh amesema Viongozi wakuu wa Chadema wamerudishwa makwao especially DSM under escort ya Polisi
Awadh amesema kamwe hawatakubali yaliyotokea Kenya yatokee Tanzania hivyo Ulinzi mkali umeimarishwa Mikoa yote Ili kudhibiti Nia ovu ya Chadema
Source: Mwanahalisi Digital
Kwamba wamerudishwa makwao Chini ya Ulinzi au? 🐼Huku ni kujidanganya.