mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nilinenepea mbeya aiseeChips yai ni 2,000/=afsa.
Chips kavu ni 1,000/=
Hii ni nchi nyingine aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilinenepea mbeya aiseeChips yai ni 2,000/=afsa.
Chips kavu ni 1,000/=
Hii ni nchi nyingine aisee
Wivuuuu mama wivuuuuu 😹😹sura za baba, sauti za baba, nyash kwa sana.
enjoy mkuu.
ila mbeya bwana siwezi pita barabarani bila kugeuka geuka kama libeberu.Wivuuuu mama wivuuuuu 😹😹
Kama Bei ni 20000 bas hapo ukipigwa itakua 25000 ukipunguziwa itakua around 18/19000 nje na hapo shtukaHutaki kupunguziwa Bei ee?
Ndogo, mi mwaka Jana mwishoni Moshi mjini nlinunua kg 1 Kwa 12000Kubwa au ndogo afsa?
😹😹😹ila mbeya bwana siwezi pita barabarani bila kugeuka geuka kama libeberu.
Njoo Mwailubi hapa ule kitimoto choma bwasheeNiko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Hiyo guest inaitwaje hapo Uyole mkuu?Niko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Makasin kijiwe changu pendwa...Niko makasini hapa karibu na nmb uyole branch.
Kwa hiyo napata mafungu eehMbeya kuna malaya 150k mkuu,hiyo k yake inakua na nini cha ziada?