Pre GE2025 Mbeya: RC Homera aagiza kukamatwa kwa kijana aliyemkashifu Rais Samia na kuichoma picha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Matusi ninayoona mimi ni mijizi serikalini kuendelea kuiba huku rais anayaangalia tu. Hayo ndiyo matusi kwetu sisi wananchi....subri mtoto wako awe shoga kweye wimbi hili liloingia laba utatoa pongezi...
 
Haya ni matumizi mabaya ya jeshi la polisi, rasimali za taifa na muda. Sijaona popote pale huyo kijana akivunja sheria. Kaonyesha hisia zake, kachoma picha ambayo ni mali yake. Sasa kama huo sio uungwana na sio utamaduni wetu, hayo hayamhusu mhusika na hayana nguvu za kisheria kumshtaki.
 
Mama haeleweki kwa Sasa. Na hivi amejifungia Ikulu ndio basi Tena.

Mama anatakiwa kuwa ngangari, asikubali kusikiliza matapeli yasio na huruma nasi kuhusu mas'ala ya kodi, kodi nyingi mno.
 
Je kuna Jinai kuchoma Picha?! Mimi mbona nimechambia sana Picha za Magufuli na sijakamatwa?!

Acheni zenu banaa...
Mimi sisapoti huo ujinga, ila watu wamechoka, matozo ni mengi mno. Mama awe makini sana na wanyuma yake
 
Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.
Kwani "heshima" ni kitu gan; inatokana na nini na ni nani anaye heshimika?

Utamheshimu mtu unayeona anakiuka unayo yaamini wewe

Sijasema naunga mkono yanayodaiwa kufanywa, kama ni kweli yalifanyika.
 
Ni bahati mbaya sana kama taifa MTU mara apatapo uongozi hugeuzwa/hujigeuza kuwa mungu.
 
😂 😂 😂
Ingechomwa Picha ya Lissu, Mbowe au Zitto lingetoka tamko na amri kama hii?
Halafu Picha inahusiana nini na hadhi na madaraka ya Rais?
 
Mbona mkuu wa mkoa kakazana kusema chalii katoa kauli chafu sijui matusi ni kama kamtukana mama mzazi na blah blah kibao wakati kwenye video dogo hajatukana tusi hata moja.!!
Au RC hata video hajaiona ila kaamhiwa tu kemea na utoe maamuzi ..
 
Safi sana Polisi Kwa kumtia ngivuni yule mhuni 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C87FFmKqZ_m/?igsh=MWl3c2FrZzAwMm55YQ==
 
Mbona mkuu wa mkoa kakazana kusema chalii katoa kauli chafu sijui matusi ni kama kamtukana mama mzazi na blah blah kibao wakati kwenye video dogo hajatukana tusi hata moja.!!
Au RC hata video hajaiona ila kaamhiwa tu kemea na utoe maamuzi ..
Hili ni la kupuuza tu yaani sijui inakuwaje hawa Viongozi Vijana wamekuwa Washamba na Kujipendekeza kumekuwa kwingii na hii yote ni dalili ya kutokujiamini aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…