ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #141
Majizi kama yapi hayo unayoyajua wewe na Rais anayaangalia? NitajieMatusi ninayoona mimi ni mijizi serikalini kuendelea kuiba huku rais anayaangalia tu. Hayo ndiyo matusi kwetu sisi wananchi....subri mtoto wako awe shoga kweye wimbi hili liloingia laba utatoa pongezi...
Matusi ni dalili ya ugonjwa wa akili uliokomaa 😁😁👇👇Unasukumwa mbolea wewe! Fala
Heshima ni lazima Kwa tafsiri yeyote uijiayo wewe au Ile ya kwenye kamisi.Kwani "heshima" ni kitu gan; inatokana na nini na ni nani anaye heshimika?
Utamheshimu mtu unayeona anakiuka unayo yaamini wewe
Sijasema naunga mkono yanayodaiwa kufanywa, kama ni kweli yalifanyika.
Generation viazi vya chipusiMabadiliko yataanzia Mbeya na kusambaa TZ nzima,
Wanunulie album waweke majumbani kwaoHao wenye picha zao wasiweke kwenye maeneo ya watu, waweke sehemu stahiki tyuuh. Ili kuepusha kuchanwa kwa hizo pichaa.
Lol
Sawa kabisa ,kando mwa barabaraHao wenye picha zao wasiweke kwenye maeneo ya watu, waweke sehemu stahiki tyuuh. Ili kuepusha kuchanwa kwa hizo pichaa.
Lol
Huu ushauri kampe mama yako kwa sababu una mawazo ya ki-manamba.Chadema wafundisheni vijana wenu kuwa wastaarabu la sivyo wataharibikiwa sana, mimk siungi mkono abductions lkn nachukia zaidi huu ujinga wa kumtukana Rais na kuchoma picha yake.
Sasa unachoma picha ya Rais ili iweje?
Yakikukuta yakukukuta utamlaumu nani?
Yaani unaamka asbh unapita sehem unakutana na picha ya Presidaa au PM au VP wewe kwa hasira unachana, maana yake ni nini hasa?
Nasikitika na kuwaonea huruma sana vijana mnaotumwa kufanya ujinga huo, wenzenu wana pa kushikia, nyie mnasubiri kuliza familia zenu.Ushauri tu.
Akili za manamba hizi. Ndizo zimezoea kutukuza wakubwa wake, kila kitu ni ''bwana akija atakupiga....''Wanachezea wembe acha uwakate
Chadema wafundisheni vijana wenu kuwa wastaarabu la sivyo wataharibikiwa sana, mimk siungi mkono abductions lkn nachukia zaidi huu ufala wa kumtukana Rais na kuchoma picha yake.
Sasa unachoma picha ya Rais ili iweje?
Yakikukuta yakukukuta utamlaumu nani?
Yaani unaamka asbh unapita sehem unakutana na picha ya Presidaa au PM au VP wewe kwa hasira unachana, maana yake ni nini hasa?
Nasikitika na kuwaonea huruma sana vijana mnaotumwa kufanya ujinga huo, wenzenu wana pa kushikia, nyie mnasubiri kuliza familia zenu.Ushauri tu.
Dini nyengine hata ukijua kwamba ulipo sipo jua lishazamaMkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.
My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.
Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.
Tanzania haiwezi na haitakuja kuwa Taifa la wahuni.Safi sana Polisi Kwa kumtia nguvuni,alijikuta Gen Z sana.
====
Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.
RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.
Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.
Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.
Amechoma karatasiMkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.
My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa tabia za kihuni za kuiga ukomeshwe na usiruhusiwe hapa Tanzania.
Mnaweza kupinga Kila kitu kadiri inavyowezekana lakini kwa namna ya kuwaheshimu hao msiokubaliana.
Tanzania haiwezi na haitakuja kuwa Taifa la wahuni.Safi sana Polisi Kwa kumtia nguvuni,alijikuta Gen Z sana.
====
Mkuu wa mkoa wa mbeya cde: Juma Z. Homera amemuagiza Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini kuzaga kumsaka na kumkamata kijana anayepatikana Ntokela Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kwa kosa la kumkashifu Rais Samia kwa maneno makali na kisha kuichoma moto picha inayomuonyesha Rais.
RC Homera amelaani vikali kitendo hicho kuwa si cha maadili wala uungwana na kiko tofauti na utamaduni halisi wa wananchi mkoani Mbeya.
Hata hivyo ametoa masaa 24 kwa Kamanda Kuzaga kumkamata kijana huyo ili alisaidie Jeshi la Polisi juu ya tuhuma hizo na mashambulizi hayo ambayo kayaelekeza moja kwa moja kwa Rais Samia.
Mwisho RC Homera amewasihi wananchi mkoani Mbeya kutojiingiza kwenye vitendo viovu kwa kukashifu viongozi makusudi badala yake wajikite katika utafutaji na uchapa kazi kwa manufaa ya familia zao na Tanzania kwa ujumla.