Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Aisee...

Asa kumbe sheria ipo...

Tunafeli wapi sasa!?
 
Ndio.

Kwani mqundu si wa kwake? Badala wapambane na umasikini na rushwa wanawekeza nguvu kubwa kuingilia mambo ya faragha ya mtu mmoja mmoja kwanini? Mbona tunasikia watu wanaiba mabilioni na wanaachwa tu ila wanahangaika na mashoga
Cheki mlivyo wengi..!!
 
Wamemwonea tuu, huyu hakuwa hata na mwanasheria wa kumtetea au kumuongoza, hakimu hakutenda haki kabisa
Serikali hua haitoi mwanasheria kwa asiye na uwezo wa kuajiri mwanasheria binafsi?
 
Hawa watu ni wagonjwa wa akili kabisa.
Ukimwangalia tu unajua ni Chenga tayari.
Wanahitaji Consealing ya Kimwili na Kiroho.
Dume zima linaishia kujipakapaka mafuta na kuvaa nguo za kike huu ni utaahira kabisa.

Wengi wao wamepagawa na mapepo ya Ushoga.
Eee Mwenyezi Mungu Utuondoĺee hili Janga.[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Watu kama Hawa ilitakiwa waazibiwe kimya kimya mda mwingine, Ili watetezi wao wajitokeze hadharani
 
Ni kweli yalianzia huko Pwani kama ulivyokiri na hadi kuyataja hayo maeneo lakini kadri muda na miaka inavyokwenda ndivyo na mikoa mingine inazidi kusambaa hadi vijijini hata ukimwi ulianzia Kagera baadaye ukasambaa mikoa mingine.
Okaaay! Sawa.
 
Ishu kubwa kesi inakuwa upande mmja mabahasha hatuwaoni wakila mvua
 

Mkuu kisheria, Mtuhumiwa akikiri kosa kifuatacho ni kukutwa hatiani na kosa ( convicted) baada ya hapo atasomewa adhabu ya kosa, ana haki ya kujitetea kupunguziwa adhabu kabla ya hukumu ( Mitigating factors) na mwisho tarehe ya hukumu kusomwa itafuata.

Mahakama imefuata utaratibu, asubiri kukata rufaa tu japo haitakuwa na nguvu kwasababu alikiri kosa mwenyewe.
 
Wewe upo huko nchi za watu au umeishi huko. Naomba kuuliza, hivi ni wazungu wote wana sapoti LGTB au? Mana kwa akili za wabongo zilivyo, yaani kwa sasa ukionekana upo na mzungu hata kama mnapiga dili zenu halali, wao wanahisi mnaeneza ushoga.
 
Mwakyembe hebu tuambie kwa nn mkyela mwenzio amekua punga
 
Endelea kutafunwa tu ..huu upepo wa kufunga machoko safari hii haukuachi ..
 
Mbona nilisikia ni watu wa Pwani tu😂😂😂Mbeya tena
 
Siungi mkono ushoga lakini itoshe kusema huyu kijana AMEONEWA.na akipata watetezi na rufaa anatoka nje
nyinyi viazi vitamu na mapapai hamna haki ..ni kutia jela na kuchoma Moto tu tusafari hii mpaka muishe..
 
Atafungwa sero ya peke yake au atachanganywa na wengine?! Atapewa matibabu yoyote? Atapewa Nasaha ili aachane na vitendo vya kishoga?! Atapewa msaada wa kiroho hiyo roho ya ushoga aachane nayo kabisa arudi kwenye Uanaume wake?
 
We papai nyinyi hamna haki hata moja dunian kwanza mko upande gani ke au me ..nyinyi inayowafa ni hukumu ya kifo bila kusikilizwa..tukikuhisi tu we ni papai ushapoteza haki zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…