zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Makaburi siku hizi yapo kulingana nna jinsia,ndio nasikia leo hiiHakuna Mwanamke wa aina hiyo na Hakuna Mwanaume wa aina hiyo
Ila bado ataendelea kutambulika kama Mwanaume no matter what..ata akifa atazikwa kwenye makaburi ya Wanaume
ni kweli hao pia wanachochea ongezeko la mashogaWanaume wanaotumia mashoga nao washughulikiwe
Tuukatae kwa nguvu
akili itamkaa sawa jela,Mtakuja wafunga wendawazimu!
Sio vibaya kama angepimwa Afya ya Akili pamoja na huyo aliye muingilia!
Kwanini isiwe THIEVES HUNTING?Gay hunting siyo!...Dunia hii.
ni kweli hao pia wanachochea ongezeko la mashoga
Basha wake ama mende mpanda kitonga naye kahukumiwa au ndo ameachwa aendelee kufakamia vijana wengine?Mahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Akizungumza mahakamani hapo Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya kyela Paul Mabula Barnabas amesema kuwa mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapa leo tar 6/4/2022 kwa kosa la kuruhusu mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 154 kifungu kidogo cha kwanza C cha sheria ya kanuni ya adhabu kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo,mshtakiwa akakili kosa na baada ya kukili mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela.
Itakumbukwa video za kijana huyo zilisambaa katika mitandao ya kijamii siku chache zilizopita ikiwa amevaa mavazi ya kike usiku wa manane pindi alipokamatwa na vikundi vya ulinzi shirikishi maarufu kama sungusungu.View attachment 2578736
Uatonekana unawatetea ila na mm nimeshanga kesi kwenda siku moja tu bila kuwahoji walio muungilia ambao wapo hai ,hao walio achwa ndio wabayaUjinga mtupu, hiyo BANANA COURT inahukumu watu SUMMARILY bila hata ushahidi?
Kesi gani inaendeshwa kwa siku moja bila kuzingatia ushahidi wa kidaktari na kitaalamu?
This is a WRONG PLEA OF GUILTY which needs to be QUASHED.
Huyu hakimu anatembea na upepo ili aonekane anapinga ushoga. Amulikwe.
Sio haki kumfunga mtu kisa tu ametumia mwili wake kufanya mapenzi atakavyo. Kama kuna sheria inayosema hivyo, ni sheria BATILI.
Akate rufaa haraka.
Msituoneshe mikia yenu bana#KATAA UBASHA
#KATAA USHOGA
#MWANAMKE KATAA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE
Kabisa nao wanatakiwa kuchukuliwa hatuaMimi naomba ataje wale walikuwa wakimla. Sababu hawa watu watabakia mtaani huko wakilawiti watoto na kushawishi wake za watu kuliwa tigo.
So naomba mahakama isiishie hapo tu iendelee mbele zaidi kuchukua hatua dhidi ya hawa walioshiriki nae ngonoi ya kinyume na maumbile
Huyu HAKIMU WA MWENDOKASI ni mjinga na mpumbavu.Uatonekana unawatetea ila na mm nimeshanga kesi kwenda siku moja tu bila kuwahoji walio muungilia ambao wapo hai ,hao walio achwa ndio wabaya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watu wengi wanatemwa na rufaa kwa sababu ya hukumu kama hizi.Mahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Akizungumza mahakamani hapo Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya kyela Paul Mabula Barnabas amesema kuwa mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapa leo tar 6/4/2022 kwa kosa la kuruhusu mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 154 kifungu kidogo cha kwanza C cha sheria ya kanuni ya adhabu kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo,mshtakiwa akakili kosa na baada ya kukili mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela.
Itakumbukwa video za kijana huyo zilisambaa katika mitandao ya kijamii siku chache zilizopita ikiwa amevaa mavazi ya kike usiku wa manane pindi alipokamatwa na vikundi vya ulinzi shirikishi maarufu kama sungusungu.View attachment 2578736