Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Lissu ni mwabudu shetaniAliwatoa wana wa Israel utumwani Misri ndiyo atakavyowatoa Watanzania utumwani CCM
Anawahadaa nyie msio na imani ili mumuunge mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu ni mwabudu shetaniAliwatoa wana wa Israel utumwani Misri ndiyo atakavyowatoa Watanzania utumwani CCM
Kwani ameingiza siasa kanisani zaidi ya kumshuru Mungu.
AminaMungu ni mkubwa kuliko hila za ccm na magufuli
Uchaguzi ulishafanyika siku nyingi na Mungu alishamchagua lisu kwa wakati huu.utawala wa ccm ulishafutwaMapema leo asubuhi Jijini mbeya Tundu Lisu amehudhuria ibada kabla ya kuanza safari kuelekea Mtwara.
View attachment 1560428
Umeona jinsi babako alivyobanwa mbavu?kaenda kutafuta kura kanisani.Zamani alikuwa hasali kabisa huyo.Dini kaijua baada ya uteuzi
kaenda kutafuta kura kanisani.Zamani alikuwa hasali kabisa huyo.Dini kaijua baada ya uteuzi
Lissu ni mwabudu shetani
Anawahadaa nyie msio na imani ili mumuunge mkono
Angalikuwa mgombea wa chama fulani angeanza kuchangisha mchango wa msikiti hapo kanisani ili kutafuta kura za Waislamu hata kama hawakumtuma kufanya hivyo.Mapema leo asubuhi Jijini mbeya Tundu Lisu amehudhuria ibada kabla ya kuanza safari kuelekea Mtwara.
View attachment 1560428
Wametulizwa watu wa maana unasema huyu. Hajapata hata copy ya Robert Armsterdams...TL hakukutana na RC Chalamila?
si bora huyu, je yule anayezuga ni mtu wa Mungu huku matendo yake ni ukatili mtupu dhidi ya wanaomkosoa?!.kaenda kutafuta kura kanisani.Zamani alikuwa hasali kabisa huyo.Dini kaijua baada ya uteuzi
From beginning to the very end...the victory is on the broader wayMapema leo asubuhi Jijini mbeya Tundu Lisu amehudhuria ibada kabla ya kuanza safari kuelekea Mtwara.
View attachment 1560485
View attachment 1560486
View attachment 1560487
View attachment 1560488
View attachment 1560489
View attachment 1560490
View attachment 1560491
View attachment 1560492
View attachment 1560493
Zama youtubemaelezo mkuu wapi huko mh.Rais ametoa shukran hizo?
Lisu alishakufa tayari. Huo ni mzimu unaoishi. Siku ile NEC walijiuliza hadi saa 12 tumkate tumuache! Sasa wanajuta.Hivi maccm kwanini hayakutumia sumu kama yalivyofanya kwa Mangula kumdhibiti Lissu ?
Tumeanza na Mungu, tunamaliza na Mungu. Tundu Lissu for presidency, 2020.Mapema leo asubuhi Jijini mbeya Tundu Lisu amehudhuria ibada kabla ya kuanza safari kuelekea Mtwara.
View attachment 1560485
View attachment 1560486
View attachment 1560487
View attachment 1560488
View attachment 1560489
View attachment 1560490
View attachment 1560491
View attachment 1560492
View attachment 1560493
Mwabudu shetani ni yule anaehubiria ubaguzi kule majukwaani .Lissu ni mwabudu shetani
Anawahadaa nyie msio na imani ili mumuunge mkono
Ilesumu ilikua katengwa member lkn mangula kwa ulafiwake kaaivamia yeyeHivi maccm kwanini hayakutumia sumu kama yalivyofanya kwa Mangula kumdhibiti Lissu ?
Pale kaepuka masharti ya jiwe..kwani Mangula amekufa?
..umeambiwa huwa wanapiga risasi 3, sasa TL alipangiwa risasi 38.
MaCCM ni makenge makubwa, akili zao zimejaa mauajiIlesumu ilikua katengwa member lkn mangula kwa ulafiwake kaaivamia yeye
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app