Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww PIMBI mungu hana mipaka kwenye swala la kufanya Toba kwa mja wakekaenda kutafuta kura kanisani.Zamani alikuwa hasali kabisa huyo.Dini kaijua baada ya uteuzi
Lisu Yeye ndie alikuwa akiwafuatilia waoKumbe wale wasiojulikana walipokuwa wakimfatilia pale st.peter alikuwa anaenda kushangaa madhabau au?
Hahaha! Mtasema yote!Hivi maccm kwanini hayakutumia sumu kama yalivyofanya kwa Mangula kumdhibiti Lissu ?
Hapo ni Mt Anthony wa Padua-Mbeya city.maelezo mkuu wapi huko mh.Rais ametoa shukran hizo?
KivipHahaha! Mtasema yote!
MTAKOMA MWAKA HUU
Mimi nimeoaMie na wewe tumeolewa sehemu moja haa unajisahaulisha mara hii
Mimi nimeoa
Wewe unatakiwa kuolewa
Mungu ni zaidi ya Sumu kijana Mungu akipenda hata ukipaliwa tu ni kwaheri. kwahio tulia kijana na umuombe MunguHivi maccm kwanini hayakutumia sumu kama yalivyofanya kwa Mangula kumdhibiti Lissu ?
AMEEENAliwatoa wana wa Israel utumwani Misri ndiyo atakavyowatoa Watanzania utumwani CCM
Ilishakataliwa ndio maana majamaa yamepanic sn na kutisha watzAmina
Watanzania tuungane kuikataa ccm
kaenda kutafuta kura kanisani.Zamani alikuwa hasali kabisa huyo.Dini kaijua baada ya uteuzi
This time around hatumuachii MunguLisu alishakufa tayari. Huo ni mzimu unaoishi. Siku ile NEC walijiuliza hadi saa 12 tumkate tumuache! Sasa wanajuta.
Kura kwa Lisu. Urais kwa Magufuli. Hii ndio Tanzania.
Hata 2015 kura alipewa Lowasa urais akapewa Magufuli.
Goli la mkono ndio kilichobakia!
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app