Uchaguzi 2020 Mbeya: Tundu Lissu amshukuru Mungu kwa matendo makuu

Uchaguzi 2020 Mbeya: Tundu Lissu amshukuru Mungu kwa matendo makuu

Safi sana. Ila nawaonea huruma viongozi wa hilo kanisa kwa maana wanaweza kujikuta wanabambikiwa kesi za uhujumu uchumi kisa tu muumini wao mgombea uraisi amesali kwao.

Epushia mbali Jambo hili ee Mungu, bwana yule (Yesu wa KL) hatafurahishwa na Jambo hili.
 
Mungu amtangulie huyu kiongozi wa Taifa mtarajiwa

10 Sep 2017
Waamini katika Kanisa la Gwajima watunga wimbo wa kumuombea uzima Tundu Lissu


KANISA LA GWAJIMA WATUNGA WIMBO WA TUNDU LISSU

 
Hilo kanisa lingekuwa sawa na Yale yaliyosajiriwa kwa pencil nadhani Leo Leo msajili angetii maagizo lifutwe
 
Mungu amtangulie huyu kiongozi wa Taifa mtarajiwa

10 Sep 2017
Waamini katika Kanisa la Gwajima watunga wimbo wa kumuombea uzima Tundu Lissu


KANISA LA GWAJIMA WATUNGA WIMBO WA TUNDU LISSU


Mmiliki kaunga juhudi kuhofia part 2 ya mkono wa baunsa
 
Kumbe mnaangalia mkuu?Hivi Lissu huwa anawatambulisha wagombea ubunge na udiwani?

Wazo la bure CDM ichapishe sare nyingi zaidi itakua poa
Miongonj mwa Dada zangu hapa JF niliokuwa nawa heshimu sana moja wapo ni wewe lkn kwa hili nimekuona wa tofauti kabisa
 
..kweli ni mpumbavu, lakini alichokisema kisipuuzwe.

..ametoa siri ambayo wengi tulikuwa hatuijui.

..kama taratibu zao ni kutumia risasi 3, kwanini wampige risasi 38?
Aliropoka Mungu amsamehee
 
Safi kabisa. Natamani wengine wajitokeze wafunguke hivi maana kuishi KINAFIKI tabu sana. Nilipojiunga JF nilikua all alone sikushikwa mkono na mtu wala kusaidiwa bando so mkuu its good heshima yako ipeleke panapostahili.
Miongonj mwa Dada zangu hapa JF niliokuwa nawa heshimu sana moja wapo ni wewe lkn kwa hili nimekuona wa tofauti kabisa
 
Safi kabisa. Natamani wengine wajitokeze wafunguke hivi maana kuishi KINAFIKI tabu sana. Nilipojiunga JF nilikua all alone sikushikwa mkono na mtu wala kusaidiwa bando so mkuu its good heshima yako ipeleke panapostahili.
Sawa nashukuru
 
MaCCM mlitaka kumuua Lissu lakini Mungu anamlinda. Mashetani wakubwa nyie maCCM. You will die while sticking your index fingers in your asses. Mungu anawaona nyie maCCM, waabudu sanamu wakubwa....miknd yenu.
Waliotumwa kumuuwa wengine wametangulia kabla yake huu Ni ukuu wa Mungu
 
kaenda kutafuta kura kanisani.Zamani alikuwa hasali kabisa huyo.Dini kaijua baada ya uteuzi
Kumbe wale wasiojulikana walipokuwa wakimfatilia pale st.peter alikuwa anaenda kushangaa madhabau au?
 
Back
Top Bottom