..kwaiyo kwasasa ni kosa kukutana mkapata nyama choma na bia?...kwani huzuni ya msiba inapimwa kwa watu kukaa namna gani jamani?....kwetu huwa ukitokea msiba lazima tuchinje mbuzi na pombe iwepo kumbe ni kosa,😥Nchi ngumu sana hii....[emoji706][emoji706][emoji706]
...mtafutie wakili fasta iyo kesi nyepesi...hakuna Shelia inayosema msiba ukitokea lazima utembee unalia wala unacheka...hakuna Shelia inayokataza Kula supu na kunywa pombe wakatiDuuuuu Jamaa mmoja hapo katika hao ninamfahamu Asifiwe Mwasaga ni dereva wa magari ya mizigo yanayopaki Mwanjelwa karibu na sheli ya Chipukizi.
... hahahaaaa wamesema Kula mbuzi na pombe kunahamasisha uvunjifu wa amani!! Duuu yani leo supu ya mbuzi imekuwa kama madawa ya kulevyaMimi nimenunua mbuzi mzima kesho tunamchinja plus vinywaji...kila siku ni sikukuuuu
Kamati ya shemasi ipo kazini
TBL walionywa mapemaa tuuFatilia mauzo ya bia tangia tar 17 lazima graph itakuwa imepanda.
Achana na hao pisikali,vijana wa cdm waliouwawa na meko wazazi wao wanafuraha kuliko siku zote,na bado mataga watasema walipeleka wapi maiti zao au walichemsha supu... hahahaaaa wamesema Kula mbuzi na pombe kunahamasisha uvunjifu wa amani!! Duuu yani leo supu ya mbuzi imekuwa kama madawa ya kulevya
Unaweza ukaona kama utani ila kuna jamaa aliniambia maeneo ya kwao walikunywa pombe hiyo tar 18 balaa,kuna jamaa akanipigia simu anashangilia ila kwa ile tone inaonekana alikuwa bwiiii.TBL walionywa mapemaa tuu
Na tutakosea sana kama hatutafanya ibada ya shukrani juu ya hili.Uongo mbaya Nchi ilipatwa na Dikteta Uchwara wa hatari kabisa lakini Mungu ametusaidia
R.I.P Maalim SeifMambo ya kikhanithi haya!
Waache wenye kufurahi wafurahie na wakusikitika waaikitike. Yesu aliwaambia akinamama walikuwa walimlilia kuwa wajililie wenyewe. Marehemu amekufa kwa uzembe wake kwa kudharau covid 19. Kula na kunywa msibani mbona ni kawaida tuJeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia Watu wanne kwa tuhuma za kufurahia kifo cha hayati John Magufuli kwa kupika supu na kununua ndoo ya lita 20 ya pombe ya kienyeji ya Ulanzi.
Pia soma > Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli