Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Hivi shida nini kama Waziri Mkuu juzi kasema mazishi yamefuatiliwa na watu BILIONI 3.9, kaliliwa na every internet user, hawa wa4 ni sawa na kusema wamemwaga pakiti ya chumvi kwenye ziwa Victoria na maji hayaweziharibika na kuwa na ladha chumvi, au mie natumia nguvu SANA kufikiria??
Wasimuharibie mama Samiah, kuna kama ka element kakum sabotage. Kishasema yeye ni Raisi wa JMT mwenye maumbile ya mwanamke, jamani waangalie wasijeingia cha kike, wakitafuta kiki! Kwa maamuzi ambayo hayana stand za kisheria.
Everyday is Saturday............................... 😎
Wasimuharibie mama Samiah, kuna kama ka element kakum sabotage. Kishasema yeye ni Raisi wa JMT mwenye maumbile ya mwanamke, jamani waangalie wasijeingia cha kike, wakitafuta kiki! Kwa maamuzi ambayo hayana stand za kisheria.
Everyday is Saturday............................... 😎