Mbezi Beach, Dar: Mwanamke achoma nyumba ya mpenziwe wa zamani

Huyo siyo wewe na mjomba wako?
 
Huyo siyo wewe na mjomba wako?
We nae... me habari za kuchomana myoto sizizimii sana, me adhabu ntayompa ni kumpa mechi ya hasira na ya kupania yenye maandalizi kama ya fungate kiasi kwamba anabaki njia panda hajielewi.....yeye mwenyewe kila akitaka kunisahau ananipigia tu...
 
Apelekwe Milembe sio Jela.
Hilo ni tatizo la akili sio jinai. Tanzania jela wamejaa watu wenye matatizo ya akili kwa kuwa hatuna wataalam wa Saikolojia wa kutosha na waliopo wanazungumzia mapenzi na ngono tu kina Mauki n.k
 
Inawezekana mwanume alimfundisha kuvuta bangi, mwanamke inawezekana bado anendelea kuvuta wakati bwana kaacha,
 
SAW

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Wakurya nao wameamka siku hizi. nilijua wachagga tu.
πš πšŠπš”πšžπš›πš’πšŠ πš—πšπš˜ πš πšŽπš—πš’πšŽπš πšŽ. πš πšŒπš‘πšŠπšπšπšŠ πš πšŠπš”πšŠπšœπš˜πš–πšŽ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…