Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa comment, comment yako ni muhimu sana humu JF.Wakolosai 2:18 Mtu asiwanyang'anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili;
Mathayo 24: 4-5 Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye.
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
UNGANA NA ZUMARIDI MTATENGENEZA MOVIE
Hakuna sehemu niliposema kuwa Babu wa kizungu amenitokea na nikamuita Mtakatifu. Hayo ni yako mkuu. Kuhusu Babu yako muafrika kufa na kuitwa Mzimu ni wao wenyewe wanajiita hivyo. Mara nyingi mapepo yakipanda huwa wanasema wao ni mizimu na hata waganha wa kienyeji huwa wanayaita mamizimu ya Babu yako au mababu yao kuyauliza so hakuna sehemu toka nianze kusoma Biblia imeandikwa mababu wa waafrika ni mizimu.Mambo ya Imani ni magumu sana.
Sisi wa afrika tunahitaji uponyaji wa Fikra zetu.
Babu wa kizungu tuliambiwa ni Mtakatifu akikutokea ni sawa.
Lakini babu yangu mwafrika akifa anakuwa mzimu.
Waafrika tuamke turudi kwenye asili yetu.
Kuna wengine walioa mfano Petro alioa na ndiye pekee Biblia imasema kuhusu kuwa na Mkwe ila wengine Biblia haijatueleza kuwa walioa au lah kwani Injili zinaeleza "Public Life of Jesus Christ" na sio mitume mkuu wangu.Hivi wale wanafunzinwa Yesu walikua wameoa?
Hongera kwa comment, tunatambua mchango wako hapa JF.Hata chumbani kwa mchungaji wako haujafika afu utudanganye umefika mbinguni kibwetere malabuku
Mungu ni Mungu wa Lugha na Makabila. Biblia inasema yeye ndiye muanzilishi wa lugha kwani ndiye aliyemuumba Adam na akawa anaonhea naye na pia ndiye aliyewapa usemi Mpya akona Nimrod pale Babeli kwa hiyo ili umuelewe kile anachosema nawe, ataongea nawe kwa lugha mama yako.Sorry naomba kuuliza unasema ulipofika mbinguni ukakutana na wengine mkaimba wimbo wa “bwana Mungu nashangaa kabisa”
Je huko ni lugha ya kiswahili pekee unatumika? Au sehemu ulipelekwa ni mbingu wako wanaojua kiswahili pekee!?
Asante
Asante nawe kwa comment, tunautambua mchango wako hapa JF.Ahsante kwa taarifa...
Amina, Mungu akutie nguvu na akutane na haja ya Moyo wako. Watu wanashindwa kujua kuwa hatumuabudu Mungu mfu ila tunamuabudu Mungu aliye hai na anayesema nasi kila iitwapo leo. Yeye ni muaminifu na kama tutamtafuta kwa nia na mioyo yetu yote, atatufunulia siri za Mbinguni na kutujaza na baraka zake.Mkuu Kinengunengu hongera kwa ku-share nasi personal experience namna ulivyoenda Mbinguni na kurudi. Kwangu mimi Mkristo ninayeamini katika Mungu baba, Mwana na Roho Mtakatifu sina Mashaka na uliyoyasema.
Katika Kitabu cha Mark 9:19 Yesu alikemea kizazi kisichoamini.
Hao hawana Mbingu ila wana Pepo. Pepo yao hata wewe umeshawahi kuiona, kwa maana pepo yao kulingana na Quran ipo............In sha Allah ngoja na muislamu aje hapa atueleze habari za kimataifa kuhusu mbingu
Hahahaaaaa, bwana mdogo bwana. mwenyewe basi umejiona umeandika Bonge la point na viingerezaa viingiiiiiiiii.
Hii picha ni ya nini mkuu?Mkuu fanya evaluation ya afya ya akili seriously.View attachment 2593918 Na huyo mnyama ulimuona huko?
Nimecheka sana 😊😊😊Wakolosai 2:18 Mtu asiwanyang'anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili;
Mathayo 24: 4-5 Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye.
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
UNGANA NA ZUMARIDI MTATENGENEZA MOVIE
Hongera kwa comment yako, tumeithamini sana hii mkuu.Imani bwana
Mwenzako zumaridi ana matatizo ya akili ila wew mzima yani unajiona wew upo sahihi sana kusema kwamba ulifika mbinguni ila zumaridi muongo alafu mbinguni ulienda ukaimba na kurudi tu.
enh tueleze kidogo hao mliokuwa mnaimba pamoja na wametoka duniani au wenyew in Wakazi wa huko
Hongera kwa kucheka mkuu.Nimecheka sana 😊😊😊