Mbingu ni kweli ipo na huu ni ushuhuda wangu binafsi

Mbingu ni kweli ipo na huu ni ushuhuda wangu binafsi

Imani bwana
Mwenzako zumaridi ana matatizo ya akili ila wew mzima yani unajiona wew upo sahihi sana kusema kwamba ulifika mbinguni ila zumaridi muongo alafu mbinguni ulienda ukaimba na kurudi tu.
enh tueleze kidogo hao mliokuwa mnaimba pamoja na wametoka duniani au wenyew in Wakazi wa huko
Inachekesha sana ndo ujue tatizo kubwa ni utofauti wa imani kati ya mtu na mtu , Zumaridi alipondwa sababu tuu alikuwa na mlengo wake wa kiimani , ila huyu mwakasege na huyu mtoa mada wanajitetea sababu imani yao ni moja , ila wote ni wahuni tuuu hawana lolote
 
Naona mwny thread hatak kunijibu,nalileta swali kwenu nyote unaeamini mbinguni ni juu ,ila naomba mtu huyo atakaesema ndio mbinguni ni juu awe amepita na darasa la elimu dunia pia
Wewe unaamini mbinguni ni wapi? Tuanzie hapo kwanza.
 
Inachekesha sana ndo ujue tatizo kubwa ni utofauti wa imani kati ya mtu na mtu , Zumaridi alipondwa sababu tuu alikuwa na mlengo wake wa kiimani , ila huyu mwakasege na huyu mtoa mada wanajitetea sababu imani yao ni moja , ila wote ni wahuni tuuu hawana lolote
Hongera kwa comment yako, natambua mchango wako katika huu uzi.
 
Yani mkiota tu ndoto mpo mawinguni mnasema mmepewa maono mmeenda mbinguni mmeonana na Mungu?

Mbona Mimi huwa naota napaa, kwahiyo huwa naescort malaika au huwa naenda mbinguni kupiga story?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo ya imani magumu sana.....na ugumu unakuja zaidi huwa hayana uthibitisho wa moja kwa moja.
Hongera kwa kufika mbinguni
Story za kutungwaa tyuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inachekesha sana ndo ujue tatizo kubwa ni utofauti wa imani kati ya mtu na mtu , Zumaridi alipondwa sababu tuu alikuwa na mlengo wake wa kiimani , ila huyu mwakasege na huyu mtoa mada wanajitetea sababu imani yao ni moja , ila wote ni wahuni tuuu hawana lolote
Wahuni tu wote kiujumla usisadiki cha mwenzako kuwa kweli ila yey uongo ule ule wa zumaridi anataka kuamuniwa
 
Wahuni tu wote kiujumla usisadiki cha mwenzako kuwa kweli ila yey uongo ule ule wa zumaridi anataka kuamuniwa
Hakuna sehemu nimesema nataka kuaminiwa. Nioneshe nimeandika wapi nataka kuaminiwa na watu wasionijua na tunaotumia nao fake ID? Bwana mdogo bwana.
 
Kwanini unasema zumaridi ni mental case? Kwa sababu anaongea pumba sio? Kwa taarifa yako wewe na zumaridi mpo kundi moja. Kama ni maono wote mna maono kama ni shida ya akili wote ni mnayo.
Haswaaaa umempatiaaa vizuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama Yesu walimpinga, hata wewe watakupinga.. Mungu ni harisi, mbingu na malaika wa Mungu ni harisi, maono na ndoto vipo na uzoefu wa ki Mungu upo.. Mungu ni Yule Yule jana , leo na hata Kesho
Thubitishaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani mkiota tu ndoto mpo mawinguni mnasema mmepewa maono mmeenda mbinguni mmeonana na Mungu?

Mbona Mimi huwa naota napaa, kwahiyo huwa naescort malaika au huwa naenda mbinguni kupiga story?
[emoji1787][emoji1787][emoji38]kweli aisee,wanafananisha mawinguni na mbinguni
 
Kwanini unasema zumaridi ni mental case? Kwa sababu anaongea pumba sio? Kwa taarifa yako wewe na zumaridi mpo kundi moja. Kama ni maono wote mna maono kama ni shida ya akili wote ni mnayo.
Hahaaaaa vijana wa chanjo hao. Much knowing lakini hawajui chochote zaidi ya kubett na kuongelea ngono tu.
 
Back
Top Bottom