lwidia2k
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 618
- 1,287
Hizo copy ziko wapi mkuuKijana wewe ni tura inatakiwa Nikuuzie copy tu, haiwezekani ukawa na point 1014, Yani umepigwa mpaka umeshuka daraja ,. Nimekuona point zako ulipokuwa unaangalia mechi yangu mida flani, we kimabao bado sana
Sent using Jamii Forums mobile app