Heavy User
JF-Expert Member
- Feb 2, 2020
- 1,047
- 1,903
Ukiona mtu kaweka dakika 15 kwenda juu huyo ni wa kufikiria mpaka kero, kuna jamaa anaitwa kmohd, huyu jamaa anafikiria mpaka bored.
Halafu kuna waoga, akikufunga moja tu anakimbia.
Halafu kuna waoga, akikufunga moja tu anakimbia.