Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Yeah, playok hakuna kibonde, kule usimchukulie poa yeyote, unaweza fungwa na mchezaji uliyemzidi point kibao. Ukitaka ujue drafti fululiza kucheza playok, au waangalie wengine wanavyocheza.

Wanaoweka dakika 1, 2 au 3 wanapima uwezo wao kuzizoea copy walizozizifanyia mazoezi na kufikiri kwa haraka. Wengine wanaocheza kwa dakika 1 ni kweli wezi/wajanja wajanja, shida yao ni ushindi tu hata game ni sare, wanafosi kucheza ili uwahi kumaliza muda ashinde. Game za muda mfupi kama dakika 1-3 inatakiwa network yako iwe faster na strong 4G, siyo network za kuungaunga au slow.

Kabla ya kuanza kucheza na mchezaji anayesubiri kucheza na mtu, angalia kwanza table yake ni ya dakika ngapi?, kama ni ya dakika 1 achana naye kama hutaki kwa dakika moja.

Kule kuna watu wanaolala, yaani kete ya mwanzo tu anafikiria weeee!!, wanaboa sana.
Fundi wa kule ni mm frustration na ID hii ya JF
 
Yeah, playok hakuna kibonde, kule usimchukulie poa yeyote, unaweza fungwa na mchezaji uliyemzidi point kibao. Ukitaka ujue drafti fululiza kucheza playok, au waangalie wengine wanavyocheza.

Wanaoweka dakika 1, 2 au 3 wanapima uwezo wao kuzizoea copy walizozizifanyia mazoezi na kufikiri kwa haraka. Wengine wanaocheza kwa dakika 1 ni kweli wezi/wajanja wajanja, shida yao ni ushindi tu hata game ni sare, wanafosi kucheza ili uwahi kumaliza muda ashinde. Game za muda mfupi kama dakika 1-3 inatakiwa network yako iwe faster na strong 4G, siyo network za kuungaunga au slow.

Kabla ya kuanza kucheza na mchezaji anayesubiri kucheza na mtu, angalia kwanza table yake ni ya dakika ngapi?, kama ni ya dakika 1 achana naye kama hutaki kwa dakika moja.

Kule kuna watu wanaolala, yaani kete ya mwanzo tu anafikiria weeee!!, wanaboa sana.
ukiwa unaangalia game za wengine player one anakuwa ni waupande gani (wa juu au wachini)?
 
playok. ni platform mzuri kwa sisi wanamchezo wa draft. waliowengi mule wanaujua kwelikweli huu mchezo ila wengine ni janjajanja tu. makosa ya kiufundi ya platform hii ni kile kitendo cha kumpa ushindi table operator kwakuwa muda aliouseti yeye ukiisha. utakuta mtu anaweka dk 1 mchezo upokati anapewa ushindi yeye. au mtu kaweka dk 5 akiona unaelekea kumfunga basi anaamua kulala ili muda uishe apewe ushindi yeye. id yangu kule playok ni phrasalverbs
Hi kitu huwa inanikera sana aiseee, sometimes unaweza ukaona dk za mwenzako zinazidi kwenda tu kumbe bila kujua zinaenda za kwako eti Kete yako haijaenda wkt umesukuma na ikaonekana kwenda.

Jambo la pili ni watu kung'ang'ania point za Bure kwa kuwa muda wako imebaki mdg ingalikuwa game ni draw.

Jambo jingine ni Ile kitu ya Kete tatu kwende mpk 15 baadala ya kuishia 12.Hapo ni ungese.

Jingine ni Hilo la mtu kuchange muda wkt game ikiendelea.Huu ni uhuni,ishanicost mara nyingi sana.
 
Zote izo copy za british
sio british, drafti linalochezwa Tanzania sio la british

la british ni checkers, ingia google angalia sheria za british checkers, lina mfumo tofauti kabisaaaa

la kibongo ni la mjerumani, linaitwa damas

by the time mwingereza kaja bongo drafti la kijerumani lilikuwa lishaota mizizi nchi nzima
 
ukiwa unaangalia game za wengine player one anakuwa ni waupande gani (wa juu au wachini)?
Player 1 anakua upande wako mtazamaji, yaani wa chini. Na player 2 anakuwa upande wa juu, yaani anakua kama mpinzani wa mtazamaji.
 
Hi kitu huwa inanikera sana aiseee, sometimes unaweza ukaona dk za mwenzako zinazidi kwenda tu kumbe bila kujua zinaenda za kwako eti Kete yako haijaenda wkt umesukuma na ikaonekana kwenda.

Jambo la pili ni watu kung'ang'ania point za Bure kwa kuwa muda wako imebaki mdg ingalikuwa game ni draw.

Jambo jingine ni Ile kitu ya Kete tatu kwende mpk 15 baadala ya kuishia 12.Hapo ni ungese.

Jingine ni Hilo la mtu kuchange muda wkt game ikiendelea.Huu ni uhuni,ishanicost mara nyingi sana.
Kuona dakika zinaenda za mpinzani wako kumbe za kwako ndiyo zinakwenda, inaweza kuwa ujanja wa mpinzani wako, au network yako inasumbua.

Wanaokomaa muendelee kucheza wakati game ni sare, hao wapo kwa ajili ya sifa ya kuonekana wana point nyingi. Game za dakika chache ni kwa ajili ya kupima uwezo wa kufikiri haraka, siyo kukomoana mnacheza bila kufikiri ili mmoja dakika zimuishie mwingine apate ushindi wa mezani.

Watanzania tunajua kwamba drafti letu la Kibongo kete 3 kuhesabu mwisho 12, sasa 15 playok sheria wameitoa wapi?, labda wamechukua sheria za kete 3 za mataifa mengine. Ipo haja ya kuwasiliana na playok wafanye marekebisho ya kete 3 iwe mwisho 12.

La kubadili muda katikati ya mchezo hilo hakuna, lipo la kubadili muda baadala ya kumaliza mchezo mkisubiri kuingia mchezo unaofuata, hili nalo la ni halikubaliki kabisa.
 
Kuona dakika zinaenda za mpinzani wako kumbe za kwako ndiyo zinakwenda, inaweza kuwa ujanja wa mpinzani wako, au network yako inasumbua.

Wanaokomaa muendelee kucheza wakati game ni sare, hao wapo kwa ajili ya sifa ya kuonekana wana point nyingi. Game za dakika chache ni kwa ajili ya kupima uwezo wa kufikiri haraka, siyo kukomoana mnacheza bila kufikiri ili mmoja dakika zimuishie mwingine apate ushindi wa mezani.

Watanzania tunajua kwamba drafti letu la Kibongo kete 3 kuhesabu mwisho 12, sasa 15 playok sheria wameitoa wapi?, labda wamechukua sheria za kete 3 za mataifa mengine. Ipo haja ya kuwasiliana na playok wafanye marekebisho ya kete 3 iwe mwisho 12.

La kubadili muda katikati ya mchezo hilo hakuna, lipo la kubadili muda baadala ya kumaliza mchezo mkisubiri kuingia mchezo unaofuata, hili nalo la ni halikubaliki kabisa.
Muda wanabadili kwa nmn hii.Wkt ukimuinvite mcheze utaona kama muda wake ni dk Tano, ghafla kbl ya mchezo kuanza utakuta katoka na kurudi,usipokuwa makini kuangalia muda ukabinyeza START utakuja kuona jamaa Kaset dk Moja ingali ww hukujiaandaa kwa Hilo.
 
Muda wanabadili kwa nmn hii.Wkt ukimuinvite mcheze utaona kama muda wake ni dk Tano, ghafla kbl ya mchezo kuanza utakuta katoka na kurudi,usipokuwa makini kuangalia muda ukabinyeza START utakuja kuona jamaa Kaset dk Moja ingali ww hukujiaandaa kwa Hilo.
Yep, hiyo concept ni sawa na concept ya mmeshacheza michezo kadhaa mmemaliza mnataka kuingia mwingine, mkiwa kwenye hatua ya kila mtu kutaka kubonyeza START, mpinzani wako kama ni table operator, anaclick SETTINGS halafu anabadili fasta muda.
 
Frustration nimemfumua, phrasal, draft kama unajua ni unajua tu hata dakika sifuri unacheza
 
Back
Top Bottom