Heavy User
JF-Expert Member
- Feb 2, 2020
- 1,047
- 1,903
Kila shetani na mbuyu wake, watabe wengine hawafurukuti kabisa kwenye matusa yenye point 1100+. Pitia records za opponents za win-loose-draw ujioneeila me siwezi kukuacha labda utoe sare.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila shetani na mbuyu wake, watabe wengine hawafurukuti kabisa kwenye matusa yenye point 1100+. Pitia records za opponents za win-loose-draw ujioneeila me siwezi kukuacha labda utoe sare.
Kama hujacheza naye mechi baada ya rekodi hizi unazosema, tukienda kupekua statistics tutajua unatumia ID ganiuyo tura Darius nishapiga goli 28, pamoja na miguu yake hiyo , sare tatu na goli mbili
Okay, kumbe zile siyo copies?!, copies zipoje?kule hamna copy ndugu ,ni michezo ambayo inatokana na philosophical idea ya mchezaji ambae aliona wakati inacheza ,
nachezea point 1300 huko, uje nikupunguzieEti msingi wa draft, hizo ni lugha za kibiashara mkuu.
soma za kwenye huu uzi, hizi copy ndo regenerativeOkay, kumbe zile siyo copies?!, copies zipoje?
copy ni ile inakupa goli, ukibanwa unapata sare. kwa maoni yangu. ukiona unakopi halafu mtu akichange huoni sare, achana nayoOkay, kumbe zile siyo copies?!, copies zipoje?
kipindi kile ulikuwa unamkalisha sana dalmax. upo playok?Vijana mnaonekana viwango vyenu bado vidogo ila maneno meeengi
wewe inafaa ukaguliwe na mabataVijana mnaonekana viwango vyenu bado vidogo ila maneno meeengi
huyo wa ukae bin kulijua ni mkali?wewe inafaa ukaguliwe na mabata
Sijaridhika na kiwango nilichonacho cha kubahatisha, najiona bado sijajua kabisa japo nipo kwenye level ya wastani. Ingawa sijui lakini mara kibao nakukung'uta dariusrr
Nikuuzie weweNajifunza.
Unatumia jina gani wewe boya nikuadhibu??Tutusa, Kuna jamaa nilimpiga goli baya, katika mchezo ambao anautegemea , kwamba utampa ushindi, ulipoisha tu [emoji125][emoji125][emoji125] alitimua
MUKY mzee nitafute hapoooooooooTatizo mnaficha ID zenu, fungukeni ili tukipambana tujue.
Kama ni tura ni tura tu, hata usipotaja ID yako unabaki tura tu.
Unatumia jina gani nikuvamie hukoUnatumia jina gani wewe boya nikuadhibu??
MukyUnatumia jina gani nikuvamie huko
MukyMuky