Heavy User
JF-Expert Member
- Feb 2, 2020
- 1,047
- 1,903
Hawana, kuna moja ni virus, uki install inakwambia phishing detected, inaitwa PlayOk (Kurnik)Hivi hawacjamaa wana app?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana, kuna moja ni virus, uki install inakwambia phishing detected, inaitwa PlayOk (Kurnik)Hivi hawacjamaa wana app?
🤣🤣🤣🤣 me ni mtu hatari sana yani, muulize Darius ananijua dozi yangu, kila Mbinu anayokuja nayo namtungua
🤓🤓🤓 hamna shida ngoja nicheki iyo Mbinu yako mpyaNaenda kuchukua mguu wa kukuua nao jioni, we tuonane baadae
me point zangu zinacheza 1390 mpaka 1500, ningekuua Sina fear ningekuua na point hata 2000 ila michezo burudani, nacheza hata na mtu mwenye point chini ya 1200Nikiweka jina langu hapa mtaenda kuangalia points zangu halafu mtanicheka, kwa sasa ninacheza kwenye 1100 hadi 1200.
Wewe kama kweli ni mwalimu (muuza copy) unayejiamini tuambie ID yako tukushughulikie ingawa tuna point chache
yeye alishinda alikuwa anachukua point, inawezekana aliweka non ratedKuna mtu nlkuwa nacheza naye nkifkiria sekunde 30 Tu naambiwa mda umeisha ameshinda...nikitaka kumfunga analeft halafu sipewi ushindi Na point hakatwi.
Ndo ipoje hiiyeye alishinda alikuwa anachukua point, inawezekana aliweka non rated
ikiwa non rated gemu haziingii kwenye statistics Kwa hiyo hazihesabiwi Wala point nazo hazihesabiwi Wala kukatwaNdo ipoje hii
Kwa sasa, YouTubers wa Kitanzania niliowaona wanaotoa tutorials za drafti ni watatu i.e Dula Magoli, Paulo draughts na Draft King, wana copy za kijanja hatari, nimezifuatilia na kuzikariri kwa umakini ila bado nafungwa kiboya.
Channels zao hizi hapa, kaangalie copy zao, zitakua ni kama za kwako tu.
1: https://m.youtube.com/channel/UCV5EQGe8tiYBojUpkmz2bZg
2: https://m.youtube.com/channel/UCKc2Fuh0hn7aIYRWSkOTLeQ
3: https://m.youtube.com/channel/UCDAwGX2rSlsCUvozqITlCp
Nimeziangalia izo copy lakini nimegundua zipo shallow in deep, hazijaanza na msingi wa draft, kwa mtu ambae hajui atafungwa tuUkiniuzia hizo copies una uhakika nitabadilika?, copies zako hazina utofauti na YouTube channels za akina Dula Magoli, Paulo Draughts na Draft King, nimeangalia copy za kibabe za hao jamaa lakini bado naambulia kichapo. Nina wasiwasi hata nikiangalia copy zako mambo yatakua yaleyale
PlayOK hamna wa kumchukulia poa, hata mwenye point ndogo anaweza akakuchakaza. Nawakalishaga masela kibao wenye point 1350 kwenda juu.me point zangu zinacheza 1390 mpaka 1500, ningekuua Sina fear ningekuua na point hata 2000 ila michezo burudani, nacheza hata na mtu mwenye point chini ya 1200
Duh!NNi
Nimeziangalia izo copy lakini nimegundua zipo shallow in deep, hazijaanza na msingi wa draft, kwa mtu ambae hajui atafungwa tu
Duh!
Kwa maana hiyo mchezaji wa kawaida, yaani intermediate level player ukichukua hizi copies unachukua matango pori na kujiumiza kichwa?.
Kidogo naanza kukuelewa uliposema HAZIJAANZA NA MSINGI WA DRAFT, msingi wa drafti ndiyo upi huo?
Huwezi jua, anaweza kua na kitu tofauti.Eti msingi wa draft, hizo ni lugha za kibiashara mkuu.
Huwezi jua, anaweza kua na kitu tofauti.
ila me siwezi kukuacha labda utoe sare.PlayOK hamna wa kumchukulia poa, hata mwenye point ndogo anaweza akakuchakaza. Nawakalishaga masela kibao wenye point 1350 kwenda juu.
wewe tura pamoja na miguu yako ya kumezeshwa lakini statistics zinaonyesha nimekupiga goli 28, sare 3 na umepata goli mbili tu, . KaangalieEti msingi wa draft, hizo ni lugha za kibiashara mkuu.
uyo tura Darius nishapiga goli 28, pamoja na miguu yake hiyo , sare tatu na goli mbiliHuwezi jua, anaweza kua na kitu tofauti.
kule hamna copy ndugu ,ni michezo ambayo inatokana na philosophical idea ya mchezaji ambae aliona wakati inacheza ,Duh!
Kwa maana hiyo mchezaji wa kawaida, yaani intermediate level player ukichukua hizi copies unachukua matango pori na kujiumiza kichwa?.
Kidogo naanza kukuelewa uliposema HAZIJAANZA NA MSINGI WA DRAFT, msingi wa drafti ndiyo upi huo?
wewe tura pamoja na miguu yako ya kumezeshwa lakini statistics zinaonyesha nimekupiga goli 28, sare 3 na umepata goli mbili tu, . Kaangalie
Sijaridhika na kiwango nilichonacho cha kubahatisha, najiona bado sijajua kabisa japo nipo kwenye level ya wastani. Ingawa sijui lakini mara kibao nakukung'uta dariusrrWe unaonekana ni tura wa mwisho kwenye madanali