Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Kupanda kiwango, hicho ndiyo kiti cha maana. Kuna watu lengo ni points hadi wanazitafuta kwa uhuni. Anaweka time ndogo halafu anacheza fastafasta. Hata ukimbana anahakikisha unaishiwa muda. Hapa anakufunga kwa wewe kuzidisha muda.
Watu kama hao nimekutana nao wengi tu, mmojawapo ni achiengg
 
watu wabovu kama nyie nawahitaji niwauzie mbinu, ili uongezee kiwango
Ukiniuzia hizo copies una uhakika nitabadilika?, copies zako hazina utofauti na YouTube channels za akina Dula Magoli, Paulo Draughts na Draft King, nimeangalia copy za kibabe za hao jamaa lakini bado naambulia kichapo. Nina wasiwasi hata nikiangalia copy zako mambo yatakua yaleyale
 
Ukiniuzia hizo copies una uhakika nitabadilika?, copies zako hazina utofauti na YouTube channels za akina Dula Magoli, Paulo Draughts na Draft King, nimeangalia copy za kibabe za hao jamaa lakini bado naambulia kichapo. Nina wasiwasi hata nikiangalia copy zako mambo yatakua yaleyale
copy Gani mzee umezicheki huko you tube , Mana draft ni zaidi ya copy ,unaweza kuta mtu anakupa copy without extra skill for dealing with difficult situation , ila kufahamu copy ni muhimu sana.
 
Ukiniuzia hizo copies una uhakika nitabadilika?, copies zako hazina utofauti na YouTube channels za akina Dula Magoli, Paulo Draughts na Draft King, nimeangalia copy za kibabe za hao jamaa lakini bado naambulia kichapo. Nina wasiwasi hata nikiangalia copy zako mambo yatakua yaleyale
copy Gani mzee umezicheki huko you tube , Mana draft ni zaidi ya copy ,unaweza kuta mtu anakupa copy without extra skill for dealing with difficult situation , ila kufahamu copy ni muhimu sana.
 
Ukiniuzia hizo copies una uhakika nitabadilika?, copies zako hazina utofauti na YouTube channels za akina Dula Magoli, Paulo Draughts na Draft King, nimeangalia copy za kibabe za hao jamaa lakini bado naambulia kichapo. Nina wasiwasi hata nikiangalia copy zako mambo yatakua yaleyale
copy Gani mzee umezicheki huko you tube , Mana draft ni zaidi ya copy ,unaweza kuta mtu anakupa copy without extra skill for dealing with difficult situation , ila kufahamu copy ni muhimu sana.
 
copy Gani mzee umezicheki huko you tube , Mana draft ni zaidi ya copy ,unaweza kuta mtu anakupa copy without extra skill for dealing with difficult situation , ila kufahamu copy ni muhimu sana.

copy Gani mzee umezicheki huko you tube , Mana draft ni zaidi ya copy ,unaweza kuta mtu anakupa copy without extra skill for dealing with difficult situation , ila kufahamu copy ni muhimu sana.
Kwa sasa, YouTubers wa Kitanzania niliowaona wanaotoa tutorials za drafti ni watatu i.e Dula Magoli, Paulo draughts na Draft King, wana copy za kijanja hatari, nimezifuatilia na kuzikariri kwa umakini ila bado nafungwa kiboya.
Channels zao hizi hapa, kaangalie copy zao, zitakua ni kama za kwako tu.

1: https://m.youtube.com/channel/UCV5EQGe8tiYBojUpkmz2bZg

2: https://m.youtube.com/channel/UCKc2Fuh0hn7aIYRWSkOTLeQ

3: https://m.youtube.com/channel/UCDAwGX2rSlsCUvozqITlCpQ
 
Kwa sasa, YouTubers wa Kitanzania niliowaona wanaotoa tutorials za drafti ni watatu i.e Dula Magoli, Paulo draughts na Draft King, wana copy za kijanja hatari, nimezifuatilia na kuzikariri kwa umakini ila bado nafungwa kiboya.
Channels zao hizi hapa, kaangalie copy zao, zitakua ni kama za kwako tu.

1: https://m.youtube.com/channel/UCV5EQGe8tiYBojUpkmz2bZg

2: https://m.youtube.com/channel/UCKc2Fuh0hn7aIYRWSkOTLeQ

3: https://m.youtube.com/channel/UCDAwGX2rSlsCUvozqITlCpQ
ok fresh Kwa kushere hapa, me ndawafatilia copy zao, ili nione udhaifu wao.
 
Una point ngapi?, au wewe ndiyo mdudu17?
Mdudu ni muhuni, anashindia time. Saahizi sichezi game chini ya dk 15. Natumia kompyuta, game zinakuwa zinaload slow hivyo nakuwa natumia time kubwa. Wasio wanamichezo kama huyo mdudu wanatumia advantage.
 
unatumia jina Gani nikukague
Nikiweka jina langu hapa mtaenda kuangalia points zangu halafu mtanicheka, kwa sasa ninacheza kwenye 1100 hadi 1200.
Wewe kama kweli ni mwalimu (muuza copy) unayejiamini tuambie ID yako tukushughulikie ingawa tuna point chache
 
Mdudu ni muhuni, anashindia time. Saahizi sichezi game chini ya dk 15. Natumia kompyuta, game zinakuwa zinaload slow hivyo nakuwa natumia time kubwa. Wasio wanamichezo kama huyo mdudu wanatumia advantage.
mda standard wa kucheza draft ni dakika Saba mpaka 15, kuwa makini tu, Kuna watu walikuwa wanaweka dakika moja lakini , tuliwagonga ivyo ivyo mpaka wakaacha kuweka dakika moja
 
Mdudu ni muhuni, anashindia time. Saahizi sichezi game chini ya dk 15. Natumia kompyuta, game zinakuwa zinaload slow hivyo nakuwa natumia time kubwa. Wasio wanamichezo kama huyo mdudu wanatumia advantage.
Tumia simu, kwa simu game ya dakika 5 ni nyingi sana kama unafikiria kwa wastani. Wahuni ni wale wanaoset chini ya dakika 5
 
Back
Top Bottom