Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Kuna kopi moja nimeipata hakika matula wote wanajuta n full kukimbia leo nimecheka ѕana hadi watu wanashangaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Baba steve kama uko huku,,unachonifanyia nashukuru[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ninavyochezea kichapo napagawa mpaka nashindwa kujua lengo langu la kucheza draft playok kwa bidii, ni points nyingi au kupanda kiwango?
Kupanda kiwango, hicho ndiyo kiti cha maana. Kuna watu lengo ni points hadi wanazitafuta kwa uhuni. Anaweka time ndogo halafu anacheza fastafasta. Hata ukimbana anahakikisha unaishiwa muda. Hapa anakufunga kwa wewe kuzidisha muda.
 
Kuna kopi moja nimeipata hakika matula wote wanajuta n full kukimbia leo nimecheka ѕana hadi watu wanashangaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
copy Gani wewe tula tu , labda mabata ndo anakukimbia
 
Back
Top Bottom