changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Mkuu sio haba naona unabonda bondakama kuna anayejiweza aje playok nimkague. id phrasalverbs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio haba naona unabonda bondakama kuna anayejiweza aje playok nimkague. id phrasalverbs
Hili la kumpa table operator kwavile yeye kaset muda sio kweli. Operator akiset muda, ule muda unafanya kazi kote kote sio kwa upande mmoja pekee. Operator akilala eti ategee inakula kwake, Hivyo ni lazima acheze kwa haraka kama kaset dakika chache. Na kingine ni kwamba ukiingia kule unabidi network yako ipo stable lasivyo unaweza shangaa kila ukicheza kete inagoma kwenda halafu dakika zinasoma tu halafu mwisho wa siku unaonekana ume left mtu anadhani umemkimbia kumbe mtandao umezingua.playok. ni platform mzuri kwa sisi wanamchezo wa draft. waliowengi mule wanaujua kwelikweli huu mchezo ila wengine ni janjajanja tu. makosa ya kiufundi ya platform hii ni kile kitendo cha kumpa ushindi table operator kwakuwa muda aliouseti yeye ukiisha. utakuta mtu anaweka dk 1 mchezo upokati anapewa ushindi yeye. au mtu kaweka dk 5 akiona unaelekea kumfunga basi anaamua kulala ili muda uishe apewe ushindi yeye. id yangu kule playok ni phrasalverbs
Sidhani kama hilo linawezekana, game ikishaaza option ya setting haifanyi kazi mkuu. Jaribu kufungua table kisha mtu ucheze naye halafu nenda kwenye setting uone kama itakuruhusu kubadili muda wakati mchezo ukiwa unaendelea. Ishu kubwa kwenye hii play ok ni network ukiwa na network ya chini unaweza cheza lakini kete haisogei. Au unaweza ukacheza na kete ikasogea lakini dakika badala ya kusoma za mwenzio ikawa inaendelea kupungua kwako tu wakati ulishachezaHi kitu huwa inanikera sana aiseee, sometimes unaweza ukaona dk za mwenzako zinazidi kwenda tu kumbe bila kujua zinaenda za kwako eti Kete yako haijaenda wkt umesukuma na ikaonekana kwenda.
Jambo la pili ni watu kung'ang'ania point za Bure kwa kuwa muda wako imebaki mdg ingalikuwa game ni draw.
Jambo jingine ni Ile kitu ya Kete tatu kwende mpk 15 baadala ya kuishia 12.Hapo ni ungese.
Jingine ni Hilo la mtu kuchange muda wkt game ikiendelea.Huu ni uhuni,ishanicost mara nyingi sana.
playok.comPlay ok ndo wapi huko wakuu nielekezeni nije nitoe shule ya draft copy kama sumu ya pandu sululele international nk ndo mahali pake hapa
Mzee nimekufumua naona umeona ukimbie, goli mbili unakimbianjoo nikukague
network ni shida huku niliko. Ila kiukweli upo fitiMzee nimekufumua naona umeona ukimbie, goli mbili unakimbia
Ukifika kule ujanja utaweka mfukoni na maneno yatakuishia, kule watu wanajua. Click hapa uanze kucheza na wanaojua:Play ok ndo wapi huko wakuu nielekezeni nije nitoe shule ya draft copy kama sumu ya pandu sululele international nk ndo mahali pake hapa
Bro mabao yako meng nayachek unafikria ile kinoma aisee yaan uko slow sanaaa kusukuma kete[emoji22][emoji22]kama kuna anayejiweza aje playok nimkague. id phrasalverbs
Bro kama vp njoo tu play walau game 2 nami nione kama najua juaMzee nimekufumua naona umeona ukimbie, goli mbili unakimbia
natumia simu ya batani (kitochi 4g) tigo. Huku niliko tigo aipatikani kwahiyo natumia laini ya halotel ambayo network inasoma E (edge au 2g)Bro mabao yako meng nayachek unafikria ile kinoma aisee yaan uko slow sanaaa kusukuma kete[emoji22][emoji22]
Unatumia jina Gani?Bro kama vp njoo tu play walau game 2 nami nione kama najua jua
Natumia Id ya Kamkubwa njoo tucheze nipime kiwango changu kama nami pia ni mja katika wajanatumia simu ya batani (kitochi 4g) tigo. Huku niliko tigo aipatikani kwahiyo natumia laini ya halotel ambayo network inasoma E (edge au 2g)
Mimi pia naona kama wapinzani wangu ndo wanafikilia sana lakini kumbe ni network ya vijijini na simu ambayo siyo tachi.
kwahiyo uniwie radhi mkuu. Unatumia id gani na huyo Eng zedudu anatumia id gani.
Mangishedo kama hupo umu salute kwako.
Njoo tucheze time hii kaka Niko online Nichek kwa Id ya kamkubwaUnatumia jina Gani?
Mchezaj8 akiwa na point 1350 kwenda juu huyo ni hatariMangishedo kama hupo umu salute kwako.
Unatumia Id ipi mkuu..??Mchezaj8 akiwa na point 1350 kwenda juu huyo ni hatari
Hao wote ni moto wa kuotea mbali. Akichezaga mkulima watu wote wanaacha kucheza, wanakwenda kumuangalia jinsi anavyochezaAisee kuna watu wanajua kusukuma kete nyie acheni tu...
Mkulima Vs Muungwana kinapigwa hukoo time hiiView attachment 2103381
Mimi uchezaji unaonivutia ni wa wezarohoyo, muungwana na townkid. Sema wezarohoyo ana wenge ukishamfunga magoli mawili matatu.Njoo nikukague mitego, ID mcpipi1. Salute @digidigimabao.