Mbinu nyepesi ya kupunguza gharama za bando ni kufunga unlimited internet nyumbani. Kujinunulia mmoja mmoja ni hasara

Mbinu nyepesi ya kupunguza gharama za bando ni kufunga unlimited internet nyumbani. Kujinunulia mmoja mmoja ni hasara

kufunga unlimeted data subscription nyumbani ni njia bora zaidi ya kujenga isolation na kutengeneza makazi ya misukule kila mmoja na ulimwengu wake.

hapo mnaweza kukuta week inakatika mzungumzi ikumbukwe verbal interaction ni msingi wa kujenga familia bora yenye umoja na mshikadano.

sasa data unlimited kila mtu na smartphoni huyu anakula huku yuko na smartphone yule chumbani kajifungia anaperuzi sites za ngono ajilipue, yule yuko chooni anakuny.a huku yuko na simu kila mtu anakua busy na simu.

Mtoto akipatwa na jambo chakwanza ni kupost status mzazi anakuja kuona "hee kumbe umepatwa na tatizo" mtoto yuko karibu na simu kuliko wazazi, mke anaburudishwa na wanaume mitandaoni mume anasaka utelezi mda wote mtandaoni hakuna mwenye muda na mwenzake data si unlimited bwana.
Nimecheka mpaka nimepaliwa na "lebo nyeusi" hapa.
Umeandika ukweli ambao mimi binafsi nimeuzoea.
 
Habari Wadau.

Naona watu wengi wanalalamika bando zinaisha haraka.

Nawashauri wafunge unlimited internet nyumbani.

Ni cheap sana kulinganisha na kununua bando.

Nyumbani mfano mnaishi watu watano wenye smart phone.

Internet unlimited ya elfu 70 kwa mwezi inawatosha kila mtu kuenjoy kwenye smart phone yake.

Kama mna tv. Mnaacha kulipia kingamuzi.. internet hiyo hiyo inatosha kutazama content za kwenye tv


Binafsi nilishaacha kulipia kingamuzi almost mwaka sasa. Na sijawai kukosa kutazama nachokitaka

Sababu ninatumia unlimited internet.

View attachment 2826359
Na ukienda baa ya jirani veepee. Hiyo bundle bado inatumika?
 
Mimi nyumbani natumia zuku nalipia elfu 70 kwa mwezi.

Pia nina airtel unlimited naitumia kwenye biashara zangu mbali na nyumbani hiyo nailipia laki na 15 kwa mwezi sababu ya 5g
Mimi nimenunua ile Mini Wi-Fi ya airtel ya 50,000 ili niwe naweka bando ya 30,000 monthly lakini imenizingua inagoma kuunga kifurushi cha internet wakati laini ina pesa..
 
Ttcl 50000 na kuendelea per month, mitandao ya simu gharama kubwa mno, 3000 unapewa 1.4GB na hazikawii kumalizika, ni bora ttcl, tena mkiwa wengi manyumbani mtajikuta mnachangia kila kichwa 10000 per month
 
Nimeunga fiber unlimited kwa mwezi ni 59000 na kasi yake ni 20mbps sijajutiaa kwa kwelii.nimeunga majirani zangu kumi...so inajiendesha yenyewe na faida juu..nishasahau vingamuzi na maumivu ya bundle.company inaitwa netsolution
IMG_20231127_194653.jpg
 
Back
Top Bottom