Wanatia hasara sana unaweza ua mtu, kuna jirani ghorofa lake walimchakachua vibaya mno ile wanajiandaa kumwaga jamvi la kwanza mvua moja tu nalo likapiga chini.......mbona aliwachomolea bastola walipoteanaUko vizuri sana Mkuu
Hopefully upo kwenye field ya Ujenzi ama umejenga sana.
Mara ya mwisho nilimwajiri Fundi rangi MMama, she was good at decorating
Shida yake, alikuwa anaenda Dukani nilipolipia rangi, anamwambia Mzabuni boss kasema badala ya rangi Lita 20 nipe Lita 10....
Hiyo 10 inayobaki alikuwa anabeba anapeleka anapopajua mwenyewe 🙌
Mafundi ujenzi ni wenyeviti wa udokozi aisee acha kabisa hao watuWabongo wote wezi tu popote wakipewa kazi wanataka waibe nchi ya ajabu sana hii
Lakini pia mafundi nao wanadhulumiwa kwa namna moja ama nyingine kupitia malipo duni wapewapo kazi na wateja wao! NAni atawatetea labda.Mkuu unaongea kisiasa na uaminifu, yote hayo ya nini?
Hapa tunataka tuelekezane mbinu chafu zinazotumiwa na mafundi kufirisi matajiri zao.
Zungumzia mbinu za upigaji wanazozitumia mafundi ili kuwanusuru wale wenye mipango ya ujenzi ili wapate mbinu za kujisimamia na kuwadhibiti mafundi pindi waanzapo miradi yao ya ujenzi.
Hivi mnawachukuliaje mafendi eti?Fundi asishirikishwe kwa ushauri wowote kuhusu project hiyo na kama hauna uwezo wa kupiga mahesabu ya kitaalamu, mshirikishe fundi mwingine asiyehusika na kazi hiyo
Pole kwa kukwazika mkuu, tena niwie radhi sana isee.Hivi mnawachukuliaje mafendi eti?
Kwa nini msijenge wenyewe ikiwa mafundi si kitu kwenu?
Hivi mnawachukuliaje mafendi eti?
Kwa nini msijenge wenyewe ikiwa mafundi si kitu kwenu?
Inatia hasira sana MkuuWanatia hasara sana unaweza ua mtu, kuna jirani ghorofa lake walimchakachua vibaya mno ile wanajiandaa kumwaga jamvi la kwanza mvua moja tu nalo likapiga chini.......mbona aliwachomolea bastola walipoteana
usije mwaga ubongo wa mtu tukusome magazetini mbinu ni kusimamia tu kikamilifu, ukubali kupigwa kidogoInatia hasira sana Mkuu
Umetaja mbinu konki bosslady, nitafanya hivyo kuzuia Wizi 💪
Kupigwa ni lazima. Hizi mbinu nyingi wanatumia haswa kwa wanaofanya ujenzi kwa mara ya kwanza. Usikubali kufanya manunuzi maduka anayoshauri fundi. Lakini umakini mkubwa unahitajika kwenye manunuzi ya vifaa vya umeme. Hapa ndiyo unapigwa vibaya. Mimi nililetewa Main Switch ya laki 3 wakati dukani nimelipia Main Switch ya laki 8. Hii nilikuja kugundua baadaye sana baada y kucheki bei ya Main Switc niliyoletewa.usije mwaga ubongo wa mtu tukusome magazetini mbinu ni kusimamia tu kikamilifu, ukubali kupigwa kidogo
Hivi hakuna kampuni zilizosajiliwa rasmi kusimamia shughuli za ujenzi? Hii ni fursa nzuri sana basi tukutoaminiana
Ngoja niweke Kambi hapa.Kwenye hii thread tutakuwa tuna share Mbinu za wizi za mafundi ujenzi ili kusaidia wale wanaotaka kujenga "wasipigwe ".
Wengi tumepigwa sana hadi kuzijua hizi mbinu.
Karibuni.
Na chanzo ni ccm ?Mtanzania na wizi ni ndugu moja
Kuliko viongozi wa serikali ?Mafundi ujenzi ni wenyeviti wa udokozi aisee acha kabisa hao watu
Hakuna baraka, ndiyo maana asilimia kubwa hubaki kwenye level hiyohiyo ya maisha miaka nenda rudi.Njia nyepesi ya kumpata boss mjuaji. Mfano ww ni mpaka rangi, usiwe na haraka. Hakikisha unajenga uteja dukani. Mpange muuzaji kwanza kuhusu huo mchongo.
Mfano zinahitajika ndoo 6 za weather gurd. Andaa ndoo moja tupu safi, ijaze maji then ipeleke pale shop km bosheni. Siku ya kwenda kununua nenda nae boss wako na usiwe na haraka.
Pakia ndoo hizo peleka site, shusha mzigo then rudi shop uchukue chako. Easy like that.
Tiles ni rahisi kuhesabu mwenyewe kiasi kinachohitajika kwa kupiga hesabu ya eneo unalotaka kuweka tiles halafu zidisha kama asilimia 8 kwa ajili ya vipande.Njia unayoitumia nami nimewahi kuitumia.
Changamoto yake Fundi aliniagiza Tiles boksi 160, nikamletea boksi 130.
Baadaye Tiles zikafeli hivyo kazi kusimama Kwa muda.
Nikalazimika kufata Tiles boksi 25 Kariakoo na nikatakiwa kusubiri maana sikuweza kupata nilizotumia Mwanzo🙌
Cement ya elfu 14-15 umeipata wapi mkuu? Inaweza kuwa magendo hiyo. Bei aliyokutajia fundi wako ni sahihi kwa hali ya soko ya sasa.Nadhani uzi huu utatusaidia kung'amua janja janja wanazofanya mafundi, kwahiyo tutawamudu, juzi nimemuuliza fundi hii kazi itahitaji mifuko mingapi ya sementi, akanambia 25, nikamuuliza Bei ya sementi ipoje, akasema 16 Hadi 16 Mia 5. Nikaamua kwenda mwenyewe dukani bila kumwambia, nimekuta Bei Ni 14 na 15. Sijamwambia chochote, ntamletea sementi na nitamsimamia bampa to bampa, Kwanza ntampelekea mifuko 20 Kwanza. Ila Kuna mdau katoa wazo la kuulizia ratio kwa mafundi wengine ili kujua idadi halisi, nalo Ni Jambo la busara sana
Hii ndiyo shida ya kutoaminiana!Njia unayoitumia nami nimewahi kuitumia.
Changamoto yake Fundi aliniagiza Tiles boksi 160, nikamletea boksi 130.
Baadaye Tiles zikafeli hivyo kazi kusimama Kwa muda.
Nikalazimika kufata Tiles boksi 25 Kariakoo na nikatakiwa kusubiri maana sikuweza kupata nilizotumia Mwanzo[emoji119]
Umesema sahihi MkuuHii ndiyo shida ya kutoaminiana!
Uzi Mzima hakuna anayeongelea Contract na BoQ wote tunataka mteremko!
Fundi anayejielewa atakwambia muanze na contract ili iwabane wote, Yeye na Wewe! Just a simple contract kwa hawa mafundi wa uswahilini.
Secondly fundi aliyefocus kwenye kazi hata deal na Materials na Management yake hiyo atamwachia Client maana mwisho wa siku anaweza kugeuka Mlinzi wa vifaa na si Fundi tena!
Katika Suala la Ujenzi vitu vya Msingi ni Vitatu, TIME, QUALITY na COST na hivi huwezi kuvifikia mwenyewe pasipo kushirikiana na Fundi!
Finally, kama huna ABCs za mambo ya Ujenzi tafuta mjuzi atakayekushauri na kukupa mwongozo tuachane na hii tabia ya kudhani tunajua kila kitu.
Huku kwenye mitandao mafundi wa kweli ni wachache kuliko matapeli. Reference ya Fundi ni MUHIMU SANA