Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Mi ndo nishakuwa fundi maiko ukinikuta natoa maelekezo sasa🤪🤪Hahaha .........ogopa sana Fundi Maiko
Hachelewi kukuwekea shoti bafuni 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ndo nishakuwa fundi maiko ukinikuta natoa maelekezo sasa🤪🤪Hahaha .........ogopa sana Fundi Maiko
Hachelewi kukuwekea shoti bafuni 😅
Nashukuru huruma yangu ipo likizo kumbe ningejichanganya niliwaza kweli hilo ila nikapotezea, ningefurahishwaaakwa wale wanaoishi kwenye nyumba huku ujenzi unaendelea usilogwe
ukajitia mwema kuwapikia ili kazi waifanye kwa wakati kuwaepushia ile adha ya kutoka kutafuta chakula kama kazi ilikuwa ya wiki itaisha baada ya mwezi😅😅🤣🙌
😂😂😂😂😂kwa wale wanaoishi kwenye nyumba huku ujenzi unaendelea usilogwe
ukajitia mwema kuwapikia ili kazi waifanye kwa wakati kuwaepushia ile adha ya kutoka kutafuta chakula kama kazi ilikuwa ya wiki itaisha baada ya mwezi😅😅🤣🙌
Ukisimamia Ujenzi mara nyingi unaanza kuwa familia na kazi japo kiasiMi ndo nishakuwa fundi maiko ukinikuta natoa maelekezo sasa🤪🤪
Kuna kazi siwezi hata thubutu km hiyo kucheza na Cement ila kupaka rangi ni easy sanaUkisimamia Ujenzi mara nyingi unaanza kuwa familia na kazi japo kiasi
Ukisema ushike chepe uanze kukoroga Zege hapo ndiyo utaachana na Ujenzi 😜
Mkuu idea ya ujenzi ni rahisi sana kwa layman kuijua kama umemaliza shule sawa sawa.Kweli aisee ina maana ukiwa na ujenzi uache kazi zote ni wewe na site tu, kuna ile huna idea ila upo tu km picha napo utapigwa tu, kiufupi bongo pagumu sana
Tumekusoma sakasaka asante sanaMkuu idea ya ujenzi ni rahisi sana kwa layman kuijua kama umemaliza shule sawa sawa.
Ukijua urefu wa tofari kuwa ni cm90, waweza kuprogram ujenzi wa ghorofa kwa kuelewa idadi ya matofari kwa calculater ya simu.
Formular ya hesabu za ujenzi ni kutoa, kugawa, kuzidisha na kijumlisha, simple mathematics asikwambie mtu.
Utakapoelewa kwamba mfuko mmoja wa saruji unajenga tofari ngapi, trip moja ya mchanga inachanganya saruji mifuko mingapi kwa lipu ama tofari utakuwa umeua, utatoa amri zako kwa fundi na akutii.
Ubabaishaji huanzia pale mafundi wanapozagaa eneo la ujenzi kupiga kazi na kama hauelewi chochote utaanza kujenga over expectiations na kuanza kuhoji maswali na hilo ndiyo kosa la kifundi.
Zingatia kanuni ulizojiwekea, usiulize maswali kila hatua, fundi atakuona hujui na kuanza kutengeneza mazingira ya kukupiga.
Kama una maswali tafuta fundi wa mfukoni asiyehusika na hiyo project, huyo atakwambia ukweli mtupu.
Dukani ni mwiko kumtuma fundi, hata kama bei inafahamika, siku ya manunuzi kuna discount, nenda mwenyewe utaokoa gharama.
Mkuu ushapigwa sana kwa mtindo huo bila wewe kujua.Simenti unaweka store, wakitaka mifuko kadhaa unahakikisha imechanwa na kuchanganywa yote ndio unasepa. Fundi mkuu na vibarua wake huwa wanashirikiana kuiba.
Napenda courage yakoKuna kazi siwezi hata thubutu km hiyo kucheza na Cement ila kupaka rangi ni easy sana
Dar ndo usijaribu😀😀😀pambana mkuuNiko na hdw hapa mafundi was ddm Ni wezi
AsanteNapenda courage yako
ohoooo jichanganye wakuonyeshe shooo🤣🤣🤣🤣wanajua msosi upo wa bure na asubuhi wanakuja na vitafunwa tu chai wanakunywa kwako🙌🙌🙌🙌 wanakuja kwa kuchelewa kazi hawamaliz harakaNashukuru huruma yangu ipo likizo kumbe ningejichanganya niliwaza kweli hilo ila nikapotezea, ningefurahishwaaa
Kwenye chai kama ulikuwepo vile😅😅😅 akili zao za kitoto sana kumbeohoooo jichanganye wakuonyeshe shooo🤣🤣🤣🤣wanajua msosi upo wa bure na asubuhi wanakuja na vitafunwa tu chai wanakunywa kwako🙌🙌🙌🙌 wanakuja kwa kuchelewa kazi hawamaliz haraka
Noted with thanksAsante
Basi nilikuwa na kazi ya kufatilia kila hatua kama alivyoshauri mdau mmoja huko juu,, ilinisaidia kiasi flani fundi anakuwa anajua uko na uelewa na issues za ujenzi kumbe mweupe
Watu wazima wana unafuu kiasi katika ishu za upigaji kwenye ujenzi tuwatumie hao, ila vijana basi sina pa kuwapeleka ningefukuza wote nchi nzima
hawabebeki hawa viumbe kwa sasa huruma nimeweka pembenKwenye chai kama ulikuwepo vile😅😅😅 akili zao za kitoto sana kumbe
Sikukuu niliwapikia pilau nao tukajumuika nao ebanaee walivyoshiba tu wakaaga na kuaga nikasema atakaeniona nahurumia hawa viumbe aniite 🐕