Mbinu watumiazo Mafundi Ujenzi kuibia mabosi zao

Mbinu watumiazo Mafundi Ujenzi kuibia mabosi zao

Wapo km watoto wa shule, kasumba yao nyingine ni wakilipwa hela akili zinawaruka dawa ni kuwalipa kwa mafungu kanuni ni moja hakikisha yeye ndie anakudai
hakika mafungu inasaidia sana ukimlipa zote anafanya kaz kwa kujisikia leo anakuja kesho haji mwisho anapotea nakaz hajamaliza
 
Ujenzi nafanya nikiwa likizo tu,kila kitu nanunua mwenyewe fundi akiniagiza cement mifuko 30 mimi nanunua mifuko 20 tu,mbao 150 mimi nanunua mbao 100 halafu naangalia kama itatosha isipotoshea ndio naagiza mingine. Nafanya hivi kwa sababu mafundi wetu wengi hawajui makadilio walishawahi kuninunulisha mabati 200 zikatumika bati 140 tu 60 zikabaki
Hii nimeipenda sanaa, Vamoooss[emoji110]️
 
Kupigwa ni lazima. Hizi mbinu nyingi wanatumia haswa kwa wanaofanya ujenzi kwa mara ya kwanza. Usikubali kufanya manunuzi maduka anayoshauri fundi...
Duhh pole sana boss, Ilikuwaje ukatoa 800k kununua main switch, katika Ufundi wangu sijawahi kutana na hii bei, mara nyingi sana main switch za 3phase Zinaanza na 150k. Hadi 500k,
 
Fundi ujenzi asiye muaminifu atakuibia kupitia moja ya mbinu hizi, kutegemeana na umakini wa wewe unayejengewa nyumba.

1. Kuzidisha bei za vifaa - Hii hutokea kama wewe mwenye nyumba ni mgeni sana na masuala ya vifaa vya ujenzi na materials. Hapa bei zitaongezwa kiholela na utaibiwa kizembe kabisa...
Mafundi Umeme (Electricians) pia hapa tunashida kidogo nawatonya tu wengi wetu ni waaminifu wacha he siyo waaminifu hasa ikifika stage ya wirings hapo ndo waya zinapoibiwa hata kama boss yupo. Nawakumbusha tu siyo wote ni waaminifu.
 
we cheka mnatuumiza😅😅😅
Noo, sio kuwa nimekucheka, Mimi mwenyewe Nina ujenzi, fundi yupo site na vijana wake, eti ananiambia unajua hatujala, nikamwambia mi nimefunga, akasema sisi hatujafunga, nikamwambia kwahiyo niwaitie mama ntilie aje na msosi, akanambia Ni wewe tu bosi ukitununulia, nikamwambia si nimekupa advance ya kazi ili Mambo Kama hayo umalize. Eti ooh unajua boss majukumu. Nikamwambia Sina hela mwanangu. Tena nikaenda pembeniiii kwenye kivuli. Mara akaagizwa dogo mmoja. Naona Kila mmoja anatoa pesa yake wanampa yule mwenzao. Nikasema aloooo weeeee mmenikosa 😂😂😂😂
 
Noo, sio kuwa nimekucheka, Mimi mwenyewe Nina ujenzi, fundi yupo site na vijana wake, eti ananiambia unajua hatujala, nikamwambia mi nimefunga, akasema sisi hatujafunga, nikamwambia kwahiyo niwaitie mama ntilie aje na msosi, akanambia Ni wewe tu bosi ukitununulia, nikamwambia si nimekupa advance ya kazi ili Mambo Kama hayo umalize. Eti ooh unajua boss majukumu. Nikamwambia Sina hela mwanangu. Tena nikaenda pembeniiii kwenye kivuli. Mara akaagizwa dogo mmoja. Naona Kila mmoja anatoa pesa yake wanampa yule mwenzao. Nikasema aloooo weeeee mmenikosa 😂😂😂😂
khaaa hawajui kila mtu anamajukumu wajanja sana hapo walikuwa wanakutega uingie kwenye 18 zao wangekukamua hadi utumbo na wangejenga mazoea
kuna siku walikaa na njaa nikauchuna kimya mbona kesho yake walijiongeza
 
Mafundi Umeme (Electricians) pia hapa tunashida kidogo nawatonya tu wengi wetu ni waaminifu wacha he siyo waaminifu hasa ikifika stage ya wirings hapo ndo waya zinapoibiwa hata kama boss yupo. Nawakumbusha tu siyo wote ni waaminifu.
na vibegi vyao mgongon vya kuibia utasema wanabena vya maana
 
khaaa hawajui kila mtu anamajukumu wajanja sana hapo walikuwa wanakutega uingie kwenye 18 zao wangekukamua hadi utumbo na wangejenga mazoea
kuna siku walikaa na njaa nikauchuna kimya mbona kesho yake walijiongeza
Huwa wanapima Kama ukilegea tu imekula kwako. Huwa hawajiongezi
 
1.Mbinu ya kwanza maarufu kabisa ni ya 'kukuelekeza Duka gani akanunue vifaa quality "... wengine atakwambia vifaa vyao sio Bora kihivyo...

Akishakuelekeza...lazima ataongea na mwenye duka au ni Duka lake maalum tayari...akisema Tu huyu ni mteja wangu...baasi wanajua waweke vipi cha juu chake...hapo utakuta kitu cha sh 3000 wenye Duka anakomaa 5000 au zaidi huku fundi wako anakwambia "ndo bei zake " hizi quality sana
Hiyo mimi nilishadhibiti Mkuu akikutuma dukani wee nenda mwambie muuzaji nahitaji risti ya EFD akikwambia sijui mashine mbovu, blah blah fanya window shopping maduka ya jirani.
 
Nilipigwa wakati najenga hapa ninapoishi nikikumbuka Huwa naumia sana!!

Mlokole mwenye mamlaka fundi anauza simenti kinyemela,nondo anataja nyingi mno!!anauza simenti anajengea ratio ndogo halafu anakwambia kazana kumwagilia maji mengi ili ishike!
 
Hahaha.........ikitokea hivyo ni kumbana fundi arejeshe vifaa vyako alivyoiba ama kutomlipa hela yake ya mwisho ya kazi

Zipo Kampuni zinafanya kazi ya Ukandarasi wa Ujenzi, kwahiyo unaweza kuzilipa kwaajili ya kukujengea
Ujenzi wako utakuwa gharama mara dufu ukiweka kampuni ya kusimamia na bado kwenye vifaa watakuibia.

Watanzania wengi ni wezi
 
Heri kuingia mkataba na hizo kampuni kama unakuwa bize na majukumu mengine kuliko stress za mafundi wetu hawa wa kusimamia km watoto mwishowe unajikuta ushakuwa fundi maiko wa mchongo
Nyumba ya milioni 50 watakwambia 200 na bado wataiba vifaa na kuweka vitu sub standard hasa ratio ya cement na mchanga.

Ujenzi simamia mwenyewe tu watanzania wote wezi
 
Back
Top Bottom