Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Unapanga jinsi ya kumdhibiti fundi asikuibie wakati wa ujenzi wakati wewe mwenyewe gharama za nyumba unayotaka kuijenga hailingani na kipato chako halali. Anza kujiuliza kwanza wewe hizo pesa za ziada umezipata wapi kabla ya kufikiria jinsi ya kumdhibiti fundi.