Mbinu watumiazo Mafundi Ujenzi kuibia mabosi zao

Unapanga jinsi ya kumdhibiti fundi asikuibie wakati wa ujenzi wakati wewe mwenyewe gharama za nyumba unayotaka kuijenga hailingani na kipato chako halali. Anza kujiuliza kwanza wewe hizo pesa za ziada umezipata wapi kabla ya kufikiria jinsi ya kumdhibiti fundi.
 
Wee


Wewe utakuwa ni fundi mwenye tabia ya wizi. Kwa kawaida na kimkataba kabisa fundi hatakiwi kutoza gharama ya zaidi ya asilimia kumi ya gharama ya materials.
 
Ujenzi wako utakuwa gharama mara dufu ukiweka kampuni ya kusimamia na bado kwenye vifaa watakuibia.

Watanzania wengi ni wezi
Vyema kabla hujampa kazi, ifanyike quantification ya mahitaji kisha ndiyo utoe tenda

Otherwise ni kama ulivyosema, Ujenzi wa milioni 100 zinaweza kufika shilingi milioni 150🙌
 
Kwenye hii thread tutakuwa tuna share Mbinu za wizi za mafundi ujenzi ili kusaidia wale wanaotaka kujenga "wasipigwe ".

Wengi tumepigwa sana hadi kuzijua hizi mbinu.

Karibuni.
saf sana mimi saidia fundi mstaafu nitaweka kuwachomea utambi mabosi zangu wa zaman wanyonyaji wametunyonya sana hawa wehu munaowaita foman au injinia.
 
ahsante sana. kama fund mstaafu umetusemea.
 

Mimi aliniambia mabati 140 tutatumia mabati 119tu 21 yakabaki nilimwambia huu niuharibifu wa mali kama mtu umesomea na una uzoefu kwa miaka kadhaa kwa nini ukosee kiasi hiki kwenye makadrio
Pumbafu sana
 
Chamsingi ni mhimu kuwa na uelewa na mradi uliouanzisha angalau kidogo ukishindwa jiunge na jamii furom au nenda google utapata usaidizi angalau kwa machache yatakusaidia kupata mwelekeo
 
Makanjanja wameishafanya yao na imeindoka na fundi
Hawa jamaa wanaiba cement, nondo na kila kitu wanachakachua na mwisho wao mbaya tu

Hivi hili jengo limeporomoka ni nini kama sio ujenzi mbovu
 
Jambo jema, hakikisha mapatano yenu yawe win win stution
 
Kwenye hii thread tutakuwa tuna share Mbinu za wizi za mafundi ujenzi ili kusaidia wale wanaotaka kujenga "wasipigwe ".

Wengi tumepigwa sana hadi kuzijua hizi mbinu.

Karibuni.
Ok
 
Kwenye hii thread tutakuwa tuna share Mbinu za wizi za mafundi ujenzi ili kusaidia wale wanaotaka kujenga "wasipigwe ".

Wengi tumepigwa sana hadi kuzijua hizi mbinu.

Karibuni.
Ni umasikini tu, lkn kazi inatakiwa ifanywe kwa mkataba.

Changamoto ya umasikini wetu ni kwamba
.Boss anatafuta mbinu ya kumlalia fundi
.Fundi anatafuta mbinu ya kufidia kile alichomlalia boss

KAMA UNAJITAMBUA ACHANA NA KAZI ZA KIMAZOEA.
Fanya hivi
1. Tafuta fundi then angalieni gharama ya material na labour charge.
Tafuteni mwanasheria muingie mkataba wa kazi.

Kazi yako wewe client iwe kukagua ubora wa kazi kama uko sawa kama ilivyoainishwa kwenye mkataba.

Lkn kwakua maboss wengi wanataka mteremko na kulalia mafundi, wanakwepa kutumia njia hii
 
Kuorodhesha idadi kubwa zaidi ya vinavyohitajika

Kuelekeza ununuzi wa material katika maduka wanayojua wao

Kuna maduka yanayotoa kamishem kwa mafundi kwahiyo siyo lazima kwamba akikuelekeza duka eti anania ya kukuibia.

Pia boss akiwa muungwana ni ngumu sana kuibiwa na fundi.
 
Mi kitu muhimu naonaga ni kuweka msimamizi ambae atakua makini na mifuko ya siment itakayokua inafunguliwa na kuhakikisha anakua na hesabu mkononi kila wakati siment inapotumika.

Kwenye bati sina uzoefu
Kama una muda simamia mwenyewe wasimamizi ndiyo wapigaji wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…