Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Mafundi wanalalamikiwa bure,na hali hii ndio imepelekea kuwa mazoea kwa hiyo hata wewe ukiwa na lengo la kumlipa fundi vizuri anaona wote ndio walewale.
Mimi fundi simu nipo kariakoo, anaweza akaja mteja ukamwambia kioo kinauzwa 50,000 na akakubali kabisa,sasa mwambie ufundi 20,000 au 15,000 kama atakubali kutoa atakwambia nina 5000.
Kama asingezaulika fundi basi haya yasingetokea,ila kweli mteja yupo tayari kununua bidhaa(materia)kwa bei kubwa lakini si kumlipa hela nzuri fundi.
Boss mtata.Haitachukua dakika 10 nikigundua namfukuza kmamakezake.
Vyema kabla hujampa kazi, ifanyike quantification ya mahitaji kisha ndiyo utoe tendaUjenzi wako utakuwa gharama mara dufu ukiweka kampuni ya kusimamia na bado kwenye vifaa watakuibia.
Watanzania wengi ni wezi
Kila mbuzi hula urefu wa kamba yake lo
saf sana mimi saidia fundi mstaafu nitaweka kuwachomea utambi mabosi zangu wa zaman wanyonyaji wametunyonya sana hawa wehu munaowaita foman au injinia.Kwenye hii thread tutakuwa tuna share Mbinu za wizi za mafundi ujenzi ili kusaidia wale wanaotaka kujenga "wasipigwe ".
Wengi tumepigwa sana hadi kuzijua hizi mbinu.
Karibuni.
sio fund ujenz tu. mafund kada zote tz ni matapeli wnanuka utapel. muaminifu kumpata ni kusaka bikraMafundi ujenzi wa bongo ni pasua kichwa waongo waongo sana wanajua kutuhenyesha
Fundi ujenzi bikra haya sawasio fund ujenz tu. mafund kada zote tz ni matapeli wnanuka utapel. muaminifu kumpata ni kusaka bikra
wamenibebesha sana tofar za buloku zinauma hizo. jion ikifka anapotea anazima simu lakeFundi ujenzi bikra haya sawa
Uliyataka mwenyewe lakiniwamenibebesha sana tofar za buloku zinauma hizo. jion ikifka anapotea anazima simu lake
ahsante sana. kama fund mstaafu umetusemea.Maskini tunaojenga tuna taabu saana. Hata sisi huko maofisini tunapiga kwa nafasi yetu.
Dukani hulii lii bei njoo kwa fundi sasa. Unataka umnyonye why asikupige?
Unanunu materials mamilioni fundi anayefanyia kazi hayo materials ya mamilioni unampunja. Kazi unaitaita mafuñdi zaidi ya watano kuangalia nani kapunguza hata 20000 eti ndio umpe kazi.
Hapa unamsema fundi unasahau hata ww huko kazini kwako unapiga... Kama ni biashara unaipiga serikali kwenye kodi.
Ujenzi nafanya nikiwa likizo tu,kila kitu nanunua mwenyewe fundi akiniagiza cement mifuko 30 mimi nanunua mifuko 20 tu,mbao 150 mimi nanunua mbao 100 halafu naangalia kama itatosha isipotoshea ndio naagiza mingine. Nafanya hivi kwa sababu mafundi wetu wengi hawajui makadilio walishawahi kuninunulisha mabati 200 zikatumika bati 140 tu 60 zikabaki
Jambo jema, hakikisha mapatano yenu yawe win win stutionNadhani uzi huu utatusaidia kung'amua janja janja wanazofanya mafundi, kwahiyo tutawamudu, juzi nimemuuliza fundi hii kazi itahitaji mifuko mingapi ya sementi, akanambia 25, nikamuuliza Bei ya sementi ipoje, akasema 16 Hadi 16 Mia 5. Nikaamua kwenda mwenyewe dukani bila kumwambia, nimekuta Bei Ni 14 na 15. Sijamwambia chochote, ntamletea sementi na nitamsimamia bampa to bampa, Kwanza ntampelekea mifuko 20 Kwanza. Ila Kuna mdau katoa wazo la kuulizia ratio kwa mafundi wengine ili kujua idadi halisi, nalo Ni Jambo la busara sana
OkKwenye hii thread tutakuwa tuna share Mbinu za wizi za mafundi ujenzi ili kusaidia wale wanaotaka kujenga "wasipigwe ".
Wengi tumepigwa sana hadi kuzijua hizi mbinu.
Karibuni.
Ni umasikini tu, lkn kazi inatakiwa ifanywe kwa mkataba.Kwenye hii thread tutakuwa tuna share Mbinu za wizi za mafundi ujenzi ili kusaidia wale wanaotaka kujenga "wasipigwe ".
Wengi tumepigwa sana hadi kuzijua hizi mbinu.
Karibuni.
Kuorodhesha idadi kubwa zaidi ya vinavyohitajika
Kuelekeza ununuzi wa material katika maduka wanayojua wao
Kama una muda simamia mwenyewe wasimamizi ndiyo wapigaji wakubwa.Mi kitu muhimu naonaga ni kuweka msimamizi ambae atakua makini na mifuko ya siment itakayokua inafunguliwa na kuhakikisha anakua na hesabu mkononi kila wakati siment inapotumika.
Kwenye bati sina uzoefu