Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

wewe utakuwa bonge moja la handsome
ila sisi wenye sura ngumu, bila pesa, utelezi wa bure utakaopata ni wa Vaseline pekee
Mbona kinyonge hivyo kaka? Jiamini kaka.! Jiamini! Usiwe mnyonge na desperate kiasi hicho.
 
Ni kweli maskini walio wengi huwa na tabia za uchawi na ushirikina.

Mwanaume lazima urogwe na nduguzo .

Anajua iwapo ukimwacha hatapata pa kwenda na kupata kujikimu mahitaji yake ya msingi hivyo anaamini katika kukuroga tu.
Siyo hivyo tu. Insecurity yake inaweza kupelekea hata kukuua kabisa.
 
Mwache ajitoe akili, na mnavyojifanyaga mnataka kuheshimiwa, yaani upo tu ndani ya nyumba nakulisha, nakuvisha, mashavu yamekuvimba kama mimba ya panya utegemee nikuheshimu kwa lipi la maana hasa!
Heshima ya mwanaume ni kubeba majukumu yake kama mwanaume.
Vinginevyo utadharauliwa hadi na sisimizi waliopo ndani kwako.
Chai
 
Mwache ajitoe akili, na mnavyojifanyaga mnataka kuheshimiwa, yaani upo tu ndani ya nyumba nakulisha, nakuvisha, mashavu yamekuvimba kama mimba ya panya utegemee nikuheshimu kwa lipi la maana hasa!
Heshima ya mwanaume ni kubeba majukumu yake kama mwanaume.
Vinginevyo utadharauliwa hadi na sisimizi waliopo ndani kwako.
Sema tu huna hela[emoji38][emoji38] mwanamke kapuku[emoji38][emoji38]
 
Kwanza kama Huna pesa Achana na wanawake, sahau story za kuoa.
Tafuta maisha then fikiria kumiliki mtu utakayemudu kumlisha na kamvisha, hata heshima utaipata vizuri tu.
Kwa hiyo kama hana hela apige punyeto??!
 
True story niliona YouTube:
Kuna mzungu mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni iliyokuwa ikimlipa vizuri, huyo mzungu alienda ufilipino kikazi, aka-fall in love na mdada wa kifilipino, huyo mzungu alijengea ghorofa ndugu wa huyo mdada, mdada kila mwezi alikuwa anapewa USD 1000 za kutumia, alilipiwa kodi ya nyumba kwenye best neighborhoods kule ufilipino, na kuwekewa mfanyakazi wa ndani. Wakazaa mtoto mmoja.

LAKINI:
Huyo mdada alikuwa ana-cheat na security man mmoja ambaye mshahara wake wa mwaka mmoja ndo hela anayopewa huyo mdada kwa mwezi, dada alimnunulia hadi pikipiki huyo mcheps wake, Maza wa huyo mzungu alimshtukia bidada kuwa yuko na mwanae kimaslahi, kwan ilikuwa bidada akishikwa mkono na jamaa, mdada anautoa mkono wake Fasta, mwishoni huyo mdada na mcheps wake wakamuua mzungu wa watu ili warithi mali..Sahivi dada na mcheps wake wanatumikia life sentence in prison

So kuwa na hela sio guarantee ya kupata heshima toka kwa mwanamke Zesh Cute Wife
Source ya story yako? Siyo chai kweli?
 
Hatujasema ni kwa asilimia 100%
Ila asilimia kubwa mwanamke hakupi heshima kama Huna chochote, kiasili sisi tuna ubinafsi ndani yetu.
Ni wewe ndiyo mwenye ubinafsi bhana... wa kwetu mbona hawana.![emoji38]
 
 
Hii inafanya kizazi chasiku hizi vijana wasijiongeze na kufikiria kulelewa tu na wanawake,utakuta kijana anafanya kazi lakin anaomba omba hela kwa mwanamke kisa mwanamke anahela kumzid
 
Mimi niliangalia uwezo wake kichwani, "intellect". Tunataka kurithisha wtoto wetu kila kitu kuanzia uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo. Ukioa bila kuangalia uwezo wake kiakili huenda ukarithisha vitu vya ajabj kwa vizazi vyako.

Sura, trako na memgineyo hayana nafasi kwenye ndoa!
Miimi sura lazma nizingatie,,,, siwez kuoa mwanamke ana sura kama analia eti kisa tu ana high intellect. Hapana hapana yaan kama ni suala la intellect basi watoto watarithi intellect yangu lakn sura watarithi kwa mamao.
 
Mwache ajitoe akili, na mnavyojifanyaga mnataka kuheshimiwa, yaani upo tu ndani ya nyumba nakulisha, nakuvisha, mashavu yamekuvimba kama mimba ya panya utegemee nikuheshimu kwa lipi la maana hasa!
Heshima ya mwanaume ni kubeba majukumu yake kama mwanaume.
Vinginevyo utadharauliwa hadi na sisimizi waliopo ndani kwako.
Kw andiko hilo juu
Mwanamke awezi lingana na mwanaume hata mwisho wa dahari ufike
 
Mwanamke TAJIRI akupende mwenyewe kaka,ila ukitaka mwanamke Tajiri lazima na wewe uwe stable

huwezi kwenda kula chipsi SINZA useme utakutana na mwanamke TAJIRI kuna sehemu ambazo zinatakiwa

ziwe katika circle yako ya maisha,mwanamke Tajiri hupatikana sehemu za matajiri ishu ni kuweza afford ingia

hizo mahala,maana kununua soda/juice/soft drink (ya kawaida) kwa 50k mkuu yakupasa ujitoe sadaka haswa

ila Yote kwa Yote Mapenzi ya kutafuta SIO mapenzi,ukiweza Afford ingia 5 star hotel kila siku kwa lengo eti upate

mwanamke TAJIRI nadhani si sawa,Mapenzi ni zaidi ya status zenu Financialy,Sawa una pesa Utapata Mke ana Pesa

haya sasa mko kwenye NDOA mna watoto, mke hajui malezi,mke hajui kitu,Yani huelewi hata ni imekuaje akawa MKE wako.

Fungua akili yako Omba Mungu akupe mke mwenye Hekima zake asie Mbinafsi mtakae ongea Lugha 1,Kaka amini nakwambia

Unaweza kuwa na mwanamke Kapuku Masikini na asikuombe hata senti yako na daily anapendeza kwa pesa za wazazi/kaka/ndugu zake,nk ni pure Maskini ambae si mzigo.

Tabia ya kuomba omba,ipo ndani ya Mtu na si katika uhalisia wa kipato chake,Nimeshawahi date mwanamke hana shida kabisa kuanzia familia yake mpka pale alipo sasa Lakini ni omba omba yule mwanamke Matonya akasome.

Uzungu mwingiiii kumbe ni ili tu atumie zangu zake zitulie bank so ishu sio Mtu mwenye PESA ishu ni MOYO brother, Ukipata mwanamke mwenye Moyo/utu/upendo,nk umemaliza

Hii ya kutafuta Mahusiano na stable woman kipesa au stable Man Kipesa itatokea watu puani na wapo ambao wanakula matunda ya walichokipanda.

Omba Mungua akukutanishe na Ubavu wako,Kwisha.
Na nadhani mtoa mada kikubwa kamaanisha mwanamke aweanajitegemea Kwa vitu bahadhi siyo Kila kitu apate Kwa mwanaume na sio siku akitoa pesa basi inahesabika deni sharti lilipwe
 
Wew unajielewa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada mkubwa muhuni kweli, hiyo mimi naikataa kabisa. Tafuteni pesa zenu, mlitaka wenyewe 50 50. Kwanza majukumu yenu mmeyatelekeza mkawapa housegirls na bado huko mnasema mnaenda kutafuta pesa zinakuwa hazina mchango kwa ustawi wa familia. Tafuteni pesa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom