Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
Waambie hao, an era has changed! Mkuu don't forget ile damu yetu!.Kwani Mkuu wewe unaweza kutoa Ukuni wako Bure?
Siku hizi hakuna Ukuni wa Bure labda Kwa washamba au Watu wazee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie hao, an era has changed! Mkuu don't forget ile damu yetu!.Kwani Mkuu wewe unaweza kutoa Ukuni wako Bure?
Siku hizi hakuna Ukuni wa Bure labda Kwa washamba au Watu wazee
Mbona kinyonge hivyo kaka? Jiamini kaka.! Jiamini! Usiwe mnyonge na desperate kiasi hicho.wewe utakuwa bonge moja la handsome
ila sisi wenye sura ngumu, bila pesa, utelezi wa bure utakaopata ni wa Vaseline pekee
Kuna sie Ambao mwanamke humjui lakin anaanza kukufanisha ...lazma niweze kuchagua status banah.
Watu tumeshajaribu na tunadunda. Hofu ni kwako kwa kuwa akili huna za kum control mtoto msomi na tajiri. Tafuta walala hoi wenzako.hii ni kali ya mwaka
jaribu uone atakunyanyasa hadi ukome. chezea watu waliopiga stori na nyoka utajuta
Siyo hivyo tu. Insecurity yake inaweza kupelekea hata kukuua kabisa.Ni kweli maskini walio wengi huwa na tabia za uchawi na ushirikina.
Mwanaume lazima urogwe na nduguzo .
Anajua iwapo ukimwacha hatapata pa kwenda na kupata kujikimu mahitaji yake ya msingi hivyo anaamini katika kukuroga tu.
ChaiMwache ajitoe akili, na mnavyojifanyaga mnataka kuheshimiwa, yaani upo tu ndani ya nyumba nakulisha, nakuvisha, mashavu yamekuvimba kama mimba ya panya utegemee nikuheshimu kwa lipi la maana hasa!
Heshima ya mwanaume ni kubeba majukumu yake kama mwanaume.
Vinginevyo utadharauliwa hadi na sisimizi waliopo ndani kwako.
Sema tu huna hela[emoji38][emoji38] mwanamke kapuku[emoji38][emoji38]Mwache ajitoe akili, na mnavyojifanyaga mnataka kuheshimiwa, yaani upo tu ndani ya nyumba nakulisha, nakuvisha, mashavu yamekuvimba kama mimba ya panya utegemee nikuheshimu kwa lipi la maana hasa!
Heshima ya mwanaume ni kubeba majukumu yake kama mwanaume.
Vinginevyo utadharauliwa hadi na sisimizi waliopo ndani kwako.
Aliyekudanganya mwanaume kupigwa tafu na mwanamke inamaanisha yupo chini yake ni nani? Kakudanganya vibaya sana.Aseee hata yakikupiga vipi mwanaume usikubali kuwa chini ya mwanamke.
Hamjaumbwa hivyo.
Kwa hiyo kama hana hela apige punyeto??!Kwanza kama Huna pesa Achana na wanawake, sahau story za kuoa.
Tafuta maisha then fikiria kumiliki mtu utakayemudu kumlisha na kamvisha, hata heshima utaipata vizuri tu.
Source ya story yako? Siyo chai kweli?True story niliona YouTube:
Kuna mzungu mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni iliyokuwa ikimlipa vizuri, huyo mzungu alienda ufilipino kikazi, aka-fall in love na mdada wa kifilipino, huyo mzungu alijengea ghorofa ndugu wa huyo mdada, mdada kila mwezi alikuwa anapewa USD 1000 za kutumia, alilipiwa kodi ya nyumba kwenye best neighborhoods kule ufilipino, na kuwekewa mfanyakazi wa ndani. Wakazaa mtoto mmoja.
LAKINI:
Huyo mdada alikuwa ana-cheat na security man mmoja ambaye mshahara wake wa mwaka mmoja ndo hela anayopewa huyo mdada kwa mwezi, dada alimnunulia hadi pikipiki huyo mcheps wake, Maza wa huyo mzungu alimshtukia bidada kuwa yuko na mwanae kimaslahi, kwan ilikuwa bidada akishikwa mkono na jamaa, mdada anautoa mkono wake Fasta, mwishoni huyo mdada na mcheps wake wakamuua mzungu wa watu ili warithi mali..Sahivi dada na mcheps wake wanatumikia life sentence in prison
So kuwa na hela sio guarantee ya kupata heshima toka kwa mwanamke Zesh Cute Wife
Ni wewe ndiyo mwenye ubinafsi bhana... wa kwetu mbona hawana.![emoji38]Hatujasema ni kwa asilimia 100%
Ila asilimia kubwa mwanamke hakupi heshima kama Huna chochote, kiasili sisi tuna ubinafsi ndani yetu.
Alafu nikisharudiRUDI kwenu Rwanda
Miimi sura lazma nizingatie,,,, siwez kuoa mwanamke ana sura kama analia eti kisa tu ana high intellect. Hapana hapana yaan kama ni suala la intellect basi watoto watarithi intellect yangu lakn sura watarithi kwa mamao.Mimi niliangalia uwezo wake kichwani, "intellect". Tunataka kurithisha wtoto wetu kila kitu kuanzia uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo. Ukioa bila kuangalia uwezo wake kiakili huenda ukarithisha vitu vya ajabj kwa vizazi vyako.
Sura, trako na memgineyo hayana nafasi kwenye ndoa!
Kw andiko hilo juuMwache ajitoe akili, na mnavyojifanyaga mnataka kuheshimiwa, yaani upo tu ndani ya nyumba nakulisha, nakuvisha, mashavu yamekuvimba kama mimba ya panya utegemee nikuheshimu kwa lipi la maana hasa!
Heshima ya mwanaume ni kubeba majukumu yake kama mwanaume.
Vinginevyo utadharauliwa hadi na sisimizi waliopo ndani kwako.
Na nadhani mtoa mada kikubwa kamaanisha mwanamke aweanajitegemea Kwa vitu bahadhi siyo Kila kitu apate Kwa mwanaume na sio siku akitoa pesa basi inahesabika deni sharti lilipweMwanamke TAJIRI akupende mwenyewe kaka,ila ukitaka mwanamke Tajiri lazima na wewe uwe stable
huwezi kwenda kula chipsi SINZA useme utakutana na mwanamke TAJIRI kuna sehemu ambazo zinatakiwa
ziwe katika circle yako ya maisha,mwanamke Tajiri hupatikana sehemu za matajiri ishu ni kuweza afford ingia
hizo mahala,maana kununua soda/juice/soft drink (ya kawaida) kwa 50k mkuu yakupasa ujitoe sadaka haswa
ila Yote kwa Yote Mapenzi ya kutafuta SIO mapenzi,ukiweza Afford ingia 5 star hotel kila siku kwa lengo eti upate
mwanamke TAJIRI nadhani si sawa,Mapenzi ni zaidi ya status zenu Financialy,Sawa una pesa Utapata Mke ana Pesa
haya sasa mko kwenye NDOA mna watoto, mke hajui malezi,mke hajui kitu,Yani huelewi hata ni imekuaje akawa MKE wako.
Fungua akili yako Omba Mungu akupe mke mwenye Hekima zake asie Mbinafsi mtakae ongea Lugha 1,Kaka amini nakwambia
Unaweza kuwa na mwanamke Kapuku Masikini na asikuombe hata senti yako na daily anapendeza kwa pesa za wazazi/kaka/ndugu zake,nk ni pure Maskini ambae si mzigo.
Tabia ya kuomba omba,ipo ndani ya Mtu na si katika uhalisia wa kipato chake,Nimeshawahi date mwanamke hana shida kabisa kuanzia familia yake mpka pale alipo sasa Lakini ni omba omba yule mwanamke Matonya akasome.
Uzungu mwingiiii kumbe ni ili tu atumie zangu zake zitulie bank so ishu sio Mtu mwenye PESA ishu ni MOYO brother, Ukipata mwanamke mwenye Moyo/utu/upendo,nk umemaliza
Hii ya kutafuta Mahusiano na stable woman kipesa au stable Man Kipesa itatokea watu puani na wapo ambao wanakula matunda ya walichokipanda.
Omba Mungua akukutanishe na Ubavu wako,Kwisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada mkubwa muhuni kweli, hiyo mimi naikataa kabisa. Tafuteni pesa zenu, mlitaka wenyewe 50 50. Kwanza majukumu yenu mmeyatelekeza mkawapa housegirls na bado huko mnasema mnaenda kutafuta pesa zinakuwa hazina mchango kwa ustawi wa familia. Tafuteni pesa[emoji23][emoji23][emoji23]Wew unajielewa sana