Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Sasa naelewa kwann vitendo vya ushoga vinakua kwa kasi sana!
Yan mwanaumee kabisaa unaogopa kupambana kimaisha unataka ulelewe?

Shubamitiiiii
 
Kwanza kama Huna pesa Achana na wanawake, sahau story za kuoa.
Tafuta maisha then fikiria kumiliki mtu utakayemudu kumlisha na kamvisha, hata heshima utaipata vizuri tu.
True story niliona YouTube:
Kuna mzungu mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni iliyokuwa ikimlipa vizuri, huyo mzungu alienda ufilipino kikazi, aka-fall in love na mdada wa kifilipino, huyo mzungu alijengea ghorofa ndugu wa huyo mdada, mdada kila mwezi alikuwa anapewa USD 1000 za kutumia, alilipiwa kodi ya nyumba kwenye best neighborhoods kule ufilipino, na kuwekewa mfanyakazi wa ndani. Wakazaa mtoto mmoja.

LAKINI:
Huyo mdada alikuwa ana-cheat na security man mmoja ambaye mshahara wake wa mwaka mmoja ndo hela anayopewa huyo mdada kwa mwezi, dada alimnunulia hadi pikipiki huyo mcheps wake, Maza wa huyo mzungu alimshtukia bidada kuwa yuko na mwanae kimaslahi, kwan ilikuwa bidada akishikwa mkono na jamaa, mdada anautoa mkono wake Fasta, mwishoni huyo mdada na mcheps wake wakamuua mzungu wa watu ili warithi mali..Sahivi dada na mcheps wake wanatumikia life sentence in prison

So kuwa na hela sio guarantee ya kupata heshima toka kwa mwanamke Zesh Cute Wife
 
True story niliona YouTube:
Kuna mzungu mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni iliyokuwa ikimlipa vizuri, huyo mzungu alienda ufilipino kikazi, aka-fall in love na mdada wa kifilipino, huyo mzungu alijengea ghorofa ndugu wa huyo mdada, mdada kila mwezi alikuwa anapewa USD 1000 za kutumia, alilipiwa kodi ya nyumba kwenye best neighborhoods kule ufilipino, na kuwekewa mfanyakazi wa ndani. Wakazaa mtoto mmoja.

LAKINI:
Huyo mdada alikuwa ana-cheat na security man mmoja ambaye mshahara wake wa mwaka mmoja ndo hela anayopewa huyo mdada kwa mwezi, dada alimnunulia hadi pikipiki huyo mcheps wake, Maza wa huyo mzungu alimshtukia bidada kuwa yuko na mwanae kimaslahi, kwan ilikuwa bidada akishikwa mkono na jamaa, mdada anautoa mkono wake Fasta, mwishoni huyo mdada na mcheps wake wakamuua mzungu wa watu ili warithi mali..Sahivi dada na mcheps wake wanatumikia life sentence in prison

So kuwa na hela sio guarantee ya kupata heshima toka kwa mwanamke Zesh Cute Wife
Hatujasema ni kwa asilimia 100%
Ila asilimia kubwa mwanamke hakupi heshima kama Huna chochote, kiasili sisi tuna ubinafsi ndani yetu.
 
Tangu enzi za mababu heshima ya mtu ni kazi [emoji123]
Mwanamke lazima naye awe mzalishaji mali.

Zamani Wakati wa kutafuta mke alikuwa anaangalia binti chapakazi, anayejua kulima hasa, mzalishaji mali.

Na sio kushinda nyumbani kufanya shughuli nyumbani tu la hasha!

Lazima ikawe Sawa kwenye mindsets zetu.

Mwanaume na mwanamke wote wameagizwa kufanya kazi kuzalisha mali.
 
Nimepita na comment zote humu wengi mnamponda mtoa mada ila nawaambia Jamaaa yuko sahihi sanaaa sema tu ni vile mpangilio wa hoja zake haujakaaa vzr sana ila kaaachini soma tena hiii post then irudie tena utaelewa tu.

Then jiulize Je ikitokea leo hiiiii paaaaaap umekufa je watoto wako watatoboa kwa aina ya mke uliyenaye?

Epuka kuendeshwa na hisia za matako.
Haya ndiyo maneno sasa.
 
 
Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.

Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.

Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.

Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.

Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.

#Kataa Mwanamke Maskini.
Anaweza kua maskini wa Mali lkn tajiri wa akili. ..ukifuata Mali nenda Masaaki. .O'bay lkn wengi vichwani zero. ..tafuta alie na akili simali
 
Man down... Mtoa mada anataka kitonga, kwaiyo unataka kutuambia mama ako alimlea baba ako alafu nyie ndo mnafanya tuonekane wanaume makali yameisha ivi unajiita mume ndani unawezaje kufanya ilo jambo huvijui ivyo viumbe bwamdogo.. uo ni ugaygay
Acha ubwege nawe bro! Usichoelewa ni kipi hapo? Ada za watoto zimekuchanganya au?
 
Back
Top Bottom