Capt
Senior Member
- May 6, 2016
- 156
- 305
Anajiwazia mwenyewe tuAcha kulaza akili kijana ni uvivu unakusumbua. Mtoto wa kiume changamka pambana sio usubiri kupambaniwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajiwazia mwenyewe tuAcha kulaza akili kijana ni uvivu unakusumbua. Mtoto wa kiume changamka pambana sio usubiri kupambaniwa
Abaki na uchoyo wake mwenyeweHubrus....,
Imetokea kasumba ya watu kutaka kuwapangia watu maisha au kudhani wanachopenda wao au kinachofanya kazi kwao ni universal..., Yaani wanadhani maisha yana kanuni ni hakuna variables bali constants...
Yaani Ukifanya Hiki + Ukifanya Kile - Usipofanya Hiki = Utapata Hiki; Kwamba hayo yote ni constant kwa kila mtu, Kumbe hayo yote ni Variables...
To each his her own.....
By the way Umasikini ni Nini; Tabia ? , hali ambayo inabadilika au ni constant kwamba hali hii haibadiliki
Wewe unayo pesa?Andiko lako umelitoa kwenye kitabu gani? Wewe sema huna pesa bro
Sasa safari hii hili pilau tuhakikishe tunakula!tutapewa kilema tukimkimbia na shemeji huyu,maana Nimeona kila mtaa wachunba wapya wanakunyemelea[emoji1787]
Wewe unayo pesa?
Pia mimi ntakuongezea[emoji23][emoji23][emoji23] Ninayo ya kukulisha miaka yote mpk mkataba wa bandari utakapoisha
Pia mimi ntakuongezea
😀 sawa tajiri.[emoji23][emoji23][emoji23] Ninayo ya kukulisha miaka yote mpk mkataba wa bandari utakapoisha
Kupanga ni kuchagua.Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.
Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.
Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.
Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.
Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.
#Kataa Mwanamke Maskini.
tafuta hela.Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.
Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.
Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.
Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.
Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.
#Kataa Mwanamke Maskini.
KabisaAcha kulaza akili kijana ni uvivu unakusumbua. Mtoto wa kiume changamka pambana sio usubiri kupambaniwa
Bora huyo taarabu mimi nakukodia tarumbeta.Stress hizo [emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwenzio aliwekewa taarabu na mkewe kisa kulelewa
NAKAZIA 😂😂😂 Kijana aache visingizioHakuna K ya Bure Mzee Baba