Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Mimi shughuli ni starehe sio kulipia kitongaKama wanavyokushughulikia wewe chakubimbi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi shughuli ni starehe sio kulipia kitongaKama wanavyokushughulikia wewe chakubimbi?
Go find life kijana!huo ndio usia wangu usidanganyike na Ile Hadith hizo ni zama za mawe za kaleKwani umeacha lini kuuza?
Sasa safari hii hili pilau tuhakikishe tunakula!tutapewa kilema tukimkimbia na shemeji huyu,maana Nimeona kila mtaa wachunba wapya wanakunyemelea🤣Dada usimalize nguvu zako, una kazi ya kukusanya michango ya harusi [emoji12]
Punguza makasiriko poor womanGo find life kijana!huo ndio usia wangu usidanganyike na Ile Hadith hizo ni zama za mawe za kale
Acha ujinga issue Hapa mwanamke Maskini hata awe na pesa zake Hataki kutumia anataka utumie ww tu, mtoa mada mmoja kaongezea mwanamke mwenye Roho ya kimaskini hafai na hiyo ndio Ukweli wenyewe.Mwanaume anaoa mwanamke ili amtunze. Mpaka hapo wewe siyo mwanaume tafuta kundi lako haraka!
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna K ya Bure Mzee Baba
Wewe hizi habari sio za kushawishi watu kama mama ako aliolewa akiwa tajir ni yeye acha watoto wa masikini waolewe nyie ndo wanaume mnatamani na nyie kulipiwa mahari, tafuta pesa mhudumie mkeo mzee baba acha iz mamboAcha ujinga issue Hapa mwanamke Maskini hata awe na pesa zake Hataki kutumia anataka utumie ww tu, mtoa mada mmoja kaongezea mwanamke mwenye Roho ya kimaskini hafai na hiyo ndio Ukweli wenyewe.
Unajua Ajenda za wazungu wa magharb zimeharbu watu wengi Sana , siku hizi mwanaume ukitoa mada ikiponda kidogo upande wa pili utaskia Mara ooh hv..skia Akili yako imekuwa brain washed na Habari za upinde ...ukiona mwanaume hata mwenyewe sauti nyembamba kidogo...Basi Huyo unamtoa kwenye kundi ...ujinga mtupu
Hakuna K ya Bure Mzee Baba
wewe utakuwa bonge moja la handsomeKwani Mkuu wewe unaweza kutoa Ukuni wako Bure?
Siku hizi hakuna Ukuni wa Bure labda Kwa washamba au Watu wazee
wewe utakuwa bonge moja la handsome
ila sisi wenye sura ngumu, bila pesa, utelezi wa bure utakaopata ni wa Vaseline pekee
Hamna Mkuu.
Ishu hapo ni kujiamini, kujiweka kama Mwanaume. Kisha kuwa mjanja mjanja. Sio hata kuongea huwezi hapo lazima Wanawake wakusumbue.
Siwezi TOA Pesa kununua dhambi, siwezi kutoa Pesa Kupata Magonjwa kama UTI, Ukimwi, n.k.
Siwezi kulipia Pesa kununua mikosi Mimi.
Labda tuongee biashara Mimi ndio nilipwe.
Acha ujinga ww mbona mko brain washed hivyo kila kitu' mnaleta Ajenda za magharib huko ..Hapa Ni Ukweli wa maisha..Alafu ukiona mwanaume unatumia pesa nyingi kumpata mwanamke automatically una mwonekano wa hovyo.Man down... Mtoa mada anataka kitonga, kwaiyo unataka kutuambia mama ako alimlea baba ako alafu nyie ndo mnafanya tuonekane wanaume makali yameisha ivi unajiita mume ndani unawezaje kufanya ilo jambo huvijui ivyo viumbe bwamdogo.. uo ni ugaygay
Sasa hao maskini unataka waolewe na nani kama wote wataoa matajiri?Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.
Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.
Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.
Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.
Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.
#Kataa Mwanamke Maskini.