YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
...akaja na ID ingine kujarib kukukuruka, ila wapi
Na wewe umemshtukia [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...akaja na ID ingine kujarib kukukuruka, ila wapi
Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.
Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.
Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.
Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.
Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.
#Kataa Mwanamke Maskini.
🤣 🤣 🤣 mapema sanaNa wewe umemshtukia [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume tunasahau majukumu yetu. Dunia tumepewa sisi tuhangaike nayo. Nature ya mwanamke ni kuwa tegemezi na sio kujihangaikiaSuala hapo sio kupambaniwa, ni kuwa na kiumbe anayeweza kujipambania…. sio hamna hamna kabisa.
Kwani umekatwa kichwa Hadi ujiite maskini?amka pambanaHatimaye wanawake masikini tumefikiwa
Mawazo mgando......pesa ya mwanamke ya moto kijana tafuta vyako achana na Hadith za kaleVilevile ukiona mwanamke ambaye anatoka katika nasaba(ukoo) wenye uwezo wa mali fanya juu chini usimuache.
Amini amini nawaambieni hakuna utukufu wala heshima katika umaskini.
Pesa ya mwanamke maskini ndio ya moto, maana unaweza ukawa umeipata pesa baada ya kupelekewa sana moto kwa kuuza bikra zako zote mbili (ya mbele na ya nyuma)Mawazo mgando......pesa ya mwanamke ya moto kijana tafuta vyako achana na Hadith za kale
🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani watu tumsisikilize Khadija Kopa na Mzee Yusuph kisa Nini?tunaweka vizuri taarabu zetu,angeshinda kutafuta hela angeisikia Wapi,...Sasa na huyu ajiandaeStress hizo [emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwenzio aliwekewa taarabu na mkewe kisa kulelewa
Nani huyo? Mimi sijaoa bado nipo chuo.Stress hizo [emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwenzio aliwekewa taarabu na mkewe kisa kulelewa
Aisee nashauri baada ya bandari na Ikulu ya Chamwino na makabrasha yote yaliyomo ndani yake iuzwe kama akili za raia ndio zimeishia hapa.Mtoa mada unanikumbusha mfano mmoja wa kweli miaka ya 90 mwishoni pale USA ,katika ulimwengu wa mieleka .Kipindi hicho jamaa anaitwa triple H katika kundi la D-genaration X (DX) alikuwa na mahusiano na mwanamieleka mwenzake kutoka kundi hilo akijulikana kama Chyna. Ila baadae kidogo binti wa boss wa WWF(baadae WWE) ajulikanae kama Stephanie McMahon alitokea kumpenda Tripple H, jamaa akaamua afanye mahesabu yake vizuri akaamua kumtema Chyna na kuruka na binti wa bilionea wa WWE ,Vince Mc Mahon. Baada ya hapo kila kitu kikabaki kuwa ni historia kwa mchizi,sasa hivi anakula shavu katika kampuni ya mkwewe na ni kiongozi wa juu ktk kampuni.
Chyna yeye aliishia kuingia katika ulevi wa madawa ya kulevya na pombe na hivi sasa ni marehemu.
Hakuna utukufu wala heshima katika umaskini. Fanya juu chini uweze kuukimbia umaskini
Kabadilishe pedi na upunguze makasiriko, sawa!?Aisee nashauri baada ya bandari na Ikulu ya Chamwino na makabrasha yote yaliyomo ndani yake iuzwe kama akili za raia ndio zimeishia hapa.
Ndio uache kushobokea Pesa ya mwanamke tajiri pia,unajua kaipataje?Pesa ya mwanamke maskini ndio ya moto, maana unaweza ukawa umeipata pesa baada ya kupelekewa sana moto kwa kuuza bikra zako zote mbili (ya mbele na ya nyuma)
Wewe maskini endelea kuuza nyapu .sawa?!Ndui uache kushobokea Pesa ya mwanamke tajiri pia,unajua kaipataje?
Pedi Tena?Niko zangu menopause kwa Raha zangu.....Panua ubongo wako tafuta maisha yako kupenda kitonga mashemeji zako wenye Mali zao watakushughulikiaKabadilishe pedi na upunguze makasiriko, sawa!?