Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.

Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.

Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.

Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.

Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.

#Kataa Mwanamke Maskini.

Ebu toka hapa, mwanamke tak.o, hivi mwanaume mzima utegemee mwanamke akutoe au akusaidie kiuchumi? Mwanaume unafuata moja tu kwa mwanamke, urembo wake, tak.o is number one urembo, vingine vinafuata..

Mwanamke mwenye hela hawezi kuwa submissive kwako? Hujui kitu wewe
 
Suala hapo sio kupambaniwa, ni kuwa na kiumbe anayeweza kujipambania…. sio hamna hamna kabisa.
Wanaume tunasahau majukumu yetu. Dunia tumepewa sisi tuhangaike nayo. Nature ya mwanamke ni kuwa tegemezi na sio kujihangaikia
 
Mtume Muhammad (pbuh) alisema kuwa "Mwanamke huolewa kwa mambo manne, kwanza ni uzuri wake, pili ni mali yake, tatu ni nasaba(ukoo) yake,na nne ni dini yake. Akasema oa mwanamke mwenye dini ili mikono yako ipate kubarikiwa".

Tukirejea kwa mtoa mada ni kweli kama kuna machaguzi kati ya wanawake wawili mmoja ana mali na mwingine hana mali,basi wewe fata yule mwenye mali kwani huenda akakufaa mbeleni huko.

Hata Mtume wetu Muhammad alioa mwanamke,mfanyabiashara tajiri aitwaye Khadijah. Kiukweli huyu mama yetu alimsaidia sana Mtume Muhammad (pbuh) katika hatua za awali za utume wake katika mji wa Makkah.
 
Vilevile ukiona mwanamke ambaye anatoka katika nasaba(ukoo) wenye uwezo wa mali fanya juu chini usimuache.

Amini amini nawaambieni hakuna utukufu wala heshima katika umaskini.
Mawazo mgando......pesa ya mwanamke ya moto kijana tafuta vyako achana na Hadith za kale
 
Mtoa mada unanikumbusha mfano mmoja wa kweli miaka ya 90 mwishoni pale USA ,katika ulimwengu wa mieleka .Kipindi hicho jamaa anaitwa triple H katika kundi la D-genaration X (DX) alikuwa na mahusiano na mwanamieleka mwenzake kutoka kundi hilo akijulikana kama Chyna. Ila baadae kidogo binti wa boss wa WWF(baadae WWE) ajulikanae kama Stephanie McMahon alitokea kumpenda Tripple H, jamaa akaamua afanye mahesabu yake vizuri akaamua kumtema Chyna na kuruka na binti wa bilionea wa WWE ,Vince Mc Mahon. Baada ya hapo kila kitu kikabaki kuwa ni historia kwa mchizi,sasa hivi anakula shavu katika kampuni ya mkwewe na ni kiongozi wa juu ktk kampuni.

Chyna yeye aliishia kuingia katika ulevi wa madawa ya kulevya na pombe na hivi sasa ni marehemu.

Hakuna utukufu wala heshima katika umaskini. Fanya juu chini uweze kuukimbia umaskini
 
Stress hizo [emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwenzio aliwekewa taarabu na mkewe kisa kulelewa
🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani watu tumsisikilize Khadija Kopa na Mzee Yusuph kisa Nini?tunaweka vizuri taarabu zetu,angeshinda kutafuta hela angeisikia Wapi,...Sasa na huyu ajiandae
 
Mtoa mada unanikumbusha mfano mmoja wa kweli miaka ya 90 mwishoni pale USA ,katika ulimwengu wa mieleka .Kipindi hicho jamaa anaitwa triple H katika kundi la D-genaration X (DX) alikuwa na mahusiano na mwanamieleka mwenzake kutoka kundi hilo akijulikana kama Chyna. Ila baadae kidogo binti wa boss wa WWF(baadae WWE) ajulikanae kama Stephanie McMahon alitokea kumpenda Tripple H, jamaa akaamua afanye mahesabu yake vizuri akaamua kumtema Chyna na kuruka na binti wa bilionea wa WWE ,Vince Mc Mahon. Baada ya hapo kila kitu kikabaki kuwa ni historia kwa mchizi,sasa hivi anakula shavu katika kampuni ya mkwewe na ni kiongozi wa juu ktk kampuni.

Chyna yeye aliishia kuingia katika ulevi wa madawa ya kulevya na pombe na hivi sasa ni marehemu.

Hakuna utukufu wala heshima katika umaskini. Fanya juu chini uweze kuukimbia umaskini
Aisee nashauri baada ya bandari na Ikulu ya Chamwino na makabrasha yote yaliyomo ndani yake iuzwe kama akili za raia ndio zimeishia hapa.
 
Pesa ya mwanamke maskini ndio ya moto, maana unaweza ukawa umeipata pesa baada ya kupelekewa sana moto kwa kuuza bikra zako zote mbili (ya mbele na ya nyuma)
Ndio uache kushobokea Pesa ya mwanamke tajiri pia,unajua kaipataje?
 
Back
Top Bottom