Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 772
- 2,150
SawaHujawaona wenye hela wanaokataa wanawake masikini? Basi kama ndivyo, wewe ni mshamba.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHujawaona wenye hela wanaokataa wanawake masikini? Basi kama ndivyo, wewe ni mshamba.!
Endelea kusubiria kulelewa mtoto wa kiume🤣👋Usijifariji, hatutaki wanawake makapuku sisi.
Ubaya uko wapi? Kulelewa na mtoto wa kike ni sunna...! Ila kulelewa na mwanaume mwenzako ni ajabu.Endelea kusubiria kulelewa mtoto wa kiume[emoji1787][emoji112]
Muandiko wako umeshakuumbua kuwa ni mwanamke choka mbaya[emoji38]Andiko lako umelitoa kwenye kitabu gani? Wewe sema huna pesa bro
Sikia nikuambie kitu.Acha uongo.! Mimi nimewahi na sijaona huo ujinga unaouongelea.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋Ubaya uko wapi? Kulelewa na mtoto wa kike ni sunna...! Ila kulelewa na mwanaume mwenzako ni ajabu.
Unaonekana choka mbaya wewe[emoji38]
Wanatuchosha vichwa tu hawa, Kama mwanamke ni maskini mfanye asiwe maskini. Sio wewe mwanaume uanze kumtegemea yeye[emoji419] Kwa hii point leo nakupa yoteee [emoji2222]
Huyo ni mwanamke akiwa choka mbaya, sisi wanaume ni jukumu letu kumbadilisha. Hata hivyo sio choka mbaya, double-check what you have writtenMuandiko wako umeshakuumbua kuwa ni mwanamke choka mbaya[emoji38]
Kichwani tupu kabisaUmeongea utumbo. Demu kama cute wife unaanzaje kumkataaa hata awe maskini?
Muandiko wako umeshakuumbua kuwa ni mwanamke choka mbaya[emoji38]
Huyo ni mwanamke akiwa choka mbaya, sisi wanaume ni jukumu letu kumbadilisha. Hata hivyo sio choka mbaya, double-check what you have written
Hahaha mserereko nikipata kwa demu wangu hakuna ubaya... ija dume kulelewa na dume ndipo kuna ubaya. By the way wewe ni choka mbaya tu. Ptuuu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe sio mzima dume zima linataka mserereko!! Olewa bas upewe huduma bwege wewe
Wewe ndiye si mwanaume. Acha ushamba
jamaa hujamwelewa siyo kumkataa labda upige usepe ila siyo kwa malengo ya kuoaUmeongea utumbo. Demu kama cute wife unaanzaje kumkataaa hata awe maskini?