Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.

Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.

Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.

Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.

Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.

#Kataa Mwanamke Maskini.
Hujawahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu.
Utaona kuzimu duniani.
Wanawake wanataka dhahabu.
Tafuta hela.
 
ni kweli hakuna k ya bure japo zinatofautiana gharama, zipo za buku, zipo za laki na bei zingine huria, inategemea unataka ya gharama gani
Kwani ni k tu ndo zinanuliwa yani kwani mwanamke mwili wake huwe kitega uchumi kwanini yani?

Raha apate pesa achukue na kumuumiza MWANAUME amuumize
 
Upo sahihi mtoa Mada.

Ila ningependa kuweka sawa hili bandiko lako zuri kuhusu hawa Viumbe.

Mie ningependa kusisitiza vijana wajihusishe ktk mahusiano na WANAWAKE wasio Wabinafsi.

Maana unaweza kuwa na huyo mwenye hela ila akawa ni mbinafsi na akakutwisha mzigo zaidi.

Pia unaweza kuwa na huyo Maskini ila akawa na huruma na wewe asikutwishe mizigo mikubwa au mkagawana mizigo kulingana na hali halisi.

Binafsi sitaki MWANAMKE Ambae ni MBINAFSI.
Facts,na kwa kuongezea kataa mwanamke mwenye roho ya kimasikini hii ni mbaya sana maana inajumuisha,ubinafsi,uchawi,uroho,umalaya,yaani kila baya unalolijua liko kwenye roho ya umaskini
 
Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.

Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.

Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.

Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.

Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.

#Kataa Mwanamke Maskini.
Mwanaume anaoa mwanamke ili amtunze. Mpaka hapo wewe siyo mwanaume tafuta kundi lako haraka!
 
Hakuna K ya Bure Mzee Baba
Hebu ongeza sauti na uwaalike kwenye chama kama huku kwingine panawawia vigumu.

Maskini atapata masikini mwenzie, zali la mentali liliishia kwa profesa J, na zile Cinderella stories, ni stories za zamani sana ambazo hazifanyi kazi katika huu ulimwengu wa dijitali. 😀😀😅

Unatakiwa uwe na vitu extra sana ili uopoe mtu ambaye ni wa class ya juu sana kwako.
 
Wanawake wanatukataa wanaume maskini pia
Umeongea point sana kama wao wanatuuliza maswali unafanya kazi gani na unanyumba au unapanga ifike mahala tuaanze kuwafanyia interview pia kujua uchumi wao pia kama anafanya kazi gan na uchumi wake ukoje uwezi pesa mwaume mwenye pesa na yeye hana hizo pesa ni ujinga na upumbavu
 
Kwani ni k tu ndo zinanuliwa yani kwani mwanamke mwili wake huwe kitega uchumi kwanini yani?

Raha apate pesa achukue na kumuumiza MWANAUME amuumize
lengo hasa la kuwa na mwanamke ni kupata k muda wowote ukitaka bila hofu, hayo mengine ni ziada tu. Penzi kwanza
 
Back
Top Bottom