Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna K ya Bure Mzee Baba
asake pesaBora umelijua hilo [emoji6]
Mwanamke kiasili sio mtafutaji, ukikuta sio maskini basi ni jambo zuri. sisi ndio tunapaswa kumuwezesha mwanamkeAndiko lako umelitoa kwenye kitabu gani? Wewe sema huna pesa bro
Mwanamke kiasili sio mtafutaji, ukikuta sio maskini basi ni jambo zuri. sisi ndio tunapaswa kumuwezesha mwanamke
Ukutane na demu kama cute wife alafu uanze kujiuliza ni maskini au tajiri, ili iwe nini?
Umeongea utumbo. Demu kama cute wife unaanzaje kumkataaa hata awe maskini?
Hujawaona wenye hela wanaokataa wanawake masikini? Basi kama ndivyo, wewe ni mshamba.!Ni vile tu huna ela!
Hujamuelewa. Futa fikra za kikapukuYaani wewe masikini, unataka uoe mwanamke anaekuzidi hela?!
Utakufa mapema mwaisa
Acha ushamba. Pokea ushauri huoHujawah kupenda kijana
UnajidanganyaHakuna K ya Bure Mzee Baba
Umekariri. Yaani nakupa 2%... sijawahi kuona lipiga punyeto likawa na akili
🤣 🤣 🤣 🤣 umri huu akili za nini tena mimisijawahi kuona lipiga punyeto likawa na akili
masikini nao huoana wao kwa wao
Maana yake vijana waoe wanawake wazee?Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.
Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.
Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.
Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.
Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.
#Kataa Mwanamke Maskini.
Acha uongo.! Mimi nimewahi na sijaona huo ujinga unaouongelea.Hujawahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu.
Utaona kuzimu duniani.
Wanawake wanataka dhahabu.
Tafuta hela.
Usijifariji, hatutaki wanawake makapuku sisi.[emoji7]🪓🪓🪓
Wewe ndiye si mwanaume. Acha ushambaMwanaume anaoa mwanamke ili amtunze. Mpaka hapo wewe siyo mwanaume tafuta kundi lako haraka!