Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Unazungumzia umaskini wa mali au wa fikra Mkuuu??
Hizo ni fikra za kimaskini nivile huna hela
Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.

Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.

Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.

Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.

Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.

#Kataa Mwanamke Maskini.
 
Upo sahihi mtoa Mada.

Ila ningependa kuweka sawa hili bandiko lako zuri kuhusu hawa Viumbe.

Mie ningependa kusisitiza vijana wajihusishe ktk mahusiano na WANAWAKE wasio Wabinafsi.

Maana unaweza kuwa na huyo mwenye hela ila akawa ni mbinafsi na akakutwisha mzigo zaidi.

Pia unaweza kuwa na huyo Maskini ila akawa na huruma na wewe asikutwishe mizigo mikubwa au mkagawana mizigo kulingana na hali halisi.

Binafsi sitaki MWANAMKE Ambae ni MBINAFSI.
Umemaliza mkuu!
 
Mmh umepigavkwenye mshono, wanawake wetu wanavyoamini kwenye kuhudumia na sio kugawana bill lazima wakusakame.

Kwangu mimi ni tofauti kidg, Mwanamke masikini na sio mbinafsi maisha ni saaafi ila ukutane na mbinafsi anayeamini kuwa yeye ndio wa kuhudumiwa tu hela yake ni yake hapo unakua uneula wa chuya.
 
Acha kulaza akili kijana ni uvivu unakusumbua. Mtoto wa kiume changamka pambana sio usubiri kupambaniwa

Suala hapo sio kupambaniwa, ni kuwa na kiumbe anayeweza kujipambania…. sio hamna hamna kabisa.
 
Hebu ongeza sauti na uwaalike kwenye chama kama huku kwingine panawawia vigumu.

Maskini atapata masikini mwenzie, zali la mentali liliishia kwa profesa J, na zile Cinderella stories, ni stories za zamani sana ambazo hazifanyi kazi katika huu ulimwengu wa dijitali. 😀😀😅

Unatakiwa uwe na vitu extra sana ili uopoe mtu ambaye ni wa class ya juu sana kwako.
Baadhi wanaangukia humo, sema unakuta kweli familia ipo njema kiasi kwamba wewe unahisi kuwa unfit kuingia humo.

Kuoa familia tajiri unatakiwa uwe vizuri sana upstairs, au uwe mjinga kupitiliza ili mambo yaende. Sisi wenye average minds hatuwezi kudeal na familia tajiri.
 
Mwanaume anaoa mwanamke ili amtunze. Mpaka hapo wewe siyo mwanaume tafuta kundi lako haraka!
Wanawake wasasa hivi nao wamepata fursa kwenye kazi tena nzuri tu na ni 50/50 inaelekea kukamilika kikamilifu inamaana nao Wana uwezo wakuhudumia na baadhi washaanza kuonekana Sasa yanini kutaka kumbebesha MWANAUME zigo lote yakusukia, ya nguo,yaVOCHA,ya kijola,ya mama anumwa Sasa pesa yao wanaipeleka wapi wanawake nao ni lazima wabadilishe mtazamo wao Kwa hao ambao hawajabadilika

Mtu anakuwa na kazi nzuri lakini Bado anawaza kumchuna MWANAUME
 
Binafsi, nachoangalia kwa mwanamke wa kumuoa ni
1)uzuri
2)nimzidi umri na urefu
3)tako
4)tabia yake (jinsi anavyo-watreat wengine), na
5)upendo wake kwangu..

sasa kupata perfect balance ya ivo vigezo apo juu toka kwa mwanamke imenishinda, pesa ya mwanamke itanisaidia nini?

Last but not least, huyo mwanamke asinipendee hela..


Hii ndio kauli ya kiume, shem unatumia kinywaji gani?
 
Mm sikubali dada yangu aolewe na mwanaume maskini. Maskini ni tatizo jamani, ukijiona maskini achana na kuwaza kuoa. Ukishakua maskini unakosa akili, mawivu, kuwaza kumzalisha hovyo binti ili ujijengee utawala kwake. Kiufupi umaskini ni laana kwenye ukoo.
 
Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.

Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.

Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.

Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.

Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.

#Kataa Mwanamke Maskini.
Makasiriko ya Nini? Tafuta tu pesa!
 
Mimi niliangalia uwezo wake kichwani, "intellect". Tunataka kurithisha wtoto wetu kila kitu kuanzia uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo. Ukioa bila kuangalia uwezo wake kiakili huenda ukarithisha vitu vya ajabj kwa vizazi vyako.

Sura, trako na memgineyo hayana nafasi kwenye ndoa!
 
Hahaha mserereko nikipata kwa demu wangu hakuna ubaya... ija dume kulelewa na dume ndipo kuna ubaya. By the way wewe ni choka mbaya tu. Ptuuu[emoji38][emoji38][emoji38]

Stress hizo [emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwenzio aliwekewa taarabu na mkewe kisa kulelewa
 
Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.

Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.

Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.

Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.

Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.

#Kataa Mwanamke Maskini.
Nas wanawake wawakatae makapuku kama wewe mnyonyaji unayetafuta kula bure nyambaff
 
jamaa hujamwelewa siyo kumkataa labda upige usepe ila siyo kwa malengo ya kuoa

Kaka acha uchawi, okoka ufike mbinguni. Unakazia nisiolewe khaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom