Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Jishikilie wewe,sasa muuzaji ni mimi au wewe unaeng'ang'ania mwanamke Mwenye hela??Wewe maskini endelea kuuza nyapu .sawa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jishikilie wewe,sasa muuzaji ni mimi au wewe unaeng'ang'ania mwanamke Mwenye hela??Wewe maskini endelea kuuza nyapu .sawa?!
Nani huyo? Mimi sijaoa bado nipo chuo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani watu tumsisikilize Khadija Kopa na Mzee Yusuph kisa Nini?tunaweka vizuri taarabu zetu,angeshinda kutafuta hela angeisikia Wapi,...Sasa na huyu ajiandae
Aisee nashauri baada ya bandari na Ikulu ya Chamwino na makabrasha yote yaliyomo ndani yake iuzwe kama akili za raia ndio zimeishia hapa.
Uozo tupuVijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.
Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.
Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.
Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.
Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.
#Kataa Mwanamke Maskini.
Na wao wanavyoshobokea pesa za wanaume matajiri wanajua wamezipataje?Ndio uache kushobokea Pesa ya mwanamke tajiri pia,unajua kaipataje?
Nani kasema ni ya moto? Wewe au?Mawazo mgando......pesa ya mwanamke ya moto kijana tafuta vyako achana na Hadith za kale
Unavuta kismati au siyo?Vilevile ukiona mwanamke ambaye anatoka katika nasaba(ukoo) wenye uwezo wa mali fanya juu chini usimuache.
Amini amini nawaambieni hakuna utukufu wala heshima katika umaskini.
Aisee watupumzishe!Jf vichaa wengi stress zao za ndoa wanatuletea huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo Unataka kushindana nao?je unaweza kwenda labor ili mashindano yaende vizuri?Na wao wanavyoshobokea pesa za wanaume matajiri wanajua wamezipataje?
Ulimwengu ulishasema kitambo..Nani kasema ni ya moto? Wewe au?
Aisee watupumzishe!
Kwa hiyo Unataka kushindana nao?je unaweza kwenda labor ili mashindano yaende vizuri?
Kwani umeacha lini kuuza?Jishikilie wewe,sasa muuzaji ni mimi au wewe unaeng'ang'ania mwanamke Mwenye hela??
Kama wanavyokushughulikia wewe chakubimbi?Pedi Tena?Niko zangu menopause kwa Raha zangu.....Panua ubongo wako tafuta maisha yako kupenda kitonga mashemeji zako wenye Mali zao watakushughulikia
Tajiri hatawaliki, anataka haki sawa na mwanamme ni mtawalaVijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.
Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.
Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.
Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.
Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.
#Kataa Mwanamke Maskini.