Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani watu tumsisikilize Khadija Kopa na Mzee Yusuph kisa Nini?tunaweka vizuri taarabu zetu,angeshinda kutafuta hela angeisikia Wapi,...Sasa na huyu ajiandae

Jf vichaa wengi stress zao za ndoa wanatuletea huku [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee nashauri baada ya bandari na Ikulu ya Chamwino na makabrasha yote yaliyomo ndani yake iuzwe kama akili za raia ndio zimeishia hapa.

Na wenye changamoto ya afya ya akili nao wauzwe wakawe watumwa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.

Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.

Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.

Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.

Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.

#Kataa Mwanamke Maskini.
Uozo tupu
 
Kaka mimi niliwahi kuwa na hiyo mentality, nadhani ukuaji wangu wote..

Sikutaka kabisa wanawake maskini, na maskini niliokuwa nao walijua tu sipo kwao kwa mahusiano ya kudumu.

Umri ulipoenda, nilikuja kujua ni makosa makubwa kwa mwanaume kuwa na mwanamke tajiri, hutoweza kuwa mwanamume mwenye power za kiume.

Nature inatumbia
Mwanaume ni guardian kwa family
Provider
Decision maker

Na pia mwanaume hutegemea
Utii na heshima kutoka kwa mwanamke
Kuweza kumcontrol mwanamke na familia

Hv vitu vikishindwa kutimilizwa automatically amani hamna kwenye hayo mahusiano
 
Vilevile ukiona mwanamke ambaye anatoka katika nasaba(ukoo) wenye uwezo wa mali fanya juu chini usimuache.

Amini amini nawaambieni hakuna utukufu wala heshima katika umaskini.
Unavuta kismati au siyo?
 
Vijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.

Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.

Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.

Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.

Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.

#Kataa Mwanamke Maskini.
Tajiri hatawaliki, anataka haki sawa na mwanamme ni mtawala
 
Back
Top Bottom