Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True story niliona YouTube:Kwanza kama Huna pesa Achana na wanawake, sahau story za kuoa.
Tafuta maisha then fikiria kumiliki mtu utakayemudu kumlisha na kamvisha, hata heshima utaipata vizuri tu.
Hatujasema ni kwa asilimia 100%True story niliona YouTube:
Kuna mzungu mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni iliyokuwa ikimlipa vizuri, huyo mzungu alienda ufilipino kikazi, aka-fall in love na mdada wa kifilipino, huyo mzungu alijengea ghorofa ndugu wa huyo mdada, mdada kila mwezi alikuwa anapewa USD 1000 za kutumia, alilipiwa kodi ya nyumba kwenye best neighborhoods kule ufilipino, na kuwekewa mfanyakazi wa ndani. Wakazaa mtoto mmoja.
LAKINI:
Huyo mdada alikuwa ana-cheat na security man mmoja ambaye mshahara wake wa mwaka mmoja ndo hela anayopewa huyo mdada kwa mwezi, dada alimnunulia hadi pikipiki huyo mcheps wake, Maza wa huyo mzungu alimshtukia bidada kuwa yuko na mwanae kimaslahi, kwan ilikuwa bidada akishikwa mkono na jamaa, mdada anautoa mkono wake Fasta, mwishoni huyo mdada na mcheps wake wakamuua mzungu wa watu ili warithi mali..Sahivi dada na mcheps wake wanatumikia life sentence in prison
So kuwa na hela sio guarantee ya kupata heshima toka kwa mwanamke Zesh Cute Wife
Wew unajielewa sanaAcha kulaza akili kijana ni uvivu unakusumbua. Mtoto wa kiume changamka pambana sio usubiri kupambaniwa
BebeIwe kwa mwanamke au mwanaume ni bora zaidi mtafute kwa pamoja
hiki ki lugha auBebe
RUDI kwenu Rwandahiki ki lugha au
Huko mbali, kwanza kumwaga shahawa na kutungisha mimba ni mashindano tosha.!Kwa hiyo Unataka kushindana nao?je unaweza kwenda labor ili mashindano yaende vizuri?
Ulimwengu? Wapi ulisema? Thibitisha!.Ulimwengu ulishasema kitambo..
Exactly true.Hakuna penzi la masikini wawili
Haya ndiyo maneno sasa.Nimepita na comment zote humu wengi mnamponda mtoa mada ila nawaambia Jamaaa yuko sahihi sanaaa sema tu ni vile mpangilio wa hoja zake haujakaaa vzr sana ila kaaachini soma tena hiii post then irudie tena utaelewa tu.
Then jiulize Je ikitokea leo hiiiii paaaaaap umekufa je watoto wako watatoboa kwa aina ya mke uliyenaye?
Epuka kuendeshwa na hisia za matako.
Nani kakudanganya? Wewe bro una exposure ndogo mno.Tajiri hatawaliki, anataka haki sawa na mwanamme ni mtawala
Kwamba biblia ni hadithi tu Joannah?Go find life kijana!huo ndio usia wangu usidanganyike na Ile Hadith hizo ni zama za mawe za kale
Na akitafuta akishazipata amchukue mwenzake. Ndege wa aina moja huruka pamoja. Msemo mkubwa mno huu, hapa wazee wetu walikaa wakatulia.Tafuta hela mkuu
Hapo sasa!Ukiwa na mke masikini jua tu kuwa hubebi mzigo wake bali utabeba mzigo wa ukoo wake wote.
Anaweza kua maskini wa Mali lkn tajiri wa akili. ..ukifuata Mali nenda Masaaki. .O'bay lkn wengi vichwani zero. ..tafuta alie na akili simaliVijana wa Kiume wengi wanapenda Sana kuanzisha mausiano na mwanamke kisa ni mzuri, Ana takle Mara mwonekano wa weupe yote sawa Ila kuweni na Akili Acha kabisa kutongoza mwanamke maskini Kama maisha yako ni ya kuunga unga huna mifereji ya pesa za kuelewaka tumia akili.
Kuchukua Mwanamke maskini ni sawa na kuamua kubeba msalaba wake kila hitaji lake atakuletea ww, vocha kusuka mirasta ya 30k. Kula kila kitu' Hadi kuvaa.
Skia huo' ni uiinga ndio maana wanawake wapo tayari kutembea na kibabu hawaangalii mwonekano .
Chukua mwanamke mwenye pesa, au life la kuleweka.
Anatumia zake na ww unatumia zako Hakuna kubeba msalaba wa mtu mwingne. Mwanamke maskini Akae mbali na mm kabisa 'hata soda ninunue mm alaaah ujinga huo'.
Maisha ni Akili ukiwa fala wa hisia za Mapenz utalia kila siku kumbe unaongozwa na sexual homon badala ya Brain.
#Kataa Mwanamke Maskini.
Acha ubwege nawe bro! Usichoelewa ni kipi hapo? Ada za watoto zimekuchanganya au?Man down... Mtoa mada anataka kitonga, kwaiyo unataka kutuambia mama ako alimlea baba ako alafu nyie ndo mnafanya tuonekane wanaume makali yameisha ivi unajiita mume ndani unawezaje kufanya ilo jambo huvijui ivyo viumbe bwamdogo.. uo ni ugaygay