Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Part 2 bn
 
Kwahiyo wewe jamaa kazi yako nikutongoza wanawake tu hadi wake za watu, angalia sana utaumia,
 
Endelea ...
 
Paka means pussy?
 
Huo upwiru kaupunguze unadinda Kwa stor ya jubafilishana namba?
Nafahamu tena way back wakati nipo kijana nilitengeneza card 250 kwa 20k.


Ila ukiwa mzoefu utagundua usimuliaji wake tu ni umekaa kisamjo samjo(kambaa nyingi) na majigambo
 
Nafahamu tena way back wakati nipo kijana nilitengeneza card 250 kwa 20k.


Ila ukiwa mzoefu utagundua usimuliaji wake tu ni umekaa kisamjo samjo(kambaa nyingi) na majigambo
Hahahah Kwa sababu Gani mkuu,mi naona tu ni kijana baro baro anaetamani kula huyu na yule....yaani hapa kule....
 
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.

Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.

Hao warembo wa kukutana sehemu ka hizo kuna chance ukakutana na malaya ukadhani umeopoa mtu...kumbe umeopoa afisa mahusiano
 
...Uncle Joannah we uligawaje namba kwa uncle... Tupe story tucheke basi[emoji23]
Nikudondosha simu chini ya kiti na kujifanya unaitafuta unaomba Mlengwa simu yake mara Moja uibip kama umeibiwa,baada ya sekunde mbili unajisikia chini ya kiti wote Kwa pamoja wanaitikia haaaa kumbe uliangusha....Imeisha hiyo😥😥😥
 
Duuuh[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…