Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Hiyo ya ten,nlikua kwny daladala dom hiyo,natoka town naenda mipango sa kuna mzee mmoja wa kitanga(mzee kijana) tukakaa sit moja ,tukajikuta tunatia story pale ,akanilipia nauli ,anavoshuka(alishuka kabla yng)kaniachia cha ten,nkapokea eeh kuna kijana alinkodolea macho cjui wivu,kuiangalia pesa ina namba zake , ,kwel wanaume mna buni mbwinu ..[emoji16]mzee kijana anapenda dogodogo [emoji16]
Vipi ulimtunuku Mzee mpambanaji?
 
Part 2:
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.

Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.

Basi nikamlia timing wakati wa kwenda Washroom nimfate huko huko (Mazingira ya pale kwa upande wa Washroom kuna Distance kubwa).

Basi kweli bhana Manzi akajipindua kuelekea Washroom na mimi nikaunga Tela, tulivyokunja kona tu ya kuingia corridor la choooni nikamshtua, akasimama nikamwomba namba akasema yeye ameisahau kama vipi nimpe yangu, basi akanipa simu yake nimuandikie Namba yangu..

Kumbe nyuma Bwana ake anakuja na yeye tyr kashanipa simu yake ndio niandike namba nashangaa Manzi kageuka chap kakimbilia choo cha wanawake. Mie nikawa nimesimama tu sielewi nini kinaendelea ila kwa kuwa nimesoma CUBA sikugeuka ila nikapiga jicho kwenye kioo (Reflection) nikaona mjuba anakuja ila bahati nzuri na yeye alikuwa anatembea huku anachat so hakuona tukio la mbele.

Sasa simu ninayo ya yule Manzi namrudishiaje??.. 🤣

Na jamaa kumbe alikuja kumsubir kule kule kwenye Corridor la Washroom ili arudi naye.

Mie nikajipindua Choo cha kiume kama Kawaida nikazuga zuga pale, Dem akatoka akanipa ishara ya nitulie huko huko.

Basi jamaa akarudi naye Mpaka walipokuwa wamekaa. Mie nikatoka baadae kurudi ktk meza yangu, nikamuita mhudumu mmoja hivi (Best yangu) nikamwambia nenda pale idondoshe hii simu miguuni (Mapajani) kwa yule Dada pale then uje kuna Zawadi yako hapa..

Mhudumu hakusita, alifanya hivyo na yule Dada aliiokota simu yake then.. tukaendelea kuwasiliana pale pale...

Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi.
hv kwan chapati shingapi?
 
Nipo kwenye basi from Mbeya to Dar. Hii safari haikupangiliwa in advance so nilikurupushwa tu. Kupigania siti nikaambulia siti ya pili kutoka mwisho upande wa kulia. Abiria niliyekaa naye kidume mwenzangu. Ila kumbe yeye akaja kushukia Moro. Kufika Mikese wakapanda abiria wawili mdada na mkaka. Kwa haraka nikaona wale ni mtu na mume wake au wachumba. Sasa mdada akaja kukaa nilipo, jamaa akaambulia siti ya mbele (usawa ule ule). Walipopanda konda akaja kuchukua nauli walibishana sana nauli inapelea. wakajikamua kamua sana kwa mbinde konda akarudi huku anafoka foka kwa kuambulia nauli pungufu.

Binti mrembo sana white anang'aa bila make up, nywele kachana tuu (kuku wa kienyeji ila safi hatari). Mguu a bia umbo namba 8, Mtoto alinivuruga haswa. Baadaye nilielewa ni mtu na mchumba wake. Picha ilianza nikawa nachezea simu janja yangu kila nikiwa eneo lenye mtandao nafungua internet najisomea habari, mara whatssap. Kuna zile breaking news kwenye social media nikachomekea story flani na yeye akanza kuchangia mada hata abiria wa siti jirani nao ikawa story story. wakati mwingine nafungua gallery naanza kuangalia videoz za kicheshi cheshi zile za kuchekesha nikaona na yeye anapiga chabo haswa niukawa namsogezea aangalie vzuri. Kwa jinsi nilivyomsoma binti hana simu janja ana kiswaswadu. Kucheki jamaa kwa mbele ni kama anasinzia.

Kuna muda binti akapigiwa simu na mtu (nahisi ndugu yake) kwenye maongezi yao akamjibu huyo mtu kuwa yeye hana dakika wala sms. Nikajiwazia huyu mwanaume naye jipu, anakaaje na mtoto mkali vile ashindwe kumnunulia vocha? Alivyokata simu nikamwandikia sms "si vizuri kusafiri njiani huna hata vocha, ukipata tatizo unatoaje taarifa nyumbani?" nikamwonyeshea aisome. akaicheki akaniangalia akaachia tabasamu, akachukua simu yangu akanijibu "sina hela sasa, hapa nauli tu tumebangaiza kweli". Akanirudishia simu nikafuta zile sms, nikamwambia andika namba nikununulie vocha kwenye m pesa". Akajibu "M pesa nadaiwa songesha". Nikauliza sh ngapi, akasema 5k. nikasemawee weka namba. Hapo tunachat tumejifanya kama tunasinzia hivi tumeegamia siti kwa mbele.

Akatii maelekezo nikarusha 15k. alipoiona ile sms hakuamini macho yake nikaona tabasamu lenye mng'ao flani amazing. nikamwambia nunua kifurushi, mawasiliano muhimu njiani, akafanya hivyo. Kesho yake wala sikumtafuta ila yeye alinitafuta mwenyewe kunishukuru. Ule mzigo niliukula siku ya pili yake. Kumbe kwao ni Moro, nimekula mzigo mara kibao hadi nimetekewa na penzi la yule mtoto. sometimes napanga safari kumbe nashukia Moro kwanza kabla ya kuendelea.
 
Kwamba ni CHAI ya Tangawizi au sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums977275209.gif
 
Back
Top Bottom