atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Huruma teena[emoji849][emoji849]Wana tabu sana hawa viumbe ni wa kuonewa huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huruma teena[emoji849][emoji849]Wana tabu sana hawa viumbe ni wa kuonewa huruma
Hapa hapa Mkuu, utupe Ujuzi/Utaalamu wa kutumia NDUMBA kunasa hizi Asali..Tunaotumia Utamaduni ( Ndumba ) kufanikiwa kuwapata na Kuwabandua hawa Viumbe Watamu tunachangia wapi?
Natumia sana Dawa za Kichawi za Mganga wa Kienyeji wa aliyeshindikana Kutumbuliwa na Rais Samia Mwamba Maharage Chande.Hapa hapa Mkuu, utupe Ujuzi/Utaalamu wa kutumia NDUMBA kunasa hizi Asali..
Ntakutafuta mzee wangu unichotee kidogo tuu...Natumia sana Dawa za Kichawi za Mganga wa Kienyeji wa aliyeshindikana Kutumbuliwa na Rais Samia Mwamba Maharage Chande.
Zima TaaNatumia sana Dawa za Kichawi za Mganga wa Kienyeji wa aliyeshindikana Kutumbuliwa na Rais Samia Mwamba Maharage Chande.
Utalishwa kinyesi Cha nyoka shauriyakoNtakutafuta mzee wangu unichotee kidogo tuu...
Vipi ulimtunuku Mzee mpambanaji?Hiyo ya ten,nlikua kwny daladala dom hiyo,natoka town naenda mipango sa kuna mzee mmoja wa kitanga(mzee kijana) tukakaa sit moja ,tukajikuta tunatia story pale ,akanilipia nauli ,anavoshuka(alishuka kabla yng)kaniachia cha ten,nkapokea eeh kuna kijana alinkodolea macho cjui wivu,kuiangalia pesa ina namba zake , ,kwel wanaume mna buni mbwinu ..[emoji16]mzee kijana anapenda dogodogo [emoji16]
Hii ipo Arusha mkuu maeneo ya kisongoTembo Club wapi hiyo mkuu? Toa ramani please.
People🤣🤣🤣🤣We njaa kali tu huna busines card wala nini
hv kwan chapati shingapi?Part 2:
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.
Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.
Basi nikamlia timing wakati wa kwenda Washroom nimfate huko huko (Mazingira ya pale kwa upande wa Washroom kuna Distance kubwa).
Basi kweli bhana Manzi akajipindua kuelekea Washroom na mimi nikaunga Tela, tulivyokunja kona tu ya kuingia corridor la choooni nikamshtua, akasimama nikamwomba namba akasema yeye ameisahau kama vipi nimpe yangu, basi akanipa simu yake nimuandikie Namba yangu..
Kumbe nyuma Bwana ake anakuja na yeye tyr kashanipa simu yake ndio niandike namba nashangaa Manzi kageuka chap kakimbilia choo cha wanawake. Mie nikawa nimesimama tu sielewi nini kinaendelea ila kwa kuwa nimesoma CUBA sikugeuka ila nikapiga jicho kwenye kioo (Reflection) nikaona mjuba anakuja ila bahati nzuri na yeye alikuwa anatembea huku anachat so hakuona tukio la mbele.
Sasa simu ninayo ya yule Manzi namrudishiaje??.. 🤣
Na jamaa kumbe alikuja kumsubir kule kule kwenye Corridor la Washroom ili arudi naye.
Mie nikajipindua Choo cha kiume kama Kawaida nikazuga zuga pale, Dem akatoka akanipa ishara ya nitulie huko huko.
Basi jamaa akarudi naye Mpaka walipokuwa wamekaa. Mie nikatoka baadae kurudi ktk meza yangu, nikamuita mhudumu mmoja hivi (Best yangu) nikamwambia nenda pale idondoshe hii simu miguuni (Mapajani) kwa yule Dada pale then uje kuna Zawadi yako hapa..
Mhudumu hakusita, alifanya hivyo na yule Dada aliiokota simu yake then.. tukaendelea kuwasiliana pale pale...
Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi.
Kwani mademu wakali hawapandi daladala?,duuuuuh Yani upo kwa daladala afu unasema umeona demu mkali!
Mwanaume- Atakula kwa jashoWanaume mmeumbiwa mateso
Sasa unataka no za mke wa mtu za kazi gan?Ñaõmba namba zake mkuu please
Hao ndio nasikia hela atakufikishia lakini sio mwanamke[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We lazima ni Mngoni,yaani ukarudisha simu?angekuwa mangi hapo angejiondokea fresh na simu yake na demu angeshindwa kusema [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]We njaa kali tu huna busines card wala nini
Hebu fikiria jinsi zari la Sumsung Kali limemwangukia lakini akapambana kuirudisha kisa number 🤣🤣🤣🤣🤣Hao ndio nasikia hela atakufikishia lakini sio mwanamke[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba ni CHAI ya Tangawizi au sio?