Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 561
- 1,112
naombeni mbinu ya namna ya kuopoa namba ya huyu mrembo Gentlemen_[emoji23][emoji23][emoji23]Skudu tena jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naombeni mbinu ya namna ya kuopoa namba ya huyu mrembo Gentlemen_[emoji23][emoji23][emoji23]Skudu tena jf
Huyo anaonekana anapenda MPIRA.naombeni mbinu ya namna ya kuopoa namba ya huyu mrembo Gentlemen_
Story yamu,Malizia.Part 2:
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.
Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.
Basi nikamlia timing wakati wa kwenda Washroom nimfate huko huko (Mazingira ya pale kwa upande wa Washroom kuna Distance kubwa).
Basi kweli bhana Manzi akajipindua kuelekea Washroom na mimi nikaunga Tela, tulivyokunja kona tu ya kuingia corridor la choooni nikamshtua, akasimama nikamwomba namba akasema yeye ameisahau kama vipi nimpe yangu, basi akanipa simu yake nimuandikie Namba yangu..
Kumbe nyuma Bwana ake anakuja na yeye tyr kashanipa simu yake ndio niandike namba nashangaa Manzi kageuka chap kakimbilia choo cha wanawake. Mie nikawa nimesimama tu sielewi nini kinaendelea ila kwa kuwa nimesoma CUBA sikugeuka ila nikapiga jicho kwenye kioo (Reflection) nikaona mjuba anakuja ila bahati nzuri na yeye alikuwa anatembea huku anachat so hakuona tukio la mbele.
Sasa simu ninayo ya yule Manzi namrudishiaje??.. [emoji1787]
Na jamaa kumbe alikuja kumsubir kule kule kwenye Corridor la Washroom ili arudi naye.
Mie nikajipindua Choo cha kiume kama Kawaida nikazuga zuga pale, Dem akatoka akanipa ishara ya nitulie huko huko.
Basi jamaa akarudi naye Mpaka walipokuwa wamekaa. Mie nikatoka baadae kurudi ktk meza yangu, nikamuita mhudumu mmoja hivi (Best yangu) nikamwambia nenda pale idondoshe hii simu miguuni (Mapajani) kwa yule Dada pale then uje kuna Zawadi yako hapa..
Mhudumu hakusita, alifanya hivyo na yule Dada aliiokota simu yake then.. tukaendelea kuwasiliana pale pale...
Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi.
Ikawaje?Part 2 aisee ni kisa kirefu kidogo..
Ila huyo Manzi baada ya kuwasiliana siku mbili tatu niligundua kuwa ni Mke wa Mtu na ametoka kufunga ndoa recently na aliyemuoa sio yule aliekuwa nae pale.
Yaan story ni ndefu ila ile Ndoa sina hakika kama ipo au La.. ila mie ndio nikawa Suspect namba moja, nilibadiri kuanzia namba yangu ya simu, Mpaka Makazi niliyokuwa naishi.
Ndefu sanaaa ina milima na mabonde!Story yamu,Malizia.
Nitaiandika kesho vizuri... nitakutagIkawaje?
SawaNitaiandika kesho vizuri... nitakutag
Chaithen the rest is history..😋
Kwamba wanawake wazuri hawapandi daladala?duuuuuh Yani upo kwa daladala afu unasema umeona demu mkali!
Noted mkuuHuyo anaonekana anapenda MPIRA.
Sasa ingia PM muulize kama ni shabiki wa YANGA au Wazee wa Kazi SIMBA wanaume wa Tanzania. Team yoyote atakayoitaja hapo mtumie hela ya Ticket ya Mechi pamoja na JEZI mpya....
Uje kuleta mrejesho.
🤣 hamkosekani..Chai
Ngoma ukiisoma kutoka mwisho kurudi mwanzo unaona tu "Simba hanyatiwi".🤣 hamkosekani..
Kwamba viungo ni vingi katk upikaji wa Chai au sioNgoma ukiisoma kutoka mwisho kurudi mwanzo unaona tu "Simba hanyatiwi".
Soma code[emoji774]Aisee isije ikawa ni utani bana. Nitanyong"onyea ujue
Hii lazima itiki fasta.🤣🤣🤣Naomba nipatiemo namba ya mpesa nikutumiepo kakitu kadogo
Mpe yangu basi nikupokelee 😁Maskini mie sina account 😭
Shoga yangu Evelyn Salt napitwa na gari la mshahara hivi hivi kimasihara
Ñaõmba namba zake mkuu pleasePart 2 aisee ni kisa kirefu kidogo..
Ila huyo Manzi baada ya kuwasiliana siku mbili tatu niligundua kuwa ni Mke wa Mtu na ametoka kufunga ndoa recently na aliyemuoa sio yule aliekuwa nae pale.
Yaan story ni ndefu ila ile Ndoa sina hakika kama ipo au La.. ila mie ndio nikawa Suspect namba moja, nilibadiri kuanzia namba yangu ya simu, Mpaka Makazi niliyokuwa naishi.