Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hamna bana comment yake tu imenichekesha 😂😂Unasupport hilo swala jamani..? Hahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna bana comment yake tu imenichekesha 😂😂Unasupport hilo swala jamani..? Hahah
Midadi tena!"Ahh.. huyu demu wake nani...ananipa midadi antafuta lawama.. mwambieni bhana.."
Sitaki uumie. Niko pembeni yako kuleta furaha. Weka nambaAisee isije ikawa ni utani bana. Nitanyong"onyea ujue
Anatatizo la Afya ya Akili huyo..Hamna bana comment yake tu imenichekesha 😂😂
ExactlyMidadi tena!
Unaifaham Daslam vizuri lkn?Tabata hii mzee wangu BATA lilipozaliwa mjini Darusalem
Huna mikono na sabuni?Daa nimesoma uzi wako nishadinda tayari
Siku uje na uzi wa kupeana mbinu za kupambana na ccm ili Taifa liponeWazee wa kupambania Kombe..
Huwa mnatumia Njia gani kuomba/kuchukua namba za simu katika Mazingira MAGUMU na HATARISHI?
Umafia:
Part 1>
Nilikuwa nipo katika Daladala watu wengi vibaya mno, nikatupia jicho pembeni nikaona KIFAA kimetulia kinachezea simu. Nikajiuliza hapa namba nabebaje? Kuangalia nje bado vituo viwili nishuke.
Kuchek katika wallet business card binafsi zimeisha zimebaki za Ofisini (Michoresho) nikaona hii hapana kuitoa.
Nikajipapasa huku na kule bahati nzuri nilibahatisha kipande cha TICKET ya Bus la mkoani, na katika ile ticket kuna namba yangu ya SIMU, sikujiuliza mara mbili wakati nashuka nikamshtua yule mrembo kwa kumgusa begani then ile ticket nikaipitisha kwa chini kama vile alikuwa kaiangusha then nikamkazia machoni huku nikimuonyesha ishara ya NIPIGIE. Mie nikashuka zangu huyo Home nikatulia.
Zikapita kama siku 5 kimya, nikaona hapa Mkeka umechanika.. siku ya 6 jioni nipo viti virefu nashangaa namba ngeni kupokea ni yule Manzi.. akajitambulisha pale.. then the rest is history..😋
Kuna wengine wanatumia mpaka Hela kuandika namba (Karatasi hakuna).. mtu anachukua noti ya elf 10 anachora namba yake anamkabidhi mrembo..
Siku uje na uzi wa kupeana mbinu za kupambana na ccm ili Taifa lipone
Sijasema ni chai ila iyo ni kambaKwamba ni CHAI ya Tangawizi au sio?
Wote muwepo itakuwa poa sana..Tutampokea kwa bashasha tukiwa tumeshikana mikono
😂😂😂Skudu tena jfNdo maana mama anapata ujasiri wa kusema mgao utadum miezi 6
Vichwa vinawaza namna ya kubuni mbinu ya kupata namba za simu
Hapana.. nimekuja hapa sina hata miez 6.Unaifaham Daslam vizuri lkn?
Tatizo ni moja, Mbinu ninazo upo tayari nikushirikishe?Siku uje na uzi wa kupeana mbinu za kupambana na ccm ili Taifa lipone
Part 2 aisee ni kisa kirefu kidogo..
Ila huyo Manzi baada ya kuwasiliana siku mbili tatu niligundua kuwa ni Mke wa Mtu na ametoka kufunga ndoa recently na aliyemuoa sio yule aliekuwa nae pale.
Yaan story ni ndefu ila ile Ndoa sina hakika kama ipo au La.. ila mie ndio nikawa Suspect namba moja, nilibadiri kuanzia namba yangu ya simu, Mpaka Makazi niliyokuwa naishi.
AiseeMtoa mada VP marinda yalipona?
Nimeshaielezea mbele hapo.Kwanini ikawa hivyo mkuu ?