Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Itabismdi nikupeleke kwa Nabii mkuu, wakati wa kurudi nikupitishe pale Tembo club etiiMaskini mie sina account ðŸ˜
Shoga yangu Evelyn Salt napitwa na gari la mshahara hivi hivi kimasihara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabismdi nikupeleke kwa Nabii mkuu, wakati wa kurudi nikupitishe pale Tembo club etiiMaskini mie sina account ðŸ˜
Shoga yangu Evelyn Salt napitwa na gari la mshahara hivi hivi kimasihara
Haraka haraka haina barakaMlolongo mrefuu kama NIDA.. 🥲
Du! Hii njia ndiyo ya kimafia zaidi aisee!Kuna wengine wanatumia mpaka Hela kuandika namba (Karatasi hakuna).. mtu anachukua noti ya elf 10 anachora namba yake anamkabidhi mrembo..
Wewe nilishawahi kukwambia unisindikize kwa nabii mkuu ukakataa, leo imekuaje kwani?Itabismdi nikupeleke kwa Nabii mkuu, wakati wa kurudi nikupitishe pale Tembo club etii
Tembo Club wapi hiyo mkuu? Toa ramani please.Itabismdi nikupeleke kwa Nabii mkuu, wakati wa kurudi nikupitishe pale Tembo club etii
Sa si utume kutoka bank kwenda kwenye simu.Dah! Hii ya hela za kwenye simu wavulana ndio wanaweza. Ngoja nione mbadala maana li moyo limekudondokea
Sasa nimeona kweli unahitaji kwenda...nitakupeleka.Wewe nilishawahi kukwambia unisindikize kwa nabii mkuu ukakataa, leo imekuaje kwani?
Speaking of Tembo club...ile nyama yao ni tamu sana
Biz card ya ishu zangu za TECH nilikuwa nimezimaliza maana siku hiyo nilikuwa ktk Workshop so watu wengi walizihitaji nilikuw nazo chache sana.. za ofisin nilipoajiriw sipendi mtu hasa hawa Wanawake wajue nafany wap kazi nafanya kama nani na vitu kama hivyo so Biz card ya ofisin nilikuwa nazo ila si sahihi kumpa maana hazina hata uhusiano nae maana sio taasisi ya kibiashara.Wewe inaonekana mzinzi sasa unashindwaje kuwa na business card mpaka uanze kutoa tiketi ya basi? Ukishakuwa na logo na business name unabaki na copy kwa mtu wako unakuwa unaenda kutoa copy kila zikiisha. Quality ya kawaida ni 10,000 unapata cards 100. Hili nalo linakushinda.
Tongoza the would be customer kwa kuhitaji namba kwa ajili ya biashara, at least akuone possible service provider. Ningekuonyesha screenshot ya namba niliyochukua Instagram jana kwa mdada mgumu aliyeanza anagoma kutoa namba. Of course nimeichukua kwa biashara, sasa wewe unaomba namba ili iweje labda ukutane na mdada cheap.
NakaziaWe njaa kali tu huna busines card wala nini
Kumbe wana kitimoto pia? Nashukuru kujua. Nilikula mbuziSasa nimeona kweli unahitaji kwenda...nitakupeleka.
Tembo tuache utani wanajua kutengeneza mbuzi na kitimoto.
Wine inashuka hati raha
Simba mwendapole ndio mla nyama.. wacha nitulieHaraka haraka haina baraka
Hiyo kwa ma barmaid unaona huyu hatutaelewana hapa unamchorea alafu huongei sana. Unapita kushoto unaskilizia ringtoneDu! Hii njia ndiyo ya kimafia zaidi aisee!
Ushaelewa somo. ThanksSimba mwendapole ndio mla nyama.. wacha nitulie
Ndio wapi huko TemboSasa nimeona kweli unahitaji kwenda...nitakupeleka.
Tembo tuache utani wanajua kutengeneza mbuzi na kitimoto.
Wine inashuka hati raha
HahahNatabiri Uzi utafika Galilaya
Chuga...karibu sana Gentlemen_Demi toa maelekezo huku
Anhaaa sasa mie nipo DASLAMU ila chugga nakuja Mwez wa 11.. nikija unipe company sawa?Chuga...karibu sana Gentlemen_