Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Itabismdi nikupeleke kwa Nabii mkuu, wakati wa kurudi nikupitishe pale Tembo club etii
Wewe nilishawahi kukwambia unisindikize kwa nabii mkuu ukakataa, leo imekuaje kwani?
Speaking of Tembo club...ile nyama yao ni tamu sana
 
Dah! Hii ya hela za kwenye simu wavulana ndio wanaweza. Ngoja nione mbadala maana li moyo limekudondokea
Sa si utume kutoka bank kwenda kwenye simu.
Mi sina pesa ya kuhifadhi kwenye account😅
 
Wewe nilishawahi kukwambia unisindikize kwa nabii mkuu ukakataa, leo imekuaje kwani?
Speaking of Tembo club...ile nyama yao ni tamu sana
Sasa nimeona kweli unahitaji kwenda...nitakupeleka.

Tembo tuache utani wanajua kutengeneza mbuzi na kitimoto.

Wine inashuka hati raha
 
Wewe inaonekana mzinzi sasa unashindwaje kuwa na business card mpaka uanze kutoa tiketi ya basi? Ukishakuwa na logo na business name unabaki na copy kwa mtu wako unakuwa unaenda kutoa copy kila zikiisha. Quality ya kawaida ni 10,000 unapata cards 100. Hili nalo linakushinda.

Tongoza the would be customer kwa kuhitaji namba kwa ajili ya biashara, at least akuone possible service provider. Ningekuonyesha screenshot ya namba niliyochukua Instagram jana kwa mdada mgumu aliyeanza anagoma kutoa namba. Of course nimeichukua kwa biashara, sasa wewe unaomba namba ili iweje labda ukutane na mdada cheap.
Biz card ya ishu zangu za TECH nilikuwa nimezimaliza maana siku hiyo nilikuwa ktk Workshop so watu wengi walizihitaji nilikuw nazo chache sana.. za ofisin nilipoajiriw sipendi mtu hasa hawa Wanawake wajue nafany wap kazi nafanya kama nani na vitu kama hivyo so Biz card ya ofisin nilikuwa nazo ila si sahihi kumpa maana hazina hata uhusiano nae maana sio taasisi ya kibiashara.

And good enough mie mwenyew natengeneza hizo biz card ni uzembe tu nilifanya.
 
Back
Top Bottom