Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ukute ndio hivyoKama vile jehanam ni ya wanaume asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute ndio hivyoKama vile jehanam ni ya wanaume asee
Wanavyosema nyie ni baba mmoja hawajakoseaNaomba unipe hiyo kazi ya kufix hicho kitufe hutojutia.. mie sio kama wale.
Pesa itangulie mbele kama Tai..Mapenzi rahisi sana siku hizi ni biashara.
Tanguliza moolah.
Utakiwi kuteseka mrembo nimeshatesekamo kwa ajili yako mayoo🤣Aisee mbona kama nataka kushawishika manka mie😛
Walikosea pakubwa sana... mie nipo tofauti sana na hawa wajalaana wengine.Wanavyosema nyie ni baba mmoja hawajakosea
Bonge ya verseUtakiwi kuteseka mrembo nimeshatesekamo kwa ajili yako mayoo🤣
Siku nikiwa na muda wa kuandika sana ntaweka.. inasisimua.Ungekaweka hako ka story ungetisha sana maana inamafundisho makubwa snaa
Chukua namba usiteseke bure kijana😂.Utakiwi kuteseka mrembo nimeshatesekamo kwa ajili yako mayoo🤣
Ushanusa mbesaa manka?😂Aisee mbona kama nataka kushawishika manka mie😛
Hapana .. nyama ni tofauti kabisa. Kuna Nyama inaitwa nyama ya Kiuno na kuna nyama ya mkia na kuna nyama ya nundu.Sas shida yote hiyo ya nini na wakati nyama ni ile ile tofauti ni bucha kuwa makini nasikia siku hizi wenzako wanatembea na Vaseline
Ulidanganywa mkuu nyama zile hazifanani kamweSas shida yote hiyo ya nini na wakati nyama ni ile ile tofauti ni bucha kuwa makini nasikia siku hizi wenzako wanatembea na Vaseline
Hahahahah kumbe tarakimu unazo mkufunzi😀Chukua namba usiteseke bure kijana😂.
Au nikupatie mpwa😂😂
acha tu..ni mtihani mkubwaUshanusa mbesaa manka?😂
Usikute ni KIBOGOYO.. huyo 🤣Ulidanganywa mkuu nyama zile hazifanani kamwe
Weeeeeeeeee thubutuuuuuuChukua namba usiteseke bure kijana😂.
Au nikupatie mpwa😂😂
Achana na kupewa hela kwenye simu tupia akaunti yako kwenye PM. Maparachichi hayajawahi niangusha.Aisee mbona kama nataka kushawishika manka mie[emoji14]
Najua ulipiga sana hesabu namna ya kuniibia mpwa😂😂😂😂Hahahahah kumbe tarakimu unazo mkufunzi😀
Wewe namba ntaichukua tu ngoja nijipange🤣Weeeeereeeeee thubutuuuuuu
Jipange vizuri😅Wewe namba ntaichukua tu ngoja nijipange🤣